Bill Cosby
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 2,588
- 1,554
Kwa hiyo Adamu alitumwa kwa watoto wake!? ngojea niwaitie na Spike Lee mtoe bonge la kitu we na Bill Cosby nadhani mtauza kinyama itakuwa bonge la comedy...
I know, when birth pangs starts. Let me see if you can get epidural injection.Silly season is here again.
Mkuu, hii dini ni msiba mtupu. Na baba yake Doudi kwao ni Mtume. Astaghfirullah.Hadi Mfalme Sulemani kwao ni nabii...
Alitumia kitabu gani, maana kila Ummah ulipewa Kitaab kutokana na Quran yenu dhaif. Sasa Adam alitumia Kitaab gani na kilishushwa lini na kipo wapi.Sa tukabliana Adam alitumwa na Mungu afahamishe watoto wake namna Mungu anavyo taka wayafanye sio. Kwa hio Adam kuwa ni mtume kuna kosa hapo? Sa mbona wakristo mnashangaa tukisema Adam ni mtume.
THE POISONING OF MUHAMMAD
Narrated 'Aisha: The Prophet in his ailment in which he died, used to say, "O 'Aisha! I still feel the pain caused by the food I ate at Khaibar, and at this time, I feel as if my aorta is being cut from that poison."
MUHAMMAD AND GABRIEL PRAY FOR HEALING
From Ibn Sa'd page 265
The apostle of Allah fell ill and he i.e. Gabriel, chanted on him, saying, "In the name of Allah I chant on to ward off from you every thing that harms you and (to ward off you) against every envier and from every evil eye and Allah will heal you."
MUHAMMAD'S DEATH
[again quoting from Bukhari's Hadith 5.713:]
Narrated 'Aisha:
The Prophet in his ailment in which he died, used to say, "O 'Aisha! I still feel the pain caused by the food I ate at Khaibar, and at this time, I feel as if my aorta is being cut from that poison."
QUESTIONS
1) If Muhammad were a real prophet of God, why didn't he catch the poison before he ate it?
2) If you believe that it was God's will for Muhammad to have eaten the poison, along with Bishr, why then did Muhammad try to get well? Even Gabriel prayed for Muhammad to get better, but Allah didn't answer that prayer either.
3) Why did Gabriel not know the will of Allah? Why would Gabriel pray if Allah had decided death?
4) Why did Muhammad force the other Muslims to drink the medicine he was given? One of them was one of his wives, and she was fasting. He forced her to break her fast and drink the medicine as well. Doesn't this sound vindictive and petty?
5) Why, when just before his death, did Muhammad have to utter a curse upon the Christians and the Jews? Wouldn't it have been better for Muhammad to pray for guidance for them? This also sounds like a jealous, bitter prayer to Allah. Muhammad prayed for and uttered curses instead of asking Allah to guide people.
6) Why would pleurisy, which is a normal infection of the lung membrane, be considered to be from Satan, but being poisoned would not be from Satan?
Silly season is here again.
Dogo mimi sitaki hadith nyingi wewe unakikubali kitabu chako au hukikubali, wacha firibi nataka action. Tazam bibilia inaongea kishwahili hapo kinafahamika kabisa, hatutaki maneno mengi, kitabu chako kinasema wewe kama mkristo haswa unaweza kufanya hayo, haiongelei yalio pita yanaongelea yanao kuja au unaweza kuyafanya sio ulio yafanya, inasema kama una amini ukristo basi unaweza kunywa Sumu na Kushika Mijoko na usidhurike, hebu jaribu dogo wacha kukimbia. Tazama dogo bibili yako inasema nini, Kiswahili clear kabisa; Marko 16:18[SUP]18 [/SUP]wataweza hata kuwa kamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.
Aliye Mtuma Yesu na Mussa ndio huyo huyo aliye mtuma Mtume Muhammad.Mtume ni Mtu aliye tumwa. Sasa nani alimtuma Muhammad?
The basic truth is that, the man is a product of his mind:A S wink:I know, when birth pangs starts. Let me see if you can get epidural injection.
Sa ajabu iko wapi mbona watoto wa wafalme wanakuwa wafalme, kwanini watoto wa mitume wasiwe mitume.Mkuu, hii dini ni msiba mtupu. Na baba yake Doudi kwao ni Mtume. Astaghfirullah.
