Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
The Qur'an makes it clear that God is author of the Qur'an, Surah 26:210-212 The devils did not bring it (the Quran) down. It is not meet for them, nor is it in their power, Lo! verily they are banished from the hearing. Qur'an does not demand belief. the Quran invites belief, and here is the fundamental difference. It is not simply delivered as; Here is what you are to believe, but throughout the Quran the statements are always; Have you O man thought of such and such, have you considered so and so. It is always an invitation for you to look at the evidence; now what do you believe .
You are once again wrong. Allah demands belief, that is why when a person leaves Islam he/she is either ask to return or killed.

Bukhari (52:260) - "...The Prophet said, 'If somebody (a Muslim) discards his religion, kill him.' "

Bukhari (84:57) - "[In the words of] Allah's Apostle, 'Whoever changed his Islamic religion, then kill him.'"

Bukhari (89:271) - A man who embraces Islam, then reverts to Judaism is to be killed according to "the verdict of Allah and his apostle."

What kind of God is Allah?


Now let us see; Bible's original authors are mysterious people. No one knows who they were. Mark 3:22-26
[SUP]22[/SUP]And the teachers of the law who came down from Jerusalem said, "He is possessed by Beelzebub[SUP][c][/SUP]! By the prince of demons he is driving out demons." [SUP]23[/SUP]So Jesus called them and spoke to them in parables: "How can Satan drive out Satan? [SUP]24[/SUP]If a kingdom is divided against itself, that kingdom cannot stand. [SUP]25[/SUP]If a house is divided against itself, that house cannot stand. [SUP]26[/SUP]And if Satan opposes himself and is divided, he cannot stand; his end has come.
How can Satan cast out Satan? That is why Allah has no ability to cast out evil spirits but impute them to humans. That is evidence enough that Allah and Satan is the same person.
Here is the story told by Muhammad's wet-nurse, related in Guillaume's translation of Ibn Ishaq, page 72:
"His [Muhammad's friend's] father said to me, "I am afraid that this child has had a stroke, so take him back to his family before the result appears. ..... She [Muhammad's mother] asked me what happened and gave me no peace until I told her. When she asked if I feared a demon had possessed him, I replied that I did."

You see, even your Prophet was demon possessed and we read no where that he was once delivered from those diabolical and fiendish creatures.

The story is repeated in the gospel of Matthew; Matthew 12:24-26 [SUP]24[/SUP]But when the Pharisees heard this, they said, "It is only by Beelzebub,[SUP][d][/SUP] the prince of demons, that this fellow drives out demons." [SUP]25[/SUP]Jesus knew their thoughts and said to them, "Every kingdom divided against itself will be ruined, and every city or household divided against itself will not stand. [SUP]26[/SUP]If Satan drives out Satan, he is divided against himself. How then can his kingdom stand? AND btw; Most Christians believe that the God of the Bible is the most fair and just and most important, most loving; Let us see how much truth this belief really holds; Many will say to me (Jesus) on that day, 'Lord, Lord, did we not prophesy in your name, and in your name drive out demons and perform many miracles?' Then I will tell them plainly, 'I never knew you. Away from me, you evildoers!' (From the NIV Bible, Matthew 7:22-23)" Let us look at further verses from the Bible that prove that most Christians are going to Hell;"If your right eye causes you to sin, gouge it out and throw it away. It is better for you to lose one part of your body than for your whole body to be thrown into hell. (From the NIV Bible, Matthew 5:29)"

Jesus cast out demons but Allah and Islam can not and will not because evil demons are islamic.
 
I see how can Christians be so sure they're right and everyone else is wrong? The Bible proclaim Jesus existed before Abraham I don't think so, Lets us see ; John 8:39 ►
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]"Abraham is our father," they answered. "If you were Abraham's children," said Jesus, "then you would do what Abraham did.


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

John 8:58
"I tell you the truth," Jesus answered, "before Abraham was born, I am!"
Jesus claimed to exist before Abraham. The words I am mean I exist. So Jesus existed before Abraham.
One might wonder if you get that information direct from God.
Jesus didn't say he existed before Adam, why?
John 17:5
And now, Father, glorify me in your presence with the glory I had with you before the world began.
The above verse is clear about Christ's pre-existence in glory before the world began. The next verse also confirms that Jesus pre-existed in Heaven.

According to their basic definitions, they both represent a supreme power. However, sometimes God as a term is used to represent the only supreme power, whereas deity can be used to refer to any of the forms of this supreme power and thus can be multiple in number.


I'm pretty sure that, Jibreel is not Satan.
Give us proof and not vain words.​
 
I am testing your comprehension. It seems you guys are either blind or decided to act wantonly since you know that believing in Jesus will terminate your earthly life.

An Nisa 4:89 They but wish that ye should reject Faith, as they do, and thus be on the same footing (as they): But take not friends from their ranks until they flee in the way of Allah (From what is forbidden). But if they turn renegades, seize them and slay them wherever ye find them; and (in any case) take no friends or helpers from their ranks;-
You aint seen nothing yet, Let see ; The Bible clearly shows that Jesus had no existence prior to his birth in Bethlehem, 1900 years ago. He was born of the virgin Mary, by the overshadowing power of God (Luke 1: 30-35), and thus was both son of God and son of man. How did he become God.
 
You aint seen nothing yet, Let see ; The Bible clearly shows that Jesus had no existence prior to his birth in Bethlehem, 1900 years ago. He was born of the virgin Mary, by the overshadowing power of God (Luke 1: 30-35), and thus was both son of God and son of man. How did he become God.

There are more than a thousand verses I prove to you and show the pre existence of Jesus. Here are few:
John 1:15
15 John testifies concerning him. He cries out, saying, "This was he of whom I said, ‘He who comes after me has surpassed me because he was before me.' "

John the Baptist was 6 months older than Jesus Christ. So it is physically impossible for Christ to be before him. Surely this verse shows preexistence, at least before John the Baptist.

Jude 1:25
to the only God our Savior be glory, majesty, power and authority, through Jesus Christ our Lord, before all ages, now and forevermore! Amen.

&

Colossians 1:17
He is before all things, and in him all things hold together.

