Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Nimeona, haya sasa lete ufahamu na ukaririshwaji wako toka katika Chuo cha bibilia au ndo ule ujinga wa kumeza vizima vizima kama "chatu"....!?

Nani alikisema hayo maneno na nani alikitumia ibada au matendo hayo....!?

Au ndo kama mnyama ila ninyi mmepotoka ziada hata ya hao wanyama....!?
10653510_289931131214354_8474366352260829826_n.jpg
 
Ni bora kujaribu kufundisha kondoo kuliko kumfundisha Mgalatia.

Sisi hatuna Uwezo wwt wa kumpa mtu unabii wala utume!! Wanaofanya hayo NI NYIE WAKRISTU!
Kila siku mnajipa Utume na unabii wanamme kwa wanawake! Juu ya kuwa Kwenye hilo likitabu lenu Halina nabii mwanamke HATTA MMOJA!

Hebu tazama hapa chini nini nabii wako kafanya kwa mke wa kondoo.
mkuu naona unaendelea kupaste picha zisizo na maana..na kuzitolea maelezo, angalia hapo juu namba #1030 watu wamepaste facts kuhusu hii cult yako.
 
Hapo nilipoweka red, Waraqa bin Naufal aliutolea wapi huo uwezo wa kumpa mtu unabii!?

Haya maneno umetoa wapi!
Na huyo uliemtaja hapo ni nani!

Naona muefeso kakugongea Like utafkiri kuna la maana umeandika hapa!
Kkkkkkkkk!
Ugalatia kaazi kweli kweli! Aisee!
 
Sikua nahitaji maelezo meengi ambayo hayana mantiki kwakuwa mimi wala sioni umuhimu wa mipasho,uneishia kwenye red tu na ningekuelewa

Sasa swali linakuja [kwa mujibu wa jibu lako kwenye red],Adam ni mtume wa nani,yaani alitumwa kwa akina nani?

Ni kwanini mitume wengine wote ni Wayahudi kasoro Muhammad tu?

Unafiki na uongo ni JADI YENU!

Mtume SALEH sio MYAHUDI!
Mtume Yusuf SIO MYAHUDI.

Uongo ulimponza yule mkuda kwenye msalaba! Na wewe utakuponza siku moja.


Hilo la Mtume Adam Nenda kasome Quraan. Au mwambie Padri akusomee km hujui kusoma!

Bata mzinga!
 
Unafiki na uongo ni JADI YENU!

Mtume SALEH sio MYAHUDI!
Mtume Yusuf SIO MYAHUDI.

Uongo ulimponza yule mkuda kwenye msalaba! Na wewe utakuponza siku moja.


Hilo la Mtume Adam Nenda kasome Quraan. Au mwambie Padri akusomee km hujui kusoma!

Bata mzinga!

Mtume Saleh ndio mtume gani?
Mtume Yusuph yupi unamzungumzia hapa?

Kama tunaanza kuambiana tukasome hiki au kile kuna sababu gani ya kuulizana maswali?
Kama huna jibu la Adam kutumwa kwa akina nani si uniambie tu?

Kama hilo jibu lipo kwenye Quran unashindwaje kuliandika hapa?
 
Haya maneno umetoa wapi!
Na huyo uliemtaja hapo ni nani!

Naona muefeso kakugongea Like utafkiri kuna la maana umeandika hapa!
Kkkkkkkkk!
Ugalatia kaazi kweli kweli! Aisee!

Kabla ya kukwambia nilipotolea, unamwelewa vipi Waraqa bin Naufal!? kwasababu huyo jamaa ndiye aliwaeleza yule aliyemniga Muhammad pangoni ni Jibril, aliyemwambia Muhammad Iqraa Bismi Rabbik... Kwasababu yeye na Khadija hawakujua ni nani, mpaka mzee mzima Waraqa akamwambia Khadija... Khadija akamwambia Muhammad...
 
Mtume Saleh ndio mtume gani?
Mtume Yusuph yupi unamzungumzia hapa?

Kama tunaanza kuambiana tukasome hiki au kile kuna sababu gani ya kuulizana maswali?
Kama huna jibu la Adam kutumwa kwa akina nani si uniambie tu?

Kama hilo jibu lipo kwenye Quran unashindwaje kuliandika hapa?

Ndio nikasema kila mara hapa jukwaani kuwa unapojadili na Wagalatia unatakiwa uwe na subira sana.

Sasa hapo juu unajifanya kusema Eti kwanini Muhammad peke yakw Sio myahudi wakati mitume wengine wote wayahudi.
Nakufahamisha kuwa HAPO umedanganya na km kwaida yenu Uongo ni Nguzo kuu ya Ukafiri.
Halafu unaniuliza maswali mengine ya kipuuzi!

