Maisha yanaenda haraka sana, Mbowe kama anaurudia ufalme wake wa anga

Maisha yanaenda haraka sana, Mbowe kama anaurudia ufalme wake wa anga

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
279
Reaction score
480
Juzi juzi kila mtu alishuhudia Mwenyekiti wa Chadema akiwa ameshuswa kutoka angani na muda wake mwingi alikuwa akiumalizia Segerea akitumia ndoo kwa matumizi ya msingi. Mfalme huyu wa anga ambaye alikuwa na uwezo wa kubadirisha gia angani hata malaika walikuwa wanashangaa. Wote tulishuudia akikalishwa chini na hata kushindwa kuzibadilisha tena gia akiwa mchangani.

Maisha yanaenda kasi sana leo Mbowe tayari ameshatangaza kuwasamehe waliorudi kuunga juhudi na kuwaambia kuwa milango ipo wazi tena na msamaha juu. Hivyo Mzee Lowasa, Mzee Sumaye, Masha, Nasari na wengine wameambiwa milango ipo wazi mfalme wa anga anapaa kidigitali sasa hivi.
 
Juzi juzi kila mtu alishuhudia Mwenyekiti wa Chadema akiwa ameshuswa kutoka angani na muda wake mwingi alikuwa akiumalizia Segerea akitumia ndoo kwa matumizi ya msingi. Mfalme huyu wa anga ambaye alikuwa na uwezo wa kubadirisha gia angani hata malaika walikuwa wanashangaa. Wote tulishuudia akikalishwa chini na hata kushindwa kuzibadilisha tena gia akiwa mchangani.

Maisha yanaenda kasi sana leo Mbowe tayari ameshatangaza kuwasamehe waliorudi kuunga juhudi na kuwaambia kuwa milango ipo wazi tena na msamaha juu. Hivyo Mzee Lowasa, Mzee Sumaye, Masha, Nasari na wengine wameambiwa milango ipo wazi mfalme wa anga anapaa kidigitali sasa hivi.
Huna uwezo wa kumwelewa Mbowe kwa aina ya ubongo ulio kichwani mwako
 
Juzi juzi kila mtu alishuhudia Mwenyekiti wa Chadema akiwa ameshuswa kutoka angani na muda wake mwingi alikuwa akiumalizia Segerea akitumia ndoo kwa matumizi ya msingi. Mfalme huyu wa anga ambaye alikuwa na uwezo wa kubadirisha gia angani hata malaika walikuwa wanashangaa. Wote tulishuudia akikalishwa chini na hata kushindwa kuzibadilisha tena gia akiwa mchangani.

Maisha yanaenda kasi sana leo Mbowe tayari ameshatangaza kuwasamehe waliorudi kuunga juhudi na kuwaambia kuwa milango ipo wazi tena na msamaha juu. Hivyo Mzee Lowasa, Mzee Sumaye, Masha, Nasari na wengine wameambiwa milango ipo wazi mfalme wa anga anapaa kidigitali sasa hivi.
Unaposti utopolo huku umekalia kitu kigumu chenye ncha butu laini kilichonyooka
 
Juzi juzi kila mtu alishuhudia Mwenyekiti wa Chadema akiwa ameshuswa kutoka angani na muda wake mwingi alikuwa akiumalizia Segerea akitumia ndoo kwa matumizi ya msingi. Mfalme huyu wa anga ambaye alikuwa na uwezo wa kubadirisha gia angani hata malaika walikuwa wanashangaa. Wote tulishuudia akikalishwa chini na hata kushindwa kuzibadilisha tena gia akiwa mchangani.

Maisha yanaenda kasi sana leo Mbowe tayari ameshatangaza kuwasamehe waliorudi kuunga juhudi na kuwaambia kuwa milango ipo wazi tena na msamaha juu. Hivyo Mzee Lowasa, Mzee Sumaye, Masha, Nasari na wengine wameambiwa milango ipo wazi mfalme wa anga anapaa kidigitali sasa hivi.
Ndiyo nini mkuu umeandika?
 
Back
Top Bottom