Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
The Bible does say satan is the god of this world. 2 Corinthians 4:4New International Version (NIV) [SUP]4 [/SUP]The god of this age has blinded the minds of unbelievers, so that they cannot see the light of the gospel that displays the glory of Christ, who is the image of God.
Jesus taught his followers to hate;"If anyone comes to me and does not hate his father and mother, his wife and children, his brothers and sisters- yes, even his own life- he cannot be my disciple. (Luke 14:26)"
Ooops kumbe Mungu/Allah anaye wa kufanana naye. Poleni sana Waislamu maana leo mmeshikwa pabaya sana. Allah has an image and Jesus is the Image. Sasa kumbe Allah anapo angalia kwenye kioo anaona sura ya Yesu.

Watakabahu,
 
I don't think it is worth still talking with you if you can try to twist what is so clear to every reasonanble reader. My advice to you and your fellow Christians is to be ready for hell immediately after death.
You need to start answering questions in its own context. I told you already, I need a verse from Allah, and Allah must be the one who is talking and not Jibril. Is Allah able to talk? Yes or No?

If Allah is saying: Say, He is God.... Who do you think is He, since Allah is the one referring the third party as God?

Prove to me that Allah is God?
 
Naiamini biblia yote

Yesu hakulaaniwa bali bali alifanyika laana

Umenielewa?
Mkuu, wakati mwingine huwa nahisi kuwa, hawa jamaa labda wana Makengeza na au hawafahamu kusoma. Aya ipo wazi laikini jamaa wana upofu wa akili.
 
Nimekuelewa sasa.
1 unaamini bible yote.
2 Yesu hajalaaniwa bali alifanyika laana.

Hiyo no 2 sio kweli na inapingana na biblia.

Wagalatia 3:13, 14
“KRISTO alitukomboa
katika laana ya torati,
kwa kuwa alifanywa
laana kwa ajili yetu,
maana imeandikwa
amelaaniwa kila mtu
aangikwaye juu ya mti, ili
kwamba baraka ya
Ibrahimu iwafikilie
mataifa katika YESU
KRISTO, tupate kupokea
ahadi ya roho kwa njia
ya amani”.

Aya inasema amelaaniwa.
Ni kweli kabisa huoni pameandikwa alifanyika laana?

Kwa vile unaamini bible,
na kwa kuzingatia aya hiyo nakuuliza maswali mawili:

1 a) nini maana ya laana?
Sijui laana nini maana yake,hebu nambie mkuu

b) alielaaniwa atakwenda mbinguni au atakwenda motoni?
Motoni

c) anaemfata alielaaniwa, jee, atakwenda mbinguni au atakwenda motoni?
Motoni

2
Kwa mujibu wa aya hiyo, jee unakubali Yesu amelaaniwa ili wewe Eiyer upate uokovu?
Nilishakuambia kuwa hakulaaniwa bali alifanyika laana na mstari wa biblia umeweka na unasema hivyo,kwanini unang'anga'ania kitu kisichokuwepo?
 
Mkuu wa chuo ulivyonijibu swali la kwanza, ni tofauti na nilivyokuuliza. Ila tuachane napo hapo.

Ulivyojibu swali la pili kuhusu Mungu alivyosema hana kivuli cha kugeuka geuka, umeweka Waebrania 13: 8. 'Yesu kristo ni yule yule, jana, leo na hata milele. Kama ni ndie yule yule, kwani sasa hatumuoni wakati kuna watu walimuona?

Aya hiyo haijibu swali. Na hata ile aya uliyoweka baada ya hiyo, ndio kabisa haijibu swali.

Kuwa Mungu, Mwana wa Mungu na kurudi Umungu, hiyo ni kugeuka geuka ambayo Mungu kaikataa.

Kwanini upingane na ukweli wakati bible unaiamini yote?

Embu fungua Timoteo wa pili 3: 7. Inasema hivi:

Wajifunze siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi, na kama vile Yane na Yamve walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na kweli.

Nilikuuliza ulisema unaamini bible yote.

Ktk bible:
Mungu kasema yeye sio binadamu. Umepinga.

Yesu kasema yeye ni mtu. Umepinga.

Mungu kasema hana kivuli cha kugeuka geuka. Umepinga kwa kusema alikuwa Mungu, akawa binadamu na akawa mwana wa Mungu na baadae akarudi Uungu!
...

Umesema Yesu alikufa msalabani.

Swali la kwanza.

Jee Mungu anakufa?

Swali la pili.

Mungu anasema aliekufa msalabani amefanywaje?

Aiseeee.........!!
 
Kitu kimoja nilichokioana hapa ndani, Kunabaadhi ya watu wanasoma biblia kwa lengo au wapete cha kukosoa!! Hawasomi kwa lengo la kujifunza na kutafakari na wala hawanwaliki roho mtakatifu ktk tafakari yao.

Wanasoma bublia as if wanasoma Gazeti au majarida ya ngono au hadithi za alfu lelaulelela wanatoka weupe peee!! hawaambulii chochote maana ni kama lile andiko lisemalo "Wanamacho hawaoni na wanamasikio hawasikii" mioyo yao umekuwa mizito kwa kutafuta ushindi wakisahau duniani hapa hakuna kushinda bali ushindi wetu uko mbele ya mwenyezi Mungu pale tutakapo vikwa mataji ya ushindi kwa kutimiza mapito na majaribu yote hapa duniani.

Wakuu, Eiyer Ishmael Mkuu wa chuo na wengineo Asanteni sana kwa ufafanuzi wenu makini wenye kuelewa tumewaelewa na Tunamwomba Mungu awazidishie hekma ktk Mafunzo yenu kwa wale wasiokubaliana nasi ktk Imani

Mbarikiwe sana

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Mashaxizo inamaana haujaona post iliyojibu hili swali lako hapa chini!?

Majibu yako haya hapa inamaana hujaona, yasome hapa chini tena

Yah! Nimeyaona mkuu. Nilikua hai hai kidogo.

Ok tuendelee...

Kutokana na majibu yako:

Inshort. Yesu hajalaaniwa wala hajafanyika laana.
Si ndio?

Umetumia 1 wakorinto 1: 18 na umepinga Wagalatia 3: 13 iloyosema:

...kwakua alifanywa laana kwa ajili yetu...

Jee tukopamoja hapo?

Kama sio fafanua.

Kama ndio. Huoni unaamini baadhi na kuacha baadhi?

Kwani kumbukumbu la Torati 21: 22-23 sidhani kama inamuongelea Yesu. Wakati wagalatia imempoint Yesu.
...

Jibu la maswali yako:

Mimi naamini Yesu hakulaniwa. Na naamini wagalatia imesema uongo.

Mimi naamini bible pale inaposema kweli na pia ikisema uongo, naamini hapa bible inatudanganya.
Msimamo wangu huo ni tofauti na wewe unaeiamini yote wakati bible imechakachuliwa sana.
...

Naomba uondoe shaka yoyote ktk hayo maelezo yangu na naomba ucomfirm whether unaiamini yote or baadhi. Ili, nichukue nafasi ya kukuthibitishia bible imechakachukuliwa. Nitatumia aya chache kutoka Qur-an na aya nyingi nitatoa ktk Bible.
...
Naomba mwongozo.
 
Last edited by a moderator:
Kitu kimoja nilichokioana hapa ndani, Kunabaadhi ya watu wanasoma biblia kwa lengo au wapete cha kukosoa!! Hawasomi kwa lengo la kujifunza na kutafakari na wala hawanwaliki roho mtakatifu ktk tafakari yao.

Wanasoma bublia as if wanasoma Gazeti au majarida ya ngono au hadithi za alfu lelaulelela wanatoka weupe peee!! hawaambulii chochote maana ni kama lile andiko lisemalo "Wanamacho hawaoni na wanamasikio hawasikii" mioyo yao umekuwa mizito kwa kutafuta ushindi wakisahau duniani hapa hakuna kushinda bali ushindi wetu uko mbele ya mwenyezi Mungu pale tutakapo vikwa mataji ya ushindi kwa kutimiza mapito na majaribu yote hapa duniani.

Wakuu, Eiyer Ishmael Mkuu wa chuo na wengineo Asanteni sana kwa ufafanuzi wenu makini wenye kuelewa tumewaelewa na Tunamwomba Mungu awazidishie hekma ktk Mafunzo yenu kwa wale wasiokubaliana nasi ktk Imani

Mbarikiwe sana

BACK TANGANYIKA

Wewe ni mpumb.avu na huna shkurani. Bwana wako anasema umpende adui yako.

Ivi kama mimi nisingeuliza hayo maswali wewe ungepata wapi uwo ufafanuzi?
 
Last edited by a moderator:
Yah! Nimeyaona mkuu. Nilikua hai hai kidogo.

Ok tuendelee...

Kutokana na majibu yako:

Inshort. Yesu hajalaaniwa wala hajafanyika laana.
Si ndio?

Umetumia 1 wakorinto 1: 18 na umepinga Wagalatia 3: 13 iloyosema:

...kwakua alifanywa laana kwa ajili yetu...

Jee tukopamoja hapo?

Kama sio fafanua.

Kama ndio. Huoni unaamini baadhi na kuacha baadhi?

Kwani kumbukumbu la Torati 21: 22-23 sidhani kama inamuongelea Yesu. Wakati wagalatia imempoint Yesu.
...
Hapo kwenye nilipoweka red, nafikiri umeshindwa kulielewa neno, Paulo alikuwa ananukuu maneno ya Torati, kwamba amelaaniwa na Mungu aliyetundikwa mimi nilichokifanya nimekupeleka kwenye Torati aliyoinukuu, kwasababu agano jipya limekuja baada ya Yesu, ila vitabu vya agano la kale vilikuwepo kabla ya Yesu, Torati ni ya Musa, na ndio iliyoandikwa hivyo, sasa mimi nilichokifanya nikakupeleka kwenye hilo fungu la Torati ambalo limeandikwa hivyo nikakupa na vigezo ili kwamba mtu alaaniwe ni lazima awe na dhambi, na pili anatundikwa akiwa amekwisha kufa, ndio maana nikakuuliza yale maswali, je Yesu alitenda dhambi, ambapo umekataa