We wacha kukimbia swali langu, kama wewe mkristo kwanini hunywi sumu, au umemshika nani akapona, au umeshika joka gani toka umezaliwa? Firimbi nyingi tu. Swali la Mtume kunyeshwa sumu nimeisha kujibu kalisome, sina time kurudia kila wakati kujibu ujinga wako ule ule. Yani umefikia mpaa unajiquote hapo ni dalili kama umeishiwa.Naona kijana na Mjukuu wa Muhammad unaanza kukimbia mada. Si ulitaka kutest kama Sumu inafanya kazi, VIPI ALLAH ASHINDWE VIBAYA SANA KUMPONYA MUHAMMAD baada ya KULISHWA sumu na Dada Jasiri wa Kiyahudi?
Hakika Allah WENU HANA UWEZO WA KUPONYA.
Hivi, kwanini Jibril alimuombea Muhammad? Hivi hajua kuwa Allah hakuwa na mpango wowote ule wa kumponya Muhammad, AU JIBRIL huwa anajituma mwenye na kusema ETI Allah kamtuma. HUU NI MSIBA.
How can we then trust this Jibril?
Yani nikiwaeleza wakristo hata Mitume hamuwajui mnabisha, mnampiga Adam kama si Mtume, wakati bibilia yenu inamkubali kama nimtume, sijui hapo mtaificha wapi aibu hio.Logically speaking, A prophet is simply someone who speaks to God Directly or Indirectly, and then tells others what they have heard. So Adam would be the first. We kaisome bibilia yako utaona Adam ni Mtume, kasome; Genesis 20:7 Now therefore restore the man his wife; for he is a prophet, and he shall pray for thee, and thou shalt live: and if thou restore her not, know thou that thou shalt surely die, thou, and all that are thine.Alitumia kitabu gani, maana kila Ummah ulipewa Kitaab kutokana na Quran yenu dhaif. Sasa Adam alitumia Kitaab gani na kilishushwa lini na kipo wapi.
Haya fanya kazi ya kumsaidia Allah wako.
Ukristo sio swala la dini ni swala la maisha. Jibu ndio inawezekana...."Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio Marko16:17"Dogo mimi sitaki hadith nyingi wewe unakikubali kitabu chako au hukikubali, wacha firibi nataka action. Tazam bibilia inaongea kishwahili hapo kinafahamika kabisa, hatutaki maneno mengi, kitabu chako kinasema wewe kama mkristo haswa unaweza kufanya hayo, haiongelei yalio pita yanaongelea yanao kuja au unaweza kuyafanya sio ulio yafanya, inasema kama una amini ukristo basi unaweza kunywa Sumu na Kushika Mijoko na usidhurike, hebu jaribu dogo wacha kukimbia. Tazama dogo bibili yako inasema nini, Kiswahili clear kabisa; Marko 16:18[SUP]18 [/SUP]wataweza hata kuwa kamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.
wakina faiza Foxy na wengine walikuwa wanashiriki sana hii Mijadala alipogundua mnavyo wanyanyapaa wanawake amejitoa..Sasa wewe kuniita Dada ndio unaamini umenishusha saaaaaana?!!! Kwakuwa dada yoyote hana thamani machoni pake.Jina langu linakupa tabu sana Mkuu wa chuo cha tiba mbadala.
Au mzee wa kikombe!
Hivi huyu dada 2013 alisoma ktk chuo chako? Manake naona fikra zenu zinakaribiana sana.
Na hicho chuo chako kinaitwaje vile?
Au ndio kile kilifungwa Vitambaa vyeusi kwenye miti na kina Chumba kimoja tu lilichopakwa rangi nyeusiii!
Safi sana sa we kama unauamini ukristo kama inavyo sema Marko 16:17 mbona hujaribu? Au we si wanao amini ukristo? Yani kumbe siku zote tunapoteza wakati na mtu asiye amini ukristo. Afu unataka watu wafate ukristo. Ajiiib, hichi ni kichekesho cha mwaka aisay.Ukristo sio swala la dini ni swala la maisha. Jibu ndio inawezekana...."Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio Marko16:17"
Bibilia imesema Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako. (mathayo 4:7 )Safi sana sa we kama unauamini ukristo kama inavyo sema Marko 16:17 mbona hujaribu? Au we si wanao amini ukristo? Yani kumbe siku zote tunapoteza wakati na mtu asiye amini ukristo. Afu unataka watu wafate ukristo. Ajiiib, hichi ni kichekesho cha mwaka aisay.
Mimi nimeingi akukujibu hapa tu unasemauislam una nyanyasa wanawake nani anaye kudanganya dogo. The basis of Islamic teachings with respect to women is exactly what we read in the Noble Qur`an: And for women are rights over men similar to those of men over women." Qur'an 2:228 Mtume Muhammad katika hadith zake alisema; Wafanyieni wema wanawake. Mwanamke ameumbwa na ubavu, na sehemu iliyopinda zaidi ni ya juu. Ukijaribu kuinyoosha itavunjika, na ukiiacha itabaki kama ilivyo. Kwa hiyo, watendeeni wema wanawake". Katika riwaya nyingine: " Ukijaribu kuunyoosha utamvunja na kumvunja ni kumtaliki.wakina faiza Foxy na wengine walikuwa wanashiriki sana hii Mijadala alipogundua mnavyo wanyanyapaa wanawake amejitoa..
Dogo hizo ni kelele zisio kuwa na ukweli wowote, hebu tuambie nani katika hao walipewa sumu hakufa au aliumwa na nyoka hakufa? Usiniletee story za Yesu hapo, sababu Yesu hakuwa mkristo mana hamna dalili kama yeye ni mkristo, kama unazo zilete hapa. Hio yakusema usimjaribu Bwana Mungu Wako, nyie ndio wa kwanza mnamfanyia utani Mungu, kwa kusema binadamu kawa Mungu, wakati Yesu alitembea duniani, alikula, alilala, alizaliwa na binadamu, alipigiliwa kwenye msalaba kama mnavyo dai, na alikufa sa hamuoni hapo mnakufuru nyie. Mungu anasema hakuna kitu kinacho weza kumzuia yeye wala kiti chake. Hakuna anaye weza kukishika sababu kinafunika mbingu saba na dunia yote. Sa Yesu kamsalaba tu kalimtosha, mpaa akawa anaomba aokolewe. Afu mnasema kawa Mungu, kweli nyie vichaa haswa.Bibilia imesema Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako. (mathayo 4:7 )
Kujiua ama kuua mtu ni dhambi. Wako wengi waliosimama na Mungu wakapewa sumu na watu wabaya ili wafe, lakini Mungu akawashindia hawakufa kwa jina la Yesu.
Usiseme yesu ni Mkristo sema Yesu ndiye Kristo mwana wa Mungu.MAthayo 16: 6 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.Dogo hizo ni kelele zisio kuwa na ukweli wowote, hebu tuambie nani katika hao walipewa sumu hakufa au aliumwa na nyoka hakufa? Usiniletee story za Yesu hapo, sababu Yesu hakuwa mkristo mana hamna dalili kama yeye ni mkristo, kama unazo zilete hapa. Hio yakusema usimjaribu Bwana Mungu Wako, nyie ndio wa kwanza mnamfanyia utani Mungu, kwa kusema binadamu kawa Mungu, wakati Yesu alitembea duniani, alikula, alilala, alizaliwa na binadamu, alipigiliwa kwenye msalaba kama mnavyo dai, na alikufa sa hamuoni hapo mnakufuru nyie. Mungu anasema hakuna kitu kinacho weza kumzuia yeye wala kiti chake. Hakuna anaye weza kukishika sababu kinafunika mbingu saba na dunia yote. Sa Yesu kamsalaba tu kalimtosha, mpaa akawa anaomba aokolewe. Afu mnasema kawa Mungu, kweli nyie vichaa haswa.
Enyi mlioamini kwa yakini baadhi ya wake zenu na watoto wenu ni maadui zenu basi jihadharini nao Quran 64:14.Mimi nimeingi akukujibu hapa tu unasemauislam una nyanyasa wanawake nani anaye kudanganya dogo. The basis of Islamic teachings with respect to women is exactly what we read in the Noble Qur`an: And for women are rights over men similar to those of men over women." Qur'an 2:228 Mtume Muhammad katika hadith zake alisema; Wafanyieni wema wanawake. Mwanamke ameumbwa na ubavu, na sehemu iliyopinda zaidi ni ya juu. Ukijaribu kuinyoosha itavunjika, na ukiiacha itabaki kama ilivyo. Kwa hiyo, watendeeni wema wanawake". Katika riwaya nyingine: " Ukijaribu kuunyoosha utamvunja na kumvunja ni kumtaliki.