These 2 verses you just read blatantly say that he is before all things.

John 1:3
Through him all things were made; without him nothing was made that has been made.

So there is nothing that was made that didn't involve Jesus/The Word being there. This verse alone answers your question because the universe, angels and men were made and Jesus was present when they were created.

John 8:58
"I tell you the truth," Jesus answered, "before Abraham was born, I am!"

Jesus claimed to exist before Abraham. The words I am mean I exist. So Jesus existed before Abraham.

Revelation 22:16
"I, Jesus, have sent my angel to give you this testimony for the churches. I am the Root and the Offspring of David, and the bright Morning Star."

Here we see that Jesus is the offspring of David, yet he is also the root of David, which at appears to show existence before King David.

Luke 10:18
He replied, "I saw Satan fall like lightning from heaven.

Compare Luke 10:18 with Revelation 12:1-10 and it appears that Satan and his angels fell to the earth before the birth of Christ as a man. Now we know that Jesus was the Word and was with God in the beginning.


Micah 5:2
"But you, Bethlehem Ephrathah, though you are small among the clans of Judah, out of you will come for me one who will be ruler over Israel, whose origins are from of old, from ancient times."

Micah 5:2 talks about someone who will rule Israel and who's origin is from ancient times. Who but Jesus could fit that description?

John 1:1
In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was god.

John 1:14
The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the One and Only,[ 1:14 Or the Only Begotten] who came from the Father, full of grace and truth.

So Jesus was with God in the beginning. We also know from certain scriptures that Jesus is Lord of the Sabbath and it is assumed that Jesus gave the Law. We are also told in Acts:7:30-39 that an Angel of the Lord appeared to Moses through whom God spoke and this is the same Angel who spoke to Moses on Mount Sinai and passed on the living words (The Law) to Moses.
 
Hapo nilipoweka red sio kwamba hiyo aya haipo ila ninazo aya nyingi sana ngojea nikuwekee baadhi

Luka 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.

Luka 1:35 Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.

Luka 8:28 Alipomwona Yesu alipiga kelele, akaanguka mbele yake, akasema kwa sauti kuu, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi usinitese.

Wagalatia 4:4 Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria,

Hata aya zinazozungumza Yesu ni Mungu zipo zaidi ya hizo, lakini ngojea tuendelee

Yesu Kristo ni Mungu, Yesu Kristo ni Masihi...

Angalia hili andiko Mungu akisema

Luka 3:22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili, kama hua; sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.

Ili hapa fungu la Wafilipi linajibu hizo hoja zako, Wafilipi 2:5-11

5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.

1 Timotheo 3:16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.

Kumbe alipokuja duniani alikuja kwa umbo la mwanadamu, Halafu pia Mungu ni Roho...

Ok. Nimezisoma na hizo.

Nazidi kukupa hongera kwa msimamo wako kwamba unaamini bible yote.

Kwa mantiki hiyo, bible imemtambulisha Yesu kama:

1 Yesu ni Mungu.
Tito 2: 13 na Wakolosai 2: 2.

2 Yesu ni mtoto wa Mungu.
Luka 1: 32 na Wagalatia 4: 4.

3 Yesu ni mwanadamu.
Yohana 8: 40 na Matayo 38: 40.

Swali la kwanza.

Jee kuna mungu/miungu wangapi? (Kwa kuzingatia aya sita nilizozigawa mbili mbili hapn juu.)

Swali la pili.

a)
Yesu anapokuwa mwana wa Mungu, anakuwa katika hali gani? Anakuwa Naye ni Mungu kama baba yake au anakuwa ni binadamu kama mama yake?

b)
Yesu akiwa mwana wa Mungu, baba yake anakuwa nani?
...

Wafilipi 2: 5 - 11. Na ukichukua zile aya zinazosema yesu ni mwana wa Mungu.

Mpaka hapo inamaana kwamba, Mungu alikuwa NAMNA tatu.
1
Mungu to binadamu. Wafilipi 2: 7.

2
Mungu to mwana wa Mungu. Luka 1: 35.

3
Then Mungu akarudi katika hali yake ya Uungu. (Kama alivyokuwa mwanzo). Na akakirimu jina lipitalo kila jina. Wafilipi 2: 9.

Swali la tatu.

Jee unakubali maelezo na aya hizo kama nilivyogawanya hapo juu?
Kama hukubali, naomba unifafanulie vizuri hapo.
...

Wafilipi 2: 8. Inasema Yesu alikutwa na mauti. Yaani alikufa.

Swali la nne.

a)
Alikufa wapi? (Msalabani or wapi?)

b)
Wakati Yesu (Mungu) amekufa kwa siku tatu, dunia ilikuwa na nani?

Labda nikupe mwongozo hapo kabla hujajibu.

Nilikuuliza, waliokuwa na Yesu walimwita mwalimu na Yesu mwenyewe alisema ndivyo alivyo yaani mwalimu. Wewe unamwita nani, ulijibu unamwita Mungu na Masihi.

Sasa alipokufa siku tatu ulimwengu ulikuwa hauna Mungu?
 
Ok. Nimezisoma na hizo.

Nazidi kukupa hongera kwa msimamo wako kwamba unaamini bible yote.

Kwa mantiki hiyo, bible imemtambulisha Yesu kama:

1 Yesu ni Mungu.
Tito 2: 13 na Wakolosai 2: 2.
Yap, Yesu ni Mungu Mkuu. Allah never said in the Quran that he is God.

2 Yesu ni mtoto wa Mungu.
Luka 1: 32 na Wagalatia 4: 4.
Yes, Jesus has a Father. Allah has no son, that is why Jesus is not Issa who has a Father.

3 Yesu ni mwanadamu.
Yohana 8: 40 na Matayo 38: 40.
He is God incarnate. Allah has no this ability to be incarnate. Allah is not omnipotent.

Swali la kwanza.

Jee kuna mungu/miungu wangapi? (Kwa kuzingatia aya sita nilizozigawa mbili mbili hapn juu.)

