Taured
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 805
- 684
Katika maisha tunaishi na slogan inayoitwa the lost address, hata KAZI tunazofanya hazikuwa za ndoto zetu ni basi tu tumejikuta no way tupo , na kwenye mahusiano ni hivyo hivyo wengi tuliotamani kuwaoa au kuolewa sio tulionao Kwa Sasa , nilichojifunza ni kwamba watu wanabadilika positively na negatively, yupo mke au Mume unaweza usiwe unampenda na pengine unatest tu zari baadae ukanasia pale na maisha yakasonga vizuri ila Kuna yule uliyeona ukimpata ndio furaha na tulizo lako baadae anakugeuka na kuwa kama fisi! Mungu hakupi unachopenda anakupa unachostahili