Maisha Yana Badirika sana
Kuna Muda unaweza kufikiri kwamba umefika mwisho Kila kitu kimeisha na hakuna tena TUMAINI la maisha.
Lakini MUNGU anavyobadirisha maisha ya MTU ni kwamba ... Muda uleule unaofikiri kwamba Kila kitu kimeisha na umefika mwisho ndipo anafanya muujiza.
Unashangaa kunafulsa inatokea ambayo ukutarajia kabisa na unagundua kwanba huyu ni MUNGU ameanza kubadili maisha.
Usikate Tamaa ya Maisha , unauwezo mkubwa sana Ndani Yako.
Maadamu Bado unaishi basi kunamambo mengi unapaswa kufanya ambayo ukiamua kuyafanya yatabadirisha maisha Yako jumla.
Usikate Tamaa, usikate Tamaa. Nakuombea Mungu sana hata kama unapitia hali ngumu sana , hali ya kufeli na kukataliwa ila usikate Tamaa....
Natumahi kunakitu utakuwa umejifunza.
Kuna Muda unaweza kufikiri kwamba umefika mwisho Kila kitu kimeisha na hakuna tena TUMAINI la maisha.
Lakini MUNGU anavyobadirisha maisha ya MTU ni kwamba ... Muda uleule unaofikiri kwamba Kila kitu kimeisha na umefika mwisho ndipo anafanya muujiza.
Unashangaa kunafulsa inatokea ambayo ukutarajia kabisa na unagundua kwanba huyu ni MUNGU ameanza kubadili maisha.
Usikate Tamaa ya Maisha , unauwezo mkubwa sana Ndani Yako.
Maadamu Bado unaishi basi kunamambo mengi unapaswa kufanya ambayo ukiamua kuyafanya yatabadirisha maisha Yako jumla.
Usikate Tamaa, usikate Tamaa. Nakuombea Mungu sana hata kama unapitia hali ngumu sana , hali ya kufeli na kukataliwa ila usikate Tamaa....
Natumahi kunakitu utakuwa umejifunza.