Swali la pili.
God is Trinity. Allah is using "WE" what does it mean.

a)
Yesu anapokuwa mwana wa Mungu, anakuwa katika hali gani? Anakuwa Naye ni Mungu kama baba yake au anakuwa ni binadamu kama mama yake?
Same Jesus. Doesn't change a thing. Just like Allah said he is a King. Je, anakuwa katika hali gani?

b)
Yesu akiwa mwana wa Mungu, baba yake anakuwa nani?
...
Jesus is not the Father. The Father is not Jesus, but both are One in the Spirit.

Wafilipi 2: 5 - 11. Na ukichukua zile aya zinazosema yesu ni mwana wa Mungu.

Mpaka hapo inamaana kwamba, Mungu alikuwa NAMNA tatu.
Father, Son and Spirit are not the same person but One in the Spirit.

1
Mungu to binadamu. Wafilipi 2: 7.
Emanuel which covers that.

2
Mungu to mwana wa Mungu. Luka 1: 35.

3
Then Mungu akarudi katika hali yake ya Uungu. (Kama alivyokuwa mwanzo). Na akakirimu jina lipitalo kila jina. Wafilipi 2: 9.
Jesus means God Incarnate and He is God and Man. Those are two natures of Jesus. Read Colossians.

Swali la tatu.

Jee unakubali maelezo na aya hizo kama nilivyogawanya hapo juu?
Kama hukubali, naomba unifafanulie vizuri hapo.
...
Those verses are proofs that God is omnipotent and He can do what he wants. Allah can not have a son because he is no omnipotent and limited in ability.

Wafilipi 2: 8. Inasema Yesu alikutwa na mauti. Yaani alikufa.

Swali la nne.

a)
Alikufa wapi? (Msalabani or wapi?)
Jesus died at the Cross at Golgotha at 3 PM

b)
Wakati Yesu (Mungu) amekufa kwa siku tatu, dunia ilikuwa na nani?
The earth doesn't need GOD to exist. Just like you and other who denies God.

Labda nikupe mwongozo hapo kabla hujajibu.
You don't have to.

Nilikuuliza, waliokuwa na Yesu walimwita mwalimu na Yesu mwenyewe alisema ndivyo alivyo yaani mwalimu. Wewe unamwita nani, ulijibu unamwita Mungu na Masihi.
Some called him God. Thomas replied, "My Lord and my God" (John 20.28).

Sasa alipokufa siku tatu ulimwengu ulikuwa hauna Mungu?
The Father is God. Holy Spirit is God.
 
Yap, Yesu ni Mungu Mkuu. Allah never said in the Quran that he is God.


Yes, Jesus has a Father. Allah has no son, that is why Jesus is not Issa who has a Father.


He is God incarnate. Allah has no this ability to be incarnate. Allah is not omnipotent.


God is Trinity. Allah is using "WE" what does it mean.


Same Jesus. Doesn't change a thing. Just like Allah said he is a King. Je, anakuwa katika hali gani?


Jesus is not the Father. The Father is not Jesus, but both are One in the Spirit.


Father, Son and Spirit are not the same person but One in the Spirit.


Emanuel which covers that.


Jesus means God Incarnate and He is God and Man. Those are two natures of Jesus. Read Colossians.


Those verses are proofs that God is omnipotent and He can do what he wants. Allah can not have a son because he is no omnipotent and limited in ability.


Jesus died at the Cross at Golgotha at 3 PM


The earth doesn't need GOD to exist. Just like you and other who denies God.


You don't have to.


Some called him God. Thomas replied, "My Lord and my God" (John 20.28).


The Father is God. Holy Spirit is God.
Safi sana. Umejibu vizuri. But wewe endelea na Adiosamigo, kwani huwezi kujadiliana nami, kwani nikikuuliza maswali yangu haujibu. Kiufupi kwa mjadala huu na hatua hii bora uniache, tumeshashindwana.

Tafadhali ishmael naomba usiniingilie kama mimi nisivyokuingilia.

Vumilia ndugu, ni mjadala huu tu.
...
Mkuu wa chuo naomba tuendelee na mjadala wetu kama tunavyoendelea nao.
Naomba unijibu hayo maswali manne.
...
Tafadhali Ishmael usituharibie mjadala wetu.
...
Cc: Mkuu wa chuo.
 
Ok. Nimezisoma na hizo.

Nazidi kukupa hongera kwa msimamo wako kwamba unaamini bible yote.

Kwa mantiki hiyo, bible imemtambulisha Yesu kama:

1 Yesu ni Mungu.
Tito 2: 13 na Wakolosai 2: 2.

2 Yesu ni mtoto wa Mungu.
Luka 1: 32 na Wagalatia 4: 4.

3 Yesu ni mwanadamu.
Yohana 8: 40 na Matayo 38: 40.

Swali la kwanza.

Jee kuna mungu/miungu wangapi? (Kwa kuzingatia aya sita nilizozigawa mbili mbili hapn juu.)
Hili fungu hapa chini linajibu hayo Maswali yako

1 Yohana 5:8 Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.


Swali la pili.

a)
Yesu anapokuwa mwana wa Mungu, anakuwa katika hali gani? Anakuwa Naye ni Mungu kama baba yake au anakuwa ni binadamu kama mama yake?

b)
Yesu akiwa mwana wa Mungu, baba yake anakuwa nani?
...
Kwanza kabisa unatakiwa kujua kwamba Mungu ni Roho... Hayo maswali yako yanajibiwa na haya mafungu hapa chini

Yohana 5:17-24

17 Akawajibu, Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi.
18 Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu. Basi Yesu akajibu, akawaambia, Amin, amin, nawaambia,
19 Mwana hawezi kutenda neno mwenyewe ila lile ambalo amwona Baba analitenda; kwa maana yote ayatendayo yeye, ndiyo ayatendayo Mwana vile vile.
20 Kwa kuwa Baba ampenda Mwana, naye humwonyesha yote ayatendayo mwenyewe; hata na kazi kubwa zaidi kuliko hizo atamwonyesha, ili ninyi mpate kustaajabu.
21 Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao.
22 Tena Baba hamhukumu mtu ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;
23 ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyempeleka.
24 Amin, amin, nawaambia, Yeye alisikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenipeleka yuna uzima wa milele; wala haingii hukumuni, bali amepita kutoka mautini kuingia uzimani.
Wafilipi 2: 5 - 11. Na ukichukua zile aya zinazosema yesu ni mwana wa Mungu.

