Maisha yanapozidi kuwa magumu na uwezo wa kufikiria unakuwa chini

Ukifirisika hadi ikafika hatua unakosa pesa ya kodi na chakula lazima uwezo wa kufikiri uporomoke. Hakikisha hivyo vitu viwili hapo juu havikusumbui ili eweze kuwaza mambo mengine makubwa
 
Nikiwa na akili zangu timamu, bila kushawishiwa na mtu awe yote, nimeamua kwamba, hii hoja naiunga mko asilimia mia, hasa mstari unaosema mwafrika hana uwezo wa kujitawala na kujiletea maendeleo..Trump pia alithibitisha hilo.
 
Hesabu ya Maisha Magumu waliiweza watakatifu tu wakati wanamchunguza kama Yesu amepokea Fedha kutoka kwa mungu


Sio kichapo kile na kuishia kufa msalabani
 
hapo ni 50/50%.
kwangu mimi ni tofauti, nilipokuwa apeche alolo ndio AKILI ilinikaa sawa haswa. nikabuni PROJECT yangu moja matata, na sasa inaendelea vizuri japo bado sijafikia lengo kuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…