Maisha yamekuwa magumu sana, hakuna pesa za kuhonga

Maisha yamekuwa magumu sana, hakuna pesa za kuhonga

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Kuna Baa moja hapa nimezama na mim kwa leo, yani wanaume wote counter tumenuna tupo buyu, bar ina wanawake wengi saana lakini tunaziangalia tu zikijipitisha hakuna cha kuwaita wala kuwasemesha.

Mimi ni nani nianze kusaliti kambi na huku hela ngumu balaa
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Vyuma vimekaza Sana ckuiz Hakuna kuhonga honga kizembe.

Acha kila mbuzi ale kwa urefu was kamba Yake.
 
epuka kwenda huko ukiwa huna kitu, utalipiwa halafu uje kulalamika, shauli yako.
Bora ukalale magetoni tu
 
Naona mme wako amekuachia simu yake umeamua kumsaidia kujibu. amechoka nini na mechi ya jana usiku ?
Kwenye kiswahili hakuna neno mme [emoji777] ila kuna neno MUME[emoji3581]

Ni kweli MUME wako ameniachia simu yake, vipi nimrudishie simu yake ??

Ila ushauri wangu uache mapenzi katika umri mdogo, muandiko wako na uyanenayo yanaonesha u a under 17.
 
Inategemea na quality
Vibunda ndio tatizo, lakini tamaa iko ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜…
Kuitafuta Laki sasa hivi unaweza ukachukua mwezi mzima ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom