Marchey
Senior Member
- Jul 17, 2024
- 171
- 355
Umenielewa tofautiKm yupo serious aje kwangu, nimlee had mambo yake yakikaa sawa anajisepeaa anakotakaa.
Maamuzi ni yakee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenielewa tofautiKm yupo serious aje kwangu, nimlee had mambo yake yakikaa sawa anajisepeaa anakotakaa.
Maamuzi ni yakee.
Yukwapi? Nachungulia dirishani simuoniSasa huyo amekufikia tatizo umejifungia ndani umefunga milango umefunga madirisha huyo mtu yupo nje anapisha hodi fungua
I can't compare your comments and your legsMbona sisi hatuchoki
View attachment 3045576
Yani hapo somo kubwa ni kuwa duniani usiwawekee matarajio sana watu kwamba ukianguka watakuinua.Mtaji hauombwi, unatafutwa kijana. Kuna watu wa kuomba mitaji mkuu pambana utengeneze maisha yako usingoje vya kupewa kwa sababu havipo.
Uo umri ukiamua hufiki 30 ushauona utajiri, hujaamua.
Hakika
Hakika mkuu na usimtegemee binadamu mwenzio, huwa nasema hakuna atakaekusaidia kuja kuishi maisha yako. Kijana apambane asingoje kuonewa huruma kwa ugumu wa maisha anayopitia.Yani hapo somo kubwa ni kuwa duniani usiwawekee matarajio sana watu kwamba ukianguka watakuinua.
MIMI huku 😉🪘😆Yukwapi? Nachungulia dirishani simuoni
Unajua Maisha ni km fumbo fulani hivi kikubwa ni kupambania ndoto zako hakuna wa kumlaumu zaidi ya Wewe mwenyewe, Wewe ni Ile Mbegu iliyozishinda mamillion ya Mbegu sasa inakuaje ushindwe kizembe sometimes aibu weka mfukoni jilipue ukiona Mkoa X watu watakuwekea kauzibe hama Mkoa nenda Mkoa Y utatoboa huko au utaanzia kutobolea huko hautatobolewa utaanzia kutobolea huko ukiona Mkoa Y namna gani Hama nenda Mkoa Z kapambane na huko usikae sehemu 1 km MchongomaHakika mkuu na usimtegemee binadamu mwenzio, huwa nasema hakuna atakaekusaidia kuja kuishi maisha yako. Kijana apambane asingoje kuonewa huruma kwa ugumu wa maisha anayopitia.
26yrs bado anayo nafasi ya kufanya kitu na kikawa, habari ya mahusiano aweke kando kwanza.
Ushauri mzuri na makini kabisa, tatizo la sisi vijana wengi tunaona aibu kufanya kazi fulani ili hali ni aibu zaidi kukosa kipato.Unajua Maisha ni km fumbo fulani hivi kikubwa ni kupambania ndoto zako hakuna wa kumlaumu zaidi ya Wewe mwenyewe, Wewe ni Ile Mbegu iliyozishinda mamillion ya Mbegu sasa inakuaje ushindwe kizembe sometimes aibu weka mfukoni jilipue ukiona Mkoa X watu watakuwekea kauzibe hama Mkoa nenda Mkoa Y utatoboa huko au utaanzia kutobolea huko hautatobolewa utaanzia kutobolea huko ukiona Mkoa Y namna gani Hama nenda Mkoa Z kapambane na huko usikae sehemu 1 km Mchongoma
Nachangamsha genge la wadau. mzaha mwingi humuI can't compare your comments and your legs
ANachangamsha genge la wadau. mzaha mwingi humu
Sikiliza wimbo wa Stamina na Darasa unaitwa sikati tamaaYaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
unata akukule auNjoo kwangu nikulee, uwe.kiben10 wangu.
Serious!!!