Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kwan hiyo gari alimpa dereva au alikia anaendesha yeye? Mm nimemshauri anunue aendeshe yeye bajaj inafaida kubwa Sana ukiisimamia mwenyewe usimpe mtuyani ununue babaji milioni 7 ili dereva akuletee sijui 20,000 kwa siku mpaka upate faida cjui lini hapo una-assume haijaharibika ,haijakamtwa,hujaibia spare,haijapata ajali ,mwendo wa presure tu