Hapo sasa nimefurahi mana umekubali kwenye Bibilia zenu hamuwezi pate elimu hio, sababu si kitabu tena cha Mungu, bada yakuvurugwa na Paulo. Lazima ufahamu ukisoma Qur'an unamini kabisa hicho kitabu cha Mungu, sababu kinaongea yote ya kweli. Qur'an inasema hivi;Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema amjiimarisha juu ya Arshi
.. (Qur'an Twaha; 20: 5) Na inaendelea tena kusema, katika sura ingine; Kishaa kajiimarisha Mwenyewe juu ya Arshi
(Qur'an Furqan;25:59) Akaendelea tena kusema kwenye Qur'an;Ni Yeye ambaye ameziumba mbingu na ardhi katika siku sita na Arshi Yake ilikuwa juu ya maji..... (Qur'an Huud; 11: 7)Akasema tena kwenye Qur'an;
Na kiti chake kimeenea mbingu na nchi
.. (Qur'an Al-Baqarah; 2: 255) Akamalizia hapo kwenye Qur'an sura ingine kwa kusema; Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao wala wao hawajui kitu katika elimu yake ila kile apendacho yeye. Elimu (Kursiy) yake imeenea mbingu na nchi
(Al-Baqarah; 2: 255) Hapo lazima uwogope dogo haswa nyie mnao sema Mungu alijileta kwa umbile la ki binadamu, Mungu anasema yeye anapo kaa basi kiti chake hakuna anaye weza kukizuia au kukishika sababu kiti chake kimeenea kwenye mbingu zote na duniani. Yani dogo hapo ulipo ujuwe yupo na anajua kila unacho kifanya, angekuwa anaishi mbinguni kama Bibilia zenu zinavyo sema basi mbingu zingekuwa zinauwezo wa kumzuia Mungu, na hicho kitu kinaonyesha wazi si Mbingu au Ardhi inaweza kuzuia uzito wake Mungu. Mkifata Bibilia zenu za uwongo za kusema Mungu yuko mbinguni, nadhani ingekuwa tabu sana kuona kila kitu sababu mnasema yuko sehemu flani tu. Tumeni Logic kabla ya mbingu na ardhi kumbwa na Mungu alikuwa wapi? na FYI; Hayo MAJI NDIO ALIYAUMBA KWANZA KABLA YA KILA KITU, YANI HAYO MAJI KAYAFANYA YAWE BORA KULIKO KILA KITU, NDIO SABABU MUNGU AKASEMA; "We made from water every living thing, will they not then believe?"(Surat Al-Anbiyaa (The Prophets): 30)Na kumalizia na Qur'an hapo ujuwe hichi kitabu cha Mungu wa kweli sio cha kina Paulo wenu, YULE shetani aliye vuruga dini ya Mungu, Qur'an inasema;Hakika Mola Wenu ni Mwenyezi Mungu mmoja tu, ambaye hakuna aabudiwaye ila Yeye tu, anakijua kila kitu kwa elimu (Yake). (Qur'an Twaaha; 20: 98) Yani hapo Mungu anasema ni yeye tu mwenye elimu ya kila kitu kilichopo dunaini na mbinguni, nadhani dogo umejifunza hapo mara ya pili usiwe unakifata kitabu cha Paulo kitakupoteza, kimeisha kupoteza, na kitaendelea kukupoteza. Yani kiujumla kitu chochote alicho kiumba Mungu basi UJUWE WAZI kasha kifikia, na ana ki control kunzia maji, mbingu, na ardhi NA WEWE ANAWEZAA KUKUZIMISHA MOYO WAKO HAPO SASA HIVI, CHEZEA MUNGU WEWE DOGO.