Maisha yanapozidi kuwa magumu na uwezo wa kufikiria unakuwa chini

Maisha yanapozidi kuwa magumu na uwezo wa kufikiria unakuwa chini

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Huu ni mtazamo wangu binafsi ambao ni based kutokana na experience nilizopitia mpaka Sasa.

Maisha yanapokuwa magumu mara nyingi fikra zinakuwa ni zilezile unatumia energy na Akili kubwa kuwaza utakula nini, utalipaje Kodi ama utavaa Nini na kwa bahati mbaya ukipata pesa kidogo unazotumia ili kuweza kujisahaulisha magumu unayopitia kwa starehe.

Katika ugumu wa maisha ndio Kuna mawazo ya kurogana, kupata mali kwa njia za kushirikiana na kila aina ya ubaya.

Mfano mwingine unaothibitisha kuwa ugumu wa maisha unaeffect mbaya kwenye kufikiri ni huu hapa kwenye neighborhood za uswahili agenda kuu ni umbeya ukifanya comparison na wenzetu ambao agenda kuu ni kutimiza ndoto zao na za watu wao wa karibu.

Soma Pia: Uaminifu mdogo chanzo cha maisha magumu na umaskini kwa watanzania
 
Huu ni mtazamo wangu binafsi ambao ni based kutokana na experience nilizopitia mpaka Sasa.

Maisha yanapokuwa magumu mara nyingi fikra zinakuwa ni zilezile unatumia energy na Akili kubwa kuwaza utakula nini, utalipaje Kodi ama utavaa Nini na kwa bahati mbaya ukipata pesa kidogo unazotumia ili kuweza kujisahaulisha magumu unayopitia kwa starehe.

Katika ugumu wa maisha ndio Kuna mawazo ya kurogana, kupata mali kwa njia za kushirikiana na kila aina ya ubaya.

Mfano mwingine unaothibitisha kuwa ugumu wa maisha unaeffect mbaya kwenye kufikiri ni huu hapa kwenye neighborhood za uswahili agenda kuu ni umbeya ukifanya comparison na wenzetu ambao agenda kuu ni kutimiza ndoto zao na za watu wao wa k
Mapenzi Yana nguvu
 
Watanzania lazima maisha yawe magumu kwakuwa mungu kawapa Kila kitu ila wameshindwa kuvisimania ,in short viongozi mnao wachagua hawana vision!!
Nakupa mifano michache
1) Mungu kawapa bandari,imewashinda
2) Mungu kawapa wanyamapori wamewashinda
3) mungu kawapa madini yamewashinda
4) viwanda mlivyo wapora wazungu miaka ya sabini na themann vimetushinda ,!! Mfano ,Tanganyika parkers kilikuwa kinachinja na kuuza nyama ya ng'ombe Dunia nzima chini ya muafrika kimekufa Sasa Kuna manabii wanahubiri miujiza[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42] unategemea nn!?
Vijana wamejaa mitaani hawana ajira ,hebu pita pale mwembe Yanga saa nne asubuhu mpaka jion utajionea!!
Mkonde ,sisi ndio tulikuwa miamba Duniani umetushinda!!
5) viwanda vimekufa kaja machina na mhindi kafanya ni magodown!!
Kwa kifupi mwafrika Hana uwezo wa kujitawala na kujiletea maendeleo!! Hana, nasisistiza Hana!! Mwafrika anajua kuajiriwa,aibe ajenge booonge la nyuma !! Kwishaaaa
 
GVmaFWbbgAAqkQ4.jpg
 
Watanzania lazima maisha yawe magumu kwakuwa mungu kawapa Kila kitu ila wameshindwa kuvisimania ,in short viongozi mnao wachagua hawana vision!!
Nakupa mifano michache
1) Mungu kawapa bandari,imewashinda
2) Mungu kawapa wanyamapori wamewashinda
3) mungu kawapa madini yamewashinda
4) viwanda mlivyo wapora wazungu miaka ya sabini na themann vimetushinda ,!! Mfano ,Tanganyika parkers kilikuwa kinachinja na kuuza nyama ya ng'ombe Dunia nzima chini ya muafrika kimekufa Sasa Kuna manabii wanahubiri miujiza[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42] unategemea nn!?
Vijana wamejaa mitaani hawana ajira ,hebu pita pale mwembe Yanga saa nne asubuhu mpaka jion utajionea!!
Mkonde ,sisi ndio tulikuwa miamba Duniani umetushinda!!
5) viwanda vimekufa kaja machina na mhindi kafanya ni magodown!!
Kwa kifupi mwafrika Hana uwezo wa kujitawala na kujiletea maendeleo!! Hana, nasisistiza Hana!! Mwafrika anajua kuajiriwa,aibe ajenge booonge la nyuma !! Kwishaaaa
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
 
Huu ni mtazamo wangu binafsi ambao ni based kutokana na experience nilizopitia mpaka Sasa.

Maisha yanapokuwa magumu mara nyingi fikra zinakuwa ni zilezile unatumia energy na Akili kubwa kuwaza utakula nini, utalipaje Kodi ama utavaa Nini na kwa bahati mbaya ukipata pesa kidogo unazotumia ili kuweza kujisahaulisha magumu unayopitia kwa starehe.

Katika ugumu wa maisha ndio Kuna mawazo ya kurogana, kupata mali kwa njia za kushirikiana na kila aina ya ubaya.

Mfano mwingine unaothibitisha kuwa ugumu wa maisha unaeffect mbaya kwenye kufikiri ni huu hapa kwenye neighborhood za uswahili agenda kuu ni umbeya ukifanya comparison na wenzetu ambao agenda kuu ni kutimiza ndoto zao na za watu wao wa karibu.

Soma Pia: Uaminifu mdogo chanzo cha maisha magumu na umaskini kwa watanzania
Ni kweli maisha yakiwa magumu sana una loose confidence, hivyo inapelekea kushindwa hata kifikiri mambo chanya.
 
Back
Top Bottom