Sister usitafute mabwana kwa mgongo wangu wewe njoo direct kwamba jamaniee, mwenzenu nina bidhaa hapa nauza, watu watakuja tu inbox.Dada usihamishe magoli. Vipi hiyo naniii bado inakulipa au?
Bajaji zimesimamia bei gani saivi?Japokua hela utakayouza hiyo gari haitatosha kununua bajaji mpya ila jichangechange uuze hiyo gari uongezee ununue bajaji mpya.
Au huwezi kundesha bajaji siyo level yako?
Kwanini nisingekuja humu? Kwani humu siwezi kuja kuomba ushauri juu ya aina bora ya Bajaj?...angekua na uwezo wa bajaji c asingekuja humu mkuu
Bajaj used 6 Millions mzee babaBajaji zimesimamia bei gani saivi?
gari yake haizidi mil 3 anawaza aiuze pesa azitumie kubadili biashara ,sasa bajaji sh ngapi??Kwanini nisingekuja humu? Kwani humu siwezi kuja kuomba ushauri juu ya aina bora ya Bajaj?...
Duu bei ya vitz6 Millions mzee baba
Vitz mpya au second-hand?Duu bei ya vitz
Mkuu 6M?bei ya mwaka gani hiyo?6 Millions mzee baba
Bajaj ni bei ya gar mkuu inakaribia 8M kama una passo ukikutana na bajaj pak pemben apite maana anaendesha chombo ya gharama kuliko yako[emoji3]Bajaji zimesimamia bei gani saivi?
Nilitaka kushangaa bajiji 6m au ananunua iliyotumika?Mkuu 6M?bei ya mwaka gani hiyo?
Bajaji TVSKing imesimama 7.3M tena huipati muda huohuo ni ya kuweka foleni pale car &general posta.
Ni million 7 mpaka inaingia balabalani M86 Millions mzee baba
Hahaa mkuu bei hiyo labda kwa mtu kama ulivyosema.Nilitaka kushangaa bajiji 6m au ananunua iliyotumika?
Ninazungumzia used mkuuMkuu 6M?bei ya mwaka gani hiyo?
Bajaji TVSKing imesimama 7.3M tena huipati muda huohuo ni ya kuweka foleni pale car &general posta.
Boss gari nyingi ni second handVitz mpya au second-hand?
Second-hand ya hapahapa bongo au kutoka Japan?Boss gari nyingi ni second hand
Sasa used haina bei maalum hata ukiwa na 5M unaweza kupata mkuu kutegemea na uchakavu.Ninazungumzia used mkuu
Japani mkuuSecond-hand ya hapahapa bongo au kutoka Japan?
Nilimaanisha iliyokwishatumika mkuuHahaa mkuu bei hiyo labda kwa mtu kama ulivyosema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bajaj ni bei ya gar mkuu inakaribia 8M kama una passo ukikutana na bajaj pak pemben apite maana anaendesha chombo ya gharama kuliko yako[emoji3]
PoaJapani mkuu