Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Binafsi nilikuwa miongoni mwa watu ambao ukiwasema vibaya hao niliowataja juu naona kabisa kuwa unakwenda kulaaniwa na hutasamehewa.
Yaani niliona ni heri uue unaweza kusamehewa lakini si kuwasema hao wanaoitwa watumishi wa Mungu.
Sasa niko huru, naweza kujadili na kumsema au kumkemea mpuuzi au tapeli yeyote anayewatapeli watu kwa kutumia jina la Mungu.
Kwa kweli wengi au wote waliojipa vyeo vya Unabii, Utume na Ukuhani ni matapeli. Wengine wana vyeo vya Uchungaji, Walimu na Uinjilist ni matapeli wakubwa.
Wengi wameingia huko kwasababu ya kukosa kazi, kwa jina jingine ni umaskini ndio uliwasukumia huko.
Kwakuwa IQ zetu Afrika ni bellow standard basi wewe ukijiita tu Nabii au Mtume umeshamaliza, mbinu zingine utajifunza hukohuko kwa wenzako.
Hakuna Nabii hapa Tanzania au Afrika mwenye jina kubwa unaweza kuonana naye bila ada. Kwa siku ukionana na wateja 20 tu njaa inapotea automatically. Ada zao zinatokana na umaarufu wao.
Wanapoanza huduma mpaka buku wanachukua. Wakipata umaarufu kuwaona inaanza laki 2 mpaka laki 5.
Afrika umaskini ni kujitakia.
Yaani niliona ni heri uue unaweza kusamehewa lakini si kuwasema hao wanaoitwa watumishi wa Mungu.
Sasa niko huru, naweza kujadili na kumsema au kumkemea mpuuzi au tapeli yeyote anayewatapeli watu kwa kutumia jina la Mungu.
Kwa kweli wengi au wote waliojipa vyeo vya Unabii, Utume na Ukuhani ni matapeli. Wengine wana vyeo vya Uchungaji, Walimu na Uinjilist ni matapeli wakubwa.
Wengi wameingia huko kwasababu ya kukosa kazi, kwa jina jingine ni umaskini ndio uliwasukumia huko.
Kwakuwa IQ zetu Afrika ni bellow standard basi wewe ukijiita tu Nabii au Mtume umeshamaliza, mbinu zingine utajifunza hukohuko kwa wenzako.
Hakuna Nabii hapa Tanzania au Afrika mwenye jina kubwa unaweza kuonana naye bila ada. Kwa siku ukionana na wateja 20 tu njaa inapotea automatically. Ada zao zinatokana na umaarufu wao.
Wanapoanza huduma mpaka buku wanachukua. Wakipata umaarufu kuwaona inaanza laki 2 mpaka laki 5.
Afrika umaskini ni kujitakia.