Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Ndio Maisha yanaenda Kasi sana, Baada ya kupata Chakula cha jioni niliona ni vema kwenda club moja apa kitaa..
Mpaka kufika mida ya saa sita usiku huu nilikuwa nimelewa kispoti..
Kidogo mbele ya Macho yangu Niliona vibinti vitatu.. Vikicheza na kujirusha kwa staili tamanishi..
Kwa uzoefu wangu wa mambo ya club nilivumbua dhahiri kwamba vibinti hivi tayari ni vizoefu kwenye michezo ya club..
Kama vile siamini Masikio yangu nikasikia kibinti kimoja kikimwambia Mshikaji mmoja kwamba "Kama mtu hataki kucheza na wewe si umuache..akaongeza kwamba isitoshe nimekuja na bwana wangu hapa"
Hapa Mzee mkubwa Khan nikahamasika kukatazama haka kabinti usoni.. ni kama vile siamini macho yangu.. Binti alikuwa mdogo kiumri akizidi saana ana miaka 13..Kidogo nikamuuliza bidada mmoja karibu yangu kakajibu ndo kamemaliza darasa la 7 na hao wenzake..!
Badala ya furaha nilijikuta nikiingia katika wimbi zito la masikitiko.. Nikijiuliza taifa la kesho litakuwa na vijana wa aina gani?.. Vita dhidhi ya UKIMWI itafanikiwa kweli? ukizingatia vibinti vidogo kama hivi havina source ya hela lazima viliwe ndo vipate japo pesa ya kula!
Wazazi wa watoto hawa wako wapi? Tatizo limekuwa wazazi au watoto wenyewe?
Kwa Ninayoyaona Maisha Yanaenda Kasi sana!
Divine Khan
Mpaka kufika mida ya saa sita usiku huu nilikuwa nimelewa kispoti..
Kidogo mbele ya Macho yangu Niliona vibinti vitatu.. Vikicheza na kujirusha kwa staili tamanishi..
Kwa uzoefu wangu wa mambo ya club nilivumbua dhahiri kwamba vibinti hivi tayari ni vizoefu kwenye michezo ya club..
Kama vile siamini Masikio yangu nikasikia kibinti kimoja kikimwambia Mshikaji mmoja kwamba "Kama mtu hataki kucheza na wewe si umuache..akaongeza kwamba isitoshe nimekuja na bwana wangu hapa"
Hapa Mzee mkubwa Khan nikahamasika kukatazama haka kabinti usoni.. ni kama vile siamini macho yangu.. Binti alikuwa mdogo kiumri akizidi saana ana miaka 13..Kidogo nikamuuliza bidada mmoja karibu yangu kakajibu ndo kamemaliza darasa la 7 na hao wenzake..!
Badala ya furaha nilijikuta nikiingia katika wimbi zito la masikitiko.. Nikijiuliza taifa la kesho litakuwa na vijana wa aina gani?.. Vita dhidhi ya UKIMWI itafanikiwa kweli? ukizingatia vibinti vidogo kama hivi havina source ya hela lazima viliwe ndo vipate japo pesa ya kula!
Wazazi wa watoto hawa wako wapi? Tatizo limekuwa wazazi au watoto wenyewe?
Kwa Ninayoyaona Maisha Yanaenda Kasi sana!
Divine Khan