Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Binafsi nashauri wizara iache kuendelea na matangazo ya kunawa mikono na kuvaa barakoa.
Kwani kufanya hivyo ni kupingana na maoni ya raisi sasa hivi wanaovaa barakoa ni wachache sana kiasi kwamba mnaonekana kama tofauti na wengine.
Ukitembea mitaani utashuhudia na hata bila kuambiwa unaona aibu mwenyewe.
Sasa tumeshaanza kurudia maisha yetu yale ya zamani, mikusanyiko, kushikana mikono madiskoni kama kawaida.
Walimu jana Dodoma
My take: Kila mtu anawajibika na uzima wa afya yake,kwahio uzima wako unategemea jisni unavyojilinda na sio kutokana na muongozo wa Serikali.
Kwani kufanya hivyo ni kupingana na maoni ya raisi sasa hivi wanaovaa barakoa ni wachache sana kiasi kwamba mnaonekana kama tofauti na wengine.
Ukitembea mitaani utashuhudia na hata bila kuambiwa unaona aibu mwenyewe.
Sasa tumeshaanza kurudia maisha yetu yale ya zamani, mikusanyiko, kushikana mikono madiskoni kama kawaida.
Walimu jana Dodoma
My take: Kila mtu anawajibika na uzima wa afya yake,kwahio uzima wako unategemea jisni unavyojilinda na sio kutokana na muongozo wa Serikali.