Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Usikae tu amka nenda kakutane na wanaume wenzio kwenye vibarua huko mambo mengine mbele mbele yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshindwa hata kuokota makopo?Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
Jamii forum ni mtandao wa matajiri .Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
awe na sifa gani😊Aisee nina hamu kweli ya kumpenda mtu yaani ile kicrazy kabisaaaa....tatizo simpati
Don't worry mkuu every thing will be ok don't die at 20 and burried at 80 by age bado mdogo sana wewe diamond alikimbiwa na baba yake omy dimpoz alitelekezwa na baba yake mwana FA ameenda shule bila viatu don't worry mkuu wakati wa mungu ni wakati sahihi.Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa[emoji22][emoji22][emoji22]
Manisha haya mkuu, kuna kipindi unajiona umechelewa halafu unakutana na mtu kakuzidi miaka 20 ana hali mbaya kukuzidi na bado anapambanaHakika mkuu na usimtegemee binadamu mwenzio, huwa nasema hakuna atakaekusaidia kuja kuishi maisha yako. Kijana apambane asingoje kuonewa huruma kwa ugumu wa maisha anayopitia.
26yrs bado anayo nafasi ya kufanya kitu na kikawa, habari ya mahusiano aweke kando kwanza.
Daaa umri huo ndio nilikuwa natoka chuo, na ka degree kangu,nikaenda kukaa ghetto na binamu yangu, chumba na seble, akileta demu, ananitimua, aliponichoka, akaanza visa, Mara viatu vyake vimeibiwa, nikasema nitamlipa,Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
Awe tu anapumuaawe na sifa gani😊
Wewe tafuta wa kuzugiaMIMI huku 😉🪘😆
Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
Ulitaka awe na miaka 80,bora aseme hapa atapata wataomsaidia.Unamiaka 26 tu unahisi kuchoka? Serious? 😥
Maisha ni myepesi sana, yasikuumize kichwa, nenda kapige kibarua chochote usingoje kazi ya maana kwa kuwa ulienda shule za kusomea ujinga.Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
ACHANA NAYO. FANYA KITU KINGINEYaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
Nilikwambua kwamba jina linakuponza,Mungu anajua ulishatoboa kupitia virabuYaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