Mpaka hapo inamaana kwamba, Mungu alikuwa NAMNA tatu.
1
Mungu to binadamu. Wafilipi 2: 7.

2
Mungu to mwana wa Mungu. Luka 1: 35.

3
Then Mungu akarudi katika hali yake ya Uungu. (Kama alivyokuwa mwanzo). Na akakirimu jina lipitalo kila jina. Wafilipi 2: 9.

Swali la tatu.

Jee unakubali maelezo na aya hizo kama nilivyogawanya hapo juu?
Kama hukubali, naomba unifafanulie vizuri hapo.
ndio nakubali, ila inabidi ujifunze TRINITY na lile fungu la nililokupa la waraka wa Yohana linajibu hilo pia...
...

Wafilipi 2: 8. Inasema Yesu alikutwa na mauti. Yaani alikufa.

Swali la nne.

a)
Alikufa wapi? (Msalabani or wapi?)

b)
Wakati Yesu (Mungu) amekufa kwa siku tatu, dunia ilikuwa na nani?

Labda nikupe mwongozo hapo kabla hujajibu.

Nilikuuliza, waliokuwa na Yesu walimwita mwalimu na Yesu mwenyewe alisema ndivyo alivyo yaani mwalimu. Wewe unamwita nani, ulijibu unamwita Mungu na Masihi.

Sasa alipokufa siku tatu ulimwengu ulikuwa hauna Mungu?
Kama nilivyokwambia mara ya kwanza Mungu ni Roho, kwa hiyo roho haifi, ila inaachana na mwili, kwa hiyo roho huwa inaachana na mwili, pia inatakiwa ujifunze kuhusiana na Roho maana hapa chini fungu kutoka kwenye Qurani inaonyesha kwamba hiyo Elimu ya Roho hamjapewa, hebu angalia hapa chini

Qurani 17:85 Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.

Kwa hiyo inabidi ujifunze kwana hiyo ilimu, ndio utakuwa tunaelewana ninachozungumza, ila tukizidi kuendela utapata concept

2 Wakorintho 3:17 Basi 'Bwana' ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.
 
Safi sana. Umejibu vizuri. But wewe endelea na Adiosamigo, kwani huwezi kujadiliana nami, kwani nikikuuliza maswali yangu haujibu. Kiufupi kwa mjadala huu na hatua hii bora uniache, tumeshashindwana.

Tafadhali ishmael naomba usiniingilie kama mimi nisivyokuingilia.

Vumilia ndugu, ni mjadala huu tu.
...
Mkuu wa chuo naomba tuendelee na mjadala wetu kama tunavyoendelea nao.
Naomba unijibu hayo maswali manne.
...
Tafadhali Ishmael usituharibie mjadala wetu.
...
Cc: Mkuu wa chuo.
Since JF is the open forum, my response was for others including but not limited to you for informative purposes and for intellectual comprehension, to wit
 
Hili fungu hapa chini linajibu hayo Maswali yako

1 Yohana 5:8 Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.



Kwanza kabisa unatakiwa kujua kwamba Mungu ni Roho... Hayo maswali yako yanajibiwa na haya mafungu hapa chini

Yohana 5:17-24

17 Akawajibu, Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi.
18 Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu. Basi Yesu akajibu, akawaambia, Amin, amin, nawaambia,
19 Mwana hawezi kutenda neno mwenyewe ila lile ambalo amwona Baba analitenda; kwa maana yote ayatendayo yeye, ndiyo ayatendayo Mwana vile vile.
20 Kwa kuwa Baba ampenda Mwana, naye humwonyesha yote ayatendayo mwenyewe; hata na kazi kubwa zaidi kuliko hizo atamwonyesha, ili ninyi mpate kustaajabu.
21 Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao.
22 Tena Baba hamhukumu mtu ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;
23 ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyempeleka.
24 Amin, amin, nawaambia, Yeye alisikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenipeleka yuna uzima wa milele; wala haingii hukumuni, bali amepita kutoka mautini kuingia uzimani.

ndio nakubali, ila inabidi ujifunze TRINITY na lile fungu la nililokupa la waraka wa Yohana linajibu hilo pia...

Kama nilivyokwambia mara ya kwanza Mungu ni Roho, kwa hiyo roho haifi, ila inaachana na mwili, kwa hiyo roho huwa inaachana na mwili, pia inatakiwa ujifunze kuhusiana na Roho maana hapa chini fungu kutoka kwenye Qurani inaonyesha kwamba hiyo Elimu ya Roho hamjapewa, hebu angalia hapa chini

Qurani 17:85 Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.

Kwa hiyo inabidi ujifunze kwana hiyo ilimu, ndio utakuwa tunaelewana ninachozungumza, ila tukizidi kuendela utapata concept

2 Wakorintho 3:17 Basi 'Bwana' ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.

Still tunakwenda vizuri mkuu.

Umesema waislam hatuna elimu ya roho kwa mujibu wa Quran 17: 85. Siwezi kupingana na ukweli. Ni kweli Quran imetoa elimu ndogo tu ya roho.

But mimi kama mimi, nimeshajisomea elimu ya roho sana tu, kwani nimesoma hata psychic power, nadhani hapo utagundua inaongelea connection ya roho na mwili na pia mada hiyo inaongelea matumizi mazuri ya roho ili kukuza vipaji vya mtu.

Lakini, hapo naongelea roho ya mtu, sio ya Mungu. Na hata ktk Quran imeongelewa roho ya mtu na sio Mungu.

Kuhusu trinity, pia nimeisoma na nakumbuka hata Ali Sina alijaribu kuichambua trinity, nami nilimsoma, na nikamuelewa, ILA sikumuamini na bado siamini!
Ila siamini kwa sababu Biblia IMECHAKACHULIWA. (napenda nikufafanulie hapo, ila tuendelee kwanza) na ndio maana mimi naweka aya nawe unapinga kwa aya na wote tunatumia biblia.