Kwenda kasome mwenyewe! Kwani mi babako! Nikutafunie kila kitu?

Wewe na hao wagalatia wenzako PAULO kaisha wavuruga!
Mi kukusaidia siwezi.
 
Kabla ya kukwambia nilipotolea, unamwelewa vipi Waraqa bin Naufal!? kwasababu huyo jamaa ndiye aliwaeleza yule aliyemniga Muhammad pangoni ni Jibril, aliyemwambia Muhammad Iqraa Bismi Rabbik... Kwasababu yeye na Khadija hawakujua ni nani, mpaka mzee mzima Waraqa akamwambia Khadija... Khadija akamwambia Muhammad...

We hicho cheo cha mkuu wa chuo unajipa hali ya kuwa hata mfagia chuo hayuko hivyo!
Wewe leo wakunifundisha mimi UISLAMU?

JIBU unachoulizwa Usituletee mipasho hapa!

Wapi WARAQA alimpa BINAADAMU YYT UTUME?
Hebu onyesha hapa km wewe ni msema kweli.

Basi wakristo mmekuwa wote km kina dada wa vingunguti?
Dahh!
 
Ndio nikasema kila mara hapa jukwaani kuwa unapojadili na Wagalatia unatakiwa uwe na subira sana.

Sasa hapo juu unajifanya kusema Eti kwanini Muhammad peke yakw Sio myahudi wakati mitume wengine wote wayahudi.
Nakufahamisha kuwa HAPO umedanganya na km kwaida yenu Uongo ni Nguzo kuu ya Ukafiri.
Halafu unaniuliza maswali mengine ya kipuuzi!

Kwenda kasome mwenyewe! Kwani mi babako! Nikutafunie kila kitu?

Wewe na hao wagalatia wenzako PAULO kaisha wavuruga!
Mi kukusaidia siwezi.

Umeshindwa kuelezea majibu yako matokeo yake maneno ya hovyo ndio maelezo ya ufafanuzi wako

Hongera ...!!
 
Umeshindwa kuelezea majibu yako matokeo yake maneno ya hovyo ndio maelezo ya ufafanuzi wako

Hongera ...!!
Eiyer lbd nikueleze kwa mara ya mwisho hapa na huko mbeleni sintorudia tena kukueleza hili. Na km hutobadili nidhamu ya kuuliza maswali yako basi Utaendelea kunipa hongera mpaka Kufa!

Unaponiuliza swali llt kwanza kabisa unatakiwa uwe na Nidhamu na usilete kebehi maana yake kwa kebehi hapa utakimbia mwenyewe!
Pili uwe umejipanga na hicho unachokiuliza!

Unauliza maswali yanayohusu WAISLAMU halafu UISLAMU WENYEWE HUUJUI!

Mimi ninapojadili ANDIKO Lako Basi natoa MANENO YOTE NDANI YA BIBI LIA yako na sio mipasho ya KANISANI.

Sasa we unauliza Kuhusu MITUME wa WAISLAMU halafu unaniuliza SALEH na YUSUF ni nani??

HIvi kweli we unataka kujua hapa!?
Wabovu sana nyie waefeso!
 
Last edited by a moderator:
Eiyer lbd nikueleze kwa mara ya mwisho hapa na huko mbeleni sintorudia tena kukueleza hili. Na km hutobadili nidhamu ya kuuliza maswali yako basi Utaendelea kunipa hongera mpaka Kufa!

Unaponiuliza swali llt kwanza kabisa unatakiwa uwe na Nidhamu na usilete kebehi maana yake kwa kebehi hapa utakimbia mwenyewe!
Pili uwe umejipanga na hicho unachokiuliza!

Unauliza maswali yanayohusu WAISLAMU halafu UISLAMU WENYEWE HUUJUI!

Mimi ninapojadili ANDIKO Lako Basi natoa MANENO YOTE NDANI YA BIBI LIA yako na sio mipasho ya KANISANI.

Sasa we unauliza Kuhusu MITUME wa WAISLAMU halafu unaniuliza SALEH na YUSUF ni nani??

HIvi kweli we unataka kujua hapa!?
Wabovu sana nyie waefeso!

Mkuu tena imekuwa vyema sana kusema kuwa Siujui Uislam,kwa maana hiyo hapa ndio ingekuwa ndio mahali pazuri pa kunieleza huo Uislam.lakini hujafanya hivyo ......

Kingine ni kuwa umedai nakebehi,sijui ni wapi nimekebehi,nakushauri mkuu usifasiri maneno kwa sababu ya hofu yako au kwa mtindo wako wa ufanyaji mambo,mara nyingi mtu anapoona kila mtu ni mwizi lazima yeye kwanza atakuwa ni mwizi,sasa hapa unaona kama nakebehi hii ina maana wewe ndio mfanya kebehi wa kwanza na ndio maana unona kila mtu anakebehi hata kama hafanyi hivyo

Hao mitume mmoja naweza nikawa namjua kama utanielewesha kuwa ni yule ambae mimi namjua,huyo mwingine sijawahi kumsikia,kukuuliza hao ni wakina nani nakuwa nimekebehi wapi?

Hili ni jukwaa huru,hakuna haja ya kurushiana maneno ya ajabu bila fact ...

Umedai kuwa unaujua Ukristo,kwa mujibu wa Ukristo wenyewe wewe huujui kabisa Ukristo na kama ungeujua wala usingekuwa hapa unaweka mipicha na kudai kuwa tu namuabudu Mzungu

Kama ungeujua Ukristo wala usingekuja hapa na kuporomosha kashfa kumhusu Mfalme wa Wafalme .....!!
 
We pray to God, inter-alia, Jesus is God.

YESU NI MUNGU MKUU

[/FONT][/COLOR]

Inter alia my black foot!
yesu yupi unaemuongelea hapa!
Ni yule wa msalabani? Au ni yule fundi seremala? Au ni yule MCHAWI?

Manake kwenye Bibilia kuna Yesu wengi.
Na km yesu ni mungu ilikuwaje Ajiue mwenyewe kwa ajili ya dhambi za watu wengine hali ya kuwa mtoa hukumu ni yeye mwenyewe?

Yaani ampe mimba mama yake, halafu akishazaliwa ajihukumu mwenyewe, halafu ajiombe mwenyewe aokoke na kile kikombe!
Halafu ajitoe kafara Mwenyewe ili ajiridhishw mwenyewe!

I that make any sense to you?
Miss paster! Lzm utakuwa unatumia Ile Dawa nyeupe inayouzwa VATICAN!
 
We hicho cheo cha mkuu wa chuo unajipa hali ya kuwa hata mfagia chuo hayuko hivyo!
Wewe leo wakunifundisha mimi UISLAMU?

JIBU unachoulizwa Usituletee mipasho hapa!

Wapi WARAQA alimpa BINAADAMU YYT UTUME?
Hebu onyesha hapa km wewe ni msema kweli.

Basi wakristo mmekuwa wote km kina dada wa vingunguti?
Dahh!

Katika Kitabu cha Maisha Nabii Muhammad kilichoandikwa na Sheikh Abdullah Saleh Farsy unazipata hizo habari...

Ukianza ile movie yote ya Muhammad alipokuwa katika pango la Jabal Hira alipobanwa kule na mchizi ambaye hata hamjui mpaka akaenda kumuelezea mke wake Khadija, mkewe alidhani kwanza ana homa akamfunika baada ya homa kumuachia ndio akamueleza mkewe, mkewe akaenda kwa Waraqa, baadae Waraqa kuonana na Muhammad baada ya kuambiwa aitwe, Khadija akampeleka huko...

Bwana Waraqa akamwambia HUYO NDIYE JIBRIL ALIYEMSHUKIA NABII MUSSA NA NABII ISA BASI JIBASHIRIE KUWA WEWE NI MTUME WA UMA HUU NAMI NATAMANI KUWA HAI NIKUONE UNAVYOSIMAMA KUWATENGENEZA JAMAA ZAKO. INSHAALAH nitakuwa mkono wako wa kulia, wakarejea kwao na hofu yote imemtoka (utasoma ukurasa wa 17)

Haya niambie sasa huyo Waraqa ni nani!?
 
Inter alia my black foot!
yesu yupi unaemuongelea hapa!
Ni yule wa msalabani? Au ni yule fundi seremala? Au ni yule MCHAWI?

Manake kwenye Bibilia kuna Yesu wengi.
Na km yesu ni mungu ilikuwaje Ajiue mwenyewe kwa ajili ya dhambi za watu wengine hali ya kuwa mtoa hukumu ni yeye mwenyewe?

Yaani ampe mimba mama yake, halafu akishazaliwa ajihukumu mwenyewe, halafu ajiombe mwenyewe aokoke na kile kikombe!
Halafu ajitoe kafara Mwenyewe ili ajiridhishw mwenyewe!

I that make any sense to you?
Miss paster! Lzm utakuwa unatumia Ile Dawa nyeupe inayouzwa VATICAN!
10356029_926962250665996_4773658042476296522_n.jpg
 
Unafiki na uongo ni JADI YENU!

Mtume SALEH sio MYAHUDI!
Mtume Yusuf SIO MYAHUDI.

Uongo ulimponza yule mkuda kwenye msalaba! Na wewe utakuponza siku moja.


Hilo la Mtume Adam Nenda kasome Quraan. Au mwambie Padri akusomee km hujui kusoma!

Bata mzinga!
10659246_10152895934511015_1949932714055333115_n.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom