Maisha yanapozidi kuwa magumu na uwezo wa kufikiria unakuwa chini

Maisha yanapozidi kuwa magumu na uwezo wa kufikiria unakuwa chini

Ukifirisika hadi ikafika hatua unakosa pesa ya kodi na chakula lazima uwezo wa kufikiri uporomoke. Hakikisha hivyo vitu viwili hapo juu havikusumbui ili eweze kuwaza mambo mengine makubwa
 
Watanzania lazima maisha yawe magumu kwakuwa mungu kawapa Kila kitu ila wameshindwa kuvisimania ,in short viongozi mnao wachagua hawana vision!!
Nakupa mifano michache
1) Mungu kawapa bandari,imewashinda
2) Mungu kawapa wanyamapori wamewashinda
3) mungu kawapa madini yamewashinda
4) viwanda mlivyo wapora wazungu miaka ya sabini na themann vimetushinda ,!! Mfano ,Tanganyika parkers kilikuwa kinachinja na kuuza nyama ya ng'ombe Dunia nzima chini ya muafrika kimekufa Sasa Kuna manabii wanahubiri miujiza[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42] unategemea nn!?
Vijana wamejaa mitaani hawana ajira ,hebu pita pale mwembe Yanga saa nne asubuhu mpaka jion utajionea!!
Mkonde ,sisi ndio tulikuwa miamba Duniani umetushinda!!
5) viwanda vimekufa kaja machina na mhindi kafanya ni magodown!!
Kwa kifupi mwafrika Hana uwezo wa kujitawala na kujiletea maendeleo!! Hana, nasisistiza Hana!! Mwafrika anajua kuajiriwa,aibe ajenge booonge la nyuma !! Kwishaaaa
Nikiwa na akili zangu timamu, bila kushawishiwa na mtu awe yote, nimeamua kwamba, hii hoja naiunga mko asilimia mia, hasa mstari unaosema mwafrika hana uwezo wa kujitawala na kujiletea maendeleo..Trump pia alithibitisha hilo.
 
Hesabu ya Maisha Magumu waliiweza watakatifu tu wakati wanamchunguza kama Yesu amepokea Fedha kutoka kwa mungu


Sio kichapo kile na kuishia kufa msalabani
 
hapo ni 50/50%.
kwangu mimi ni tofauti, nilipokuwa apeche alolo ndio AKILI ilinikaa sawa haswa. nikabuni PROJECT yangu moja matata, na sasa inaendelea vizuri japo bado sijafikia lengo kuu.
 
Back
Top Bottom