Nakumbuka nilikwambia, kuna aya ktk bible zinasema:
1 Yesu ni mtu.
2 Yesu ni Mungu.
3 Yesu ni mwana wa Mungu.

Umenijibu kwamba, hao watatu ni mmoja na umetumia Yohana 5: 8 ambayo inasema:
1 Ni baba.
2 Ni neno.
3 Ni roho.

Swali la kwanza.

Jee vitatu hivyo ni vitatu nilivyokuuliza mimi? Yaani hapo mtu ni Yupi, mwana wa Mungu ni Yupi na Mungu ni yupi?

Hapo naomba ufafanuzi tu.
...

Then umekubali Yesu alikuwa namna tatu na ukanisistiza nisome trinity, na umetumia Yohana 5: 8. Na 5: 17 - 24.

Mpaka hapo mkuu wa chuo unamanisha Mungu aligeuka namna tatu tofauti akiwa na Roho moja. Hapa rudia hata Wafilipi 2: 5 - 11.

Kitu ambacho Mungu anapinga ndani ya Biblia hiyo hiyo.

Fungua Yakobo 1: 17. Yasema hivi:

Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu na hushuka kwa bwana wa mianga, KWAKE HAKUNA KUBADILIKA, WALA KIVULI CHA KUGEUKA GEUKA.

Swali la pili.

a)
Mungu amesema hana kivuli cha nini?

b)
Kuwa Mungu, akawa Mtu na akawa mwana wa Mungu kwa kutumia roho 1, kitendo hicho ni nini kwa mujibu wa aya niliyokuekea?
...

Alafu mkuu ulisahau kunijibu swali langu la 4.a) lililouliza:

Swali la tatu.

Yesu alikufa wapi?
 
Eiyer acha ubabaishaji, nilipokwambia bible imechakachuliwa umebisha.
Bible inasema Yesu amelaaniwa bado unabisha.

Huu sio ujinga tena, huu sasa ni upumbavu.

Ivi unaiamini bible au huiamini? (swali hili unalikwepa sana)

Naiamini biblia yote

Yesu hakulaaniwa bali bali alifanyika laana

Umenielewa?
 
You did not answer my question.
I don't think it is worth still talking with you if you can try to twist what is so clear to every reasonanble reader. My advice to you and your fellow Christians is to be ready for hell immediately after death.
 
Naiamini biblia yote

Yesu hakulaaniwa bali bali alifanyika laana

Umenielewa?

Nimekuelewa sasa.
1 unaamini bible yote.
2 Yesu hajalaaniwa bali alifanyika laana.

Hiyo no 2 sio kweli na inapingana na biblia.

Wagalatia 3:13, 14
“KRISTO alitukomboa
katika laana ya torati,
kwa kuwa alifanywa
laana kwa ajili yetu,
maana imeandikwa
amelaaniwa kila mtu
aangikwaye juu ya mti, ili
kwamba baraka ya
Ibrahimu iwafikilie
mataifa katika YESU
KRISTO, tupate kupokea
ahadi ya roho kwa njia
ya amani”.

Aya inasema amelaaniwa.

Kwa vile unaamini bible,
na kwa kuzingatia aya hiyo nakuuliza maswali mawili:

1 a) nini maana ya laana?

b) alielaaniwa atakwenda mbinguni au atakwenda motoni?

c) anaemfata alielaaniwa, jee, atakwenda mbinguni au atakwenda motoni?

2
Kwa mujibu wa aya hiyo, jee unakubali Yesu amelaaniwa ili wewe Eiyer upate uokovu?
 
You are once again wrong. Allah demands belief, that is why when a person leaves Islam he/she is either ask to return or killed.

Bukhari (52:260) - "...The Prophet said, 'If somebody (a Muslim) discards his religion, kill him.' "

Bukhari (84:57) - "[In the words of] Allah's Apostle, 'Whoever changed his Islamic religion, then kill him.'"

Bukhari (89:271) - A man who embraces Islam, then reverts to Judaism is to be killed according to "the verdict of Allah and his apostle."

What kind of God is Allah?


How can Satan cast out Satan? That is why Allah has no ability to cast out evil spirits but impute them to humans. That is evidence enough that Allah and Satan is the same person.
Here is the story told by Muhammad's wet-nurse, related in Guillaume's translation of Ibn Ishaq, page 72:
"His [Muhammad's friend's] father said to me, "I am afraid that this child has had a stroke, so take him back to his family before the result appears. .....She [Muhammad's mother] asked me what happened and gave me no peace until I told her.When she asked if I feared a demon had possessed him, I replied that I did."

You see, even your Prophet was demon possessed and we read no where that he was once delivered from those diabolical and fiendish creatures.



Jesus cast out demons but Allah and Islam can not and will not because evil demons are islamic.
The Bible does say satan is the god of this world. 2 Corinthians 4:4New International Version (NIV) [SUP]4 [/SUP]The god of this age has blinded the minds of unbelievers, so that they cannot see the light of the gospel that displays the glory of Christ, who is the image of God.
Jesus taught his followers to hate;"If anyone comes to me and does not hate his father and mother, his wife and children, his brothers and sisters- yes, even his own life- he cannot be my disciple. (Luke 14:26)"


Jesus is totally irrational!!
If you do something wrong with your eye or hand, cut/pluck it off (Matthew 5:29-30, in a sexual context).
Marrying a divorced woman is adultery. (Matthew 5:32)
Don't plan for the future. (Matthew 6:34)
Don't save money. (Matthew 6:19-20)
Don't become wealthy. (Mark 10:21-25)
Sell everything and give it to the poor. (Luke 12:33)
Don't work to obtain food. (John 6:27)
Don't have sexual urges. (Matthew 5:28)
Make people want to persecute you. (Matthew 5:11)
If someone steals from you, don't try to get it back. (Luke 6:30)
If someone hits you, invite them to do it again. (Matthew 5:39)
If you lose a lawsuit, give more than the judgment. (Matthew 5:40)
If someone forces you to walk a mile, walk two miles. (Matthew 5:41)
If anyone asks you for anything, give it to them without question. (Matthew 5:42)


Hahaha; they say the Word was "a god" spelled with a little "g." So now we've got two gods in John:1:1 In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God. We have the true God "In the beginning was the Word and the Word was with God" that's the true God. Then we have another little god, that's Jesus. So you've got two gods for all your claim that fits only one God. Is Jesus a false god? Oh no, they wouldn't say He's a false god, so now we have Jesus is a god spelled with a little "g"
 
Still tunakwenda vizuri mkuu.

