Maisha yanabadilika haraka sana, eti kuvaa barakoa kwa sasa ni ushamba

Maisha yanabadilika haraka sana, eti kuvaa barakoa kwa sasa ni ushamba

Acheni mambo yenu. Tz corona imesha Isha. Wasiwasi wenu tu na hayo mavisukari, HIV na mapumu yenu. Tulio kamili gado tunapeta bila hata ya barakoa
 
Acheni mambo yenu. Tz corona imesha Isha. Wasiwasi wenu tu na hayo mavisukari, HIV na mapumu yenu. Tulio kamili gado tunapeta bila hata ya barakoa
Aya bana uzuri ni kwamba korona haichagui,inalenga wazembe tu...ngoja tuone huu mwaka unaishaje.
 
Hivi kwa jinsi hali ya corona ilivyo Africa unadhani tunatofautiana kwenye athari za huu ugonjwa kutokana na mikakati ya nchi husika? Yani mfano Tanzania au Burundi ambako inaonekana kuchukulia poa corona kuna tofauti za hali ya corona ukifananisha na mfano Kenya, Uganda au Rwanda?
 
Hivi kwa jinsi hali ya corona ilivyo Africa unadhani tunatofautiana kwenye athari za huu ugonjwa kutokana na mikakati ya nchi husika? Yani mfano Tanzania au Burundi ambako inaonekana kuchukulia poa corona kuna tofauti za hali ya corona ukifananisha na mfano Kenya, Uganda au Rwanda?
Kenya shule zitafunguliwa September
 
Haijaisha ila mfumo wake ndio umebadilika hapa nchini ni kimya kimya style
 
Walimu waalikwa walikatazwa kuvaa barakoa. Waliambiwa ni marufuku kuvaa barakoa.

Hayo yalikua masharti ya kufika mkutanoni.
 
Acheni mambo yenu. Tz corona imesha Isha. Wasiwasi wenu tu na hayo mavisukari, HIV na mapumu yenu. Tulio kamili gado tunapeta bila hata ya barakoa
Basi walinde hao wenye pumu sukari na hiv. Unaandika kama vile umeshikishwa ukuta huku unaandika.
 
Nikiwa kwenye daladala leo nimeona konda anamuita abiria pekee aliyekuwa amevaa barakoa hivi: "we barakoa chukua chenji yako...!"
 
kuna haja gani ya kutuambia ilihali wao hawafanyi hivyo..kila mtu na aipiganie nafsi yake!!.
 
Back
Top Bottom