"They (your wives) are your garment and you are a garment for them." Qur'an 2:187.
Mkuu Allah hawezi kitu, Allah anafanya biashara na watu ili kuua watu.Hapo sasa nimefurahi mana umekubali kwenye Bibilia zenu hamuwezi pate elimu hio, sababu si kitabu tena cha Mungu, bada yakuvurugwa na Paulo. Lazima ufahamu ukisoma Qur'an unamini kabisa hicho kitabu cha Mungu, sababu kinaongea yote ya kweli. Qur'an inasema hivi;Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema amjiimarisha juu ya Arshi .. (Qur'an Twaha; 20: 5) Na inaendelea tena kusema, katika sura ingine; Kishaa kajiimarisha Mwenyewe juu ya Arshi (Qur'an Furqan;25:59) Akaendelea tena kusema kwenye Qur'an;Ni Yeye ambaye ameziumba mbingu na ardhi katika siku sita na Arshi Yake ilikuwa juu ya maji..... (Qur'an Huud; 11: 7)Akasema tena kwenye Qur'an; Na kiti chake kimeenea mbingu na nchi .. (Qur'an Al-Baqarah; 2: 255) Akamalizia hapo kwenye Qur'an sura ingine kwa kusema; Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao wala wao hawajui kitu katika elimu yake ila kile apendacho yeye. Elimu (Kursiy) yake imeenea mbingu na nchi (Al-Baqarah; 2: 255) Hapo lazima uwogope dogo haswa nyie mnao sema Mungu alijileta kwa umbile la ki binadamu, Mungu anasema yeye anapo kaa basi kiti chake hakuna anaye weza kukizuia au kukishika sababu kiti chake kimeenea kwenye mbingu zote na duniani. Yani dogo hapo ulipo ujuwe yupo na anajua kila unacho kifanya, angekuwa anaishi mbinguni kama Bibilia zenu zinavyo sema basi mbingu zingekuwa zinauwezo wa kumzuia Mungu, na hicho kitu kinaonyesha wazi si Mbingu au Ardhi inaweza kuzuia uzito wake Mungu. Mkifata Bibilia zenu za uwongo za kusema Mungu yuko mbinguni, nadhani ingekuwa tabu sana kuona kila kitu sababu mnasema yuko sehemu flani tu. Tumeni Logic kabla ya mbingu na ardhi kumbwa na Mungu alikuwa wapi? na FYI; Hayo MAJI NDIO ALIYAUMBA KWANZA KABLA YA KILA KITU, YANI HAYO MAJI KAYAFANYA YAWE BORA KULIKO KILA KITU, NDIO SABABU MUNGU AKASEMA; "We made from water every living thing, will they not then believe?"(Surat Al-Anbiyaa (The Prophets): 30)Na kumalizia na Qur'an hapo ujuwe hichi kitabu cha Mungu wa kweli sio cha kina Paulo wenu, YULE shetani aliye vuruga dini ya Mungu, Qur'an inasema;Hakika Mola Wenu ni Mwenyezi Mungu mmoja tu, ambaye hakuna aabudiwaye ila Yeye tu, anakijua kila kitu kwa elimu (Yake). (Qur'an Twaaha; 20: 98) Yani hapo Mungu anasema ni yeye tu mwenye elimu ya kila kitu kilichopo dunaini na mbinguni, nadhani dogo umejifunza hapo mara ya pili usiwe unakifata kitabu cha Paulo kitakupoteza, kimeisha kupoteza, na kitaendelea kukupoteza. Yani kiujumla kitu chochote alicho kiumba Mungu basi UJUWE WAZI kasha kifikia, na ana ki control kunzia maji, mbingu, na ardhi NA WEWE ANAWEZAA KUKUZIMISHA MOYO WAKO HAPO SASA HIVI, CHEZEA MUNGU WEWE DOGO.