Umesema waislam hatuna elimu ya roho kwa mujibu wa Quran 17: 85. Siwezi kupingana na ukweli. Ni kweli Quran imetoa elimu ndogo tu ya roho.

But mimi kama mimi, nimeshajisomea elimu ya roho sana tu, kwani nimesoma hata psychic power, nadhani hapo utagundua inaongelea connection ya roho na mwili na pia mada hiyo inaongelea matumizi mazuri ya roho ili kukuza vipaji vya mtu.

Lakini, hapo naongelea roho ya mtu, sio ya Mungu. Na hata ktk Quran imeongelewa roho ya mtu na sio Mungu.

Kuhusu trinity, pia nimeisoma na nakumbuka hata Ali Sina alijaribu kuichambua trinity, nami nilimsoma, na nikamuelewa, ILA sikumuamini na bado siamini!
Ila siamini kwa sababu Biblia IMECHAKACHULIWA. (napenda nikufafanulie hapo, ila tuendelee kwanza) na ndio maana mimi naweka aya nawe unapinga kwa aya na wote tunatumia biblia.

Nakumbuka nilikwambia, kuna aya ktk bible zinasema:
1 Yesu ni mtu.
2 Yesu ni Mungu.
3 Yesu ni mwana wa Mungu.

Umenijibu kwamba, hao watatu ni mmoja na umetumia Yohana 5: 8 ambayo inasema:
1 Ni baba.
2 Ni neno.
3 Ni roho.

Swali la kwanza.

Jee vitatu hivyo ni vitatu nilivyokuuliza mimi? Yaani hapo mtu ni Yupi, mwana wa Mungu ni Yupi na Mungu ni yupi?

Hapo naomba ufafanuzi tu.
...
Katika kuwa binadamu mwenye mwili na damu tunaona ya kwamba Yesu aliweka kando usawa wake na Mungu Baba kama nilivyokupa kwenye fungu la Wafilipi 2:5-11, Aliacha utukufu wa Uungu wake iliaweze kuiitambulisha kwa wanadamu wote Siyo kwamba hakuwa na uweza wa Mungu ila uweza huo wa Mungu ulikuwa ndani ya ubinadamu wake, kwa makusudi alichagua kutotumia uweza huo hapa duniani hadi pale tu wakati Baba alipomtaka autumie uweza huo...

Yesu mwenyewe alijichukulia fadhaa zinazosababishwa na kuwa mwanadamu katika mwili na damu

Waebrania 2:14 Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,

Hii ndio maana ya neno Mungu kuwa mwanadamu (INCARNATION)

Yeye akawa ameshiriki katika hali ya mwili na damu, kama tunavyoshiriki katika miili yetu. Mwili wake uliweza kuhisi njaa, uchovu na maumivu kama katika miili yetu

Waebrania 4:15 Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.

Then umekubali Yesu alikuwa namna tatu na ukanisistiza nisome trinity, na umetumia Yohana 5: 8. Na 5: 17 - 24.

Mpaka hapo mkuu wa chuo unamanisha Mungu aligeuka namna tatu tofauti akiwa na Roho moja. Hapa rudia hata Wafilipi 2: 5 - 11.

Kitu ambacho Mungu anapinga ndani ya Biblia hiyo hiyo.

Fungua Yakobo 1: 17. Yasema hivi:

Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu na hushuka kwa bwana wa mianga, KWAKE HAKUNA KUBADILIKA, WALA KIVULI CHA KUGEUKA GEUKA.

Swali la pili.

a)
Mungu amesema hana kivuli cha nini?

b)
Kuwa Mungu, akawa Mtu na akawa mwana wa Mungu kwa kutumia roho 1, kitendo hicho ni nini kwa mujibu wa aya niliyokuekea?
...

Alafu mkuu ulisahau kunijibu swali langu la 4.a) lililouliza:

Swali la tatu.

Yesu alikufa wapi?
Okay nikirudi katika hilo fungu ulilolileta, hebu ngojea tuliangalie

Yakobo 1:17 Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka.

Tumekubaliana ya kwamba Mungu ana uwezo wote, hiyo kubadilika inayoongelewa hapo inaweza kuwa labda uwezo wake umepungua, hicho kitu hakipo, Mungu ni yule yule habadiliki, uwezo wake unabaki vile vile, Mungu ni yule yule sio kwamba labda anabadilika ana mature au ana grow hicho kitu hakipo, unaweza ukaona hili andiko la Waebrania linavyosema

Waebrania 13:8 Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.

1 Yohana 1:5 Na hii ndiyo habari tuliyoisikia kwake, na kuihubiri kwenu, ya kwamba Mungu ni nuru, wala giza lo lote hamna ndani yake.

Hilo swali lako jingine ambalo unasema sijalijibu ni kwamba Yesu alifia Msalabani
 
Nimekuelewa sasa.
1 unaamini bible yote.
2 Yesu hajalaaniwa bali alifanyika laana.

Hiyo no 2 sio kweli na inapingana na biblia.

Wagalatia 3:13, 14
"KRISTO alitukomboa
katika laana ya torati,
kwa kuwa alifanywa
laana kwa ajili yetu,
maana imeandikwa
amelaaniwa kila mtu
aangikwaye juu ya mti, ili
kwamba baraka ya
Ibrahimu iwafikilie
mataifa katika YESU
KRISTO, tupate kupokea
ahadi ya roho kwa njia
ya amani".

Aya inasema amelaaniwa.

Kwa vile unaamini bible,
na kwa kuzingatia aya hiyo nakuuliza maswali mawili:

1 a) nini maana ya laana?

b) alielaaniwa atakwenda mbinguni au atakwenda motoni?

c) anaemfata alielaaniwa, jee, atakwenda mbinguni au atakwenda motoni?

2
Kwa mujibu wa aya hiyo, jee unakubali Yesu amelaaniwa ili wewe Eiyer upate uokovu?
Okay nimekwisha kuelewa ulipokuwa unaniuliza sijajibu swali lako Yesu alifia wapi, kwa hiyo bila shaka swali lililokuwa linafuata ni hili, Japokuwa Eiyer amekwisha kujibu ngojea niongezee sasa twende kazi...

Msalaba sio laana, msalaba ni alama ya Ukombozi kwa mkristo tena ni utambulisho wa Wokovu

1 Wakorintho 1:18 Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.

Ngojea tuangalie sehemu ilipoandikwa amelaaniwa aliyetundikwa juu ya mti, ambapo na mtume Paulo alipotoa kwenye hiyo Wagalatia

Kumbukumbu la Torati 21:22-23

22 Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
23 mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi wako.

Kulingana na hayo mafungu hapo juu, ili mtu alaaniwe, lazima yatendeke mambo yafuatayo

a. Lazima huyu mtu atende dhambi
b. Awekwe juu ya mti baada ya kuuawa

Sasa Mashaxizo nijibu haya maswali

Ili Bwana Yesu alaaniwe, Je alifanya dhambi iliyompasa kuuawa!?

Ili Bwana Yesu alaaniwe, Je Aliwekwa msalabani akiwa amekufa au akiwa hai!?

Yesu hakufa kifo cha laana, kwa wa maandiko mengi yanaonyesha kuwa aliwekwa msalabani akiwa hai

Msalaba ni kipatanisho kati ya Mungu na mwanadamu

Waefeso 2:16 Akawapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba.

Tunapata uzima wa milele kwa kumtazama Kristo pale msalabani, kama ilivyokuwa kwa Waisrael walipona kwa kumwangalia nyoka wa shaba juu ya mti

Yohana 3:14 Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa;

Pitia pia na hili andiko la Wakorintho, uone kama Yesu alilaaniwa, na anayesema Yesu amelaaniwa anaongozwa na nani!?

1 Wakorintho 12:3 Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.
 
Last edited by a moderator:
Katika kuwa binadamu mwenye mwili na damu tunaona ya kwamba Yesu aliweka kando usawa wake na Mungu Baba kama nilivyokupa kwenye fungu la Wafilipi 2:5-11, Aliacha utukufu wa Uungu wake iliaweze kuiitambulisha kwa wanadamu wote Siyo kwamba hakuwa na uweza wa Mungu ila uweza huo wa Mungu ulikuwa ndani ya ubinadamu wake, kwa makusudi alichagua kutotumia uweza huo hapa duniani hadi pale tu wakati Baba alipomtaka autumie uweza huo...

Yesu mwenyewe alijichukulia fadhaa zinazosababishwa na kuwa mwanadamu katika mwili na damu

Waebrania 2:14 Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,

Hii ndio maana ya neno Mungu kuwa mwanadamu (INCARNATION)

Yeye akawa ameshiriki katika hali ya mwili na damu, kama tunavyoshiriki katika miili yetu. Mwili wake uliweza kuhisi njaa, uchovu na maumivu kama katika miili yetu

Waebrania 4:15 Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.


Okay nikirudi katika hilo fungu ulilolileta, hebu ngojea tuliangalie

Yakobo 1:17 Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka.

Tumekubaliana ya kwamba Mungu ana uwezo wote, hiyo kubadilika inayoongelewa hapo inaweza kuwa labda uwezo wake umepungua, hicho kitu hakipo, Mungu ni yule yule habadiliki, uwezo wake unabaki vile vile, Mungu ni yule yule sio kwamba labda anabadilika ana mature au ana grow hicho kitu hakipo, unaweza ukaona hili andiko la Waebrania linavyosema

Waebrania 13:8 Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.

1 Yohana 1:5 Na hii ndiyo habari tuliyoisikia kwake, na kuihubiri kwenu, ya kwamba Mungu ni nuru, wala giza lo lote hamna ndani yake.

Hilo swali lako jingine ambalo unasema sijalijibu ni kwamba Yesu alifia Msalabani

Mkuu wa chuo ulivyonijibu swali la kwanza, ni tofauti na nilivyokuuliza. Ila tuachane napo hapo.

Ulivyojibu swali la pili kuhusu Mungu alivyosema hana kivuli cha kugeuka geuka, umeweka Waebrania 13: 8. 'Yesu kristo ni yule yule, jana, leo na hata milele. Kama ni ndie yule yule, kwani sasa hatumuoni wakati kuna watu walimuona?

Aya hiyo haijibu swali. Na hata ile aya uliyoweka baada ya hiyo, ndio kabisa haijibu swali.

Kuwa Mungu, Mwana wa Mungu na kurudi Umungu, hiyo ni kugeuka geuka ambayo Mungu kaikataa.

Kwanini upingane na ukweli wakati bible unaiamini yote?

Embu fungua Timoteo wa pili 3: 7. Inasema hivi:

Wajifunze siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi, na kama vile Yane na Yamve walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na kweli.

Nilikuuliza ulisema unaamini bible yote.

Ktk bible:
Mungu kasema yeye sio binadamu. Umepinga.

Yesu kasema yeye ni mtu. Umepinga.

Mungu kasema hana kivuli cha kugeuka geuka. Umepinga kwa kusema alikuwa Mungu, akawa binadamu na akawa mwana wa Mungu na baadae akarudi Uungu!
...

Umesema Yesu alikufa msalabani.

Swali la kwanza.

Jee Mungu anakufa?

Swali la pili.

Mungu anasema aliekufa msalabani amefanywaje?
 
Mashaxizo inamaana haujaona post iliyojibu hili swali lako hapa chini!?
Swali la pili.

Mungu anasema aliekufa msalabani amefanywaje?
Majibu yako haya hapa inamaana hujaona, yasome hapa chini tena


Okay nimekwisha kuelewa ulipokuwa unaniuliza sijajibu swali lako Yesu alifia wapi, kwa hiyo bila shaka swali lililokuwa linafuata ni hili, Japokuwa Eiyer amekwisha kujibu ngojea niongezee sasa twende kazi...

Msalaba sio laana, msalaba ni alama ya Ukombozi kwa mkristo tena ni utambulisho wa Wokovu

1 Wakorintho 1:18 Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.

Ngojea tuangalie sehemu ilipoandikwa amelaaniwa aliyetundikwa juu ya mti, ambapo na mtume Paulo alipotoa kwenye hiyo Wagalatia

Kumbukumbu la Torati 21:22-23

22 Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
23 mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi wako.

Kulingana na hayo mafungu hapo juu, ili mtu alaaniwe, lazima yatendeke mambo yafuatayo

a. Lazima huyu mtu atende dhambi
b. Awekwe juu ya mti baada ya kuuawa

Sasa Mashaxizo nijibu haya maswali

Ili Bwana Yesu alaaniwe, Je alifanya dhambi iliyompasa kuuawa!?

Ili Bwana Yesu alaaniwe, Je Aliwekwa msalabani akiwa amekufa au akiwa hai!?

Yesu hakufa kifo cha laana, kwa wa maandiko mengi yanaonyesha kuwa aliwekwa msalabani akiwa hai

Msalaba ni kipatanisho kati ya Mungu na mwanadamu

Waefeso 2:16 Akawapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba.

Tunapata uzima wa milele kwa kumtazama Kristo pale msalabani, kama ilivyokuwa kwa Waisrael walipona kwa kumwangalia nyoka wa shaba juu ya mti

Yohana 3:14 Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa;

Pitia pia na hili andiko la Wakorintho, uone kama Yesu alilaaniwa, na anayesema Yesu amelaaniwa anaongozwa na nani!?

1 Wakorintho 12:3 Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.
 
Last edited by a moderator:
Nimekuelewa sasa.
1 unaamini bible yote.
2 Yesu hajalaaniwa bali alifanyika laana.

Hiyo no 2 sio kweli na inapingana na biblia.

Wagalatia 3:13, 14
“KRISTO alitukomboa
katika laana ya torati,
kwa kuwa alifanywa
laana kwa ajili yetu,
maana imeandikwa
amelaaniwa kila mtu
aangikwaye juu ya mti, ili
kwamba baraka ya
Ibrahimu iwafikilie
mataifa katika YESU
KRISTO, tupate kupokea
ahadi ya roho kwa njia
ya amani”.

Aya inasema amelaaniwa.

Kwa vile unaamini bible,
na kwa kuzingatia aya hiyo nakuuliza maswali mawili:

1 a) nini maana ya laana?

b) alielaaniwa atakwenda mbinguni au atakwenda motoni?

c) anaemfata alielaaniwa, jee, atakwenda mbinguni au atakwenda motoni?

2
Kwa mujibu wa aya hiyo, jee unakubali Yesu amelaaniwa ili wewe Eiyer upate uokovu?

Mimi nahisi uelewi maandiko vizuri ndugu yangu(soma vizuri maandiko ya biblia na uelewe, au ukishidwa kuelewa uliza wataalamu ueleweshwe!!
 
Mkuu wa chuo ulivyonijibu swali la kwanza, ni tofauti na nilivyokuuliza. Ila tuachane napo hapo.

Ulivyojibu swali la pili kuhusu Mungu alivyosema hana kivuli cha kugeuka geuka, umeweka Waebrania 13: 8. 'Yesu kristo ni yule yule, jana, leo na hata milele. Kama ni ndie yule yule, kwani sasa hatumuoni wakati kuna watu walimuona?

Aya hiyo haijibu swali. Na hata ile aya uliyoweka baada ya hiyo, ndio kabisa haijibu swali.

Kuwa Mungu, Mwana wa Mungu na kurudi Umungu, hiyo ni kugeuka geuka ambayo Mungu kaikataa.

Kwanini upingane na ukweli wakati bible unaiamini yote?
Hapo kwenye red alikuja kwa mission maalum, hata hivyo labda usubiri second advent

Ufunuo wa Yohana 1:7 Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona, na hao waliomchoma; na kabila zote za dunia wataomboleza kwa ajili yake. Naam. Amina.

Hapo kwenye blue lile andiko la Yakobo 1:17 ndio linavyomaanisha hivyo!? kwa hiyo kuna kubadilika kwa aina moja!?
Wewe unapo badilisha mawazo kuhusiana na jambo fulani, hapo unakuwa umefanya nini!? hilo andiko linamaanisha kubadilika interms of umbo!? haya kwa aina yako ya kufasiri maandiko hebu nifasirie na hili andiko la Yakobo 1:18 linalofuata baada ya hilo, inaonekana unajua kufasiri zaidi labda sisi hatujui

Yakobo 1:18 Kwa kupenda kwake mwenyewe alituzaa sisi kwa neno la kweli, tuwe kama limbuko la viumbe vyake.

Haya hilo andiko linalofuata Mungu alituzaaje sisi kwa neno la kweli!?

Embu fungua Timoteo wa pili 3: 7. Inasema hivi:

Wajifunze siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi, na kama vile Yane na Yamve walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na kweli.

Nilikuuliza ulisema unaamini bible yote.

Ktk bible:
Mungu kasema yeye sio binadamu. Umepinga.

Yesu kasema yeye ni mtu. Umepinga.

Mungu kasema hana kivuli cha kugeuka geuka. Umepinga kwa kusema alikuwa Mungu, akawa binadamu na akawa mwana wa Mungu na baadae akarudi Uungu!
...

Umesema Yesu alikufa msalabani.

Swali la kwanza.

Jee Mungu anakufa?
Nimekuelezea concept ya INCARNATION lakini naona hujaelewa, unataka nifanyeje sasa!? Labda nikuulize unamuelewaje Mungu!? labda mimi navyomuelewa Mungu ni tofauti na wewe unavyomuelewa, nimekwambia Mungu ni Roho, hebu wewe niambie unamuelewaje, nani kakwambia Mungu anakufa!?

1 Timotheo 6:16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.

Swali la pili.

Mungu anasema aliekufa msalabani amefanywaje?
Hili swali nimekwisha lijibu kwenye post nyingine iliyopita... nasubiri mrejesho kwenye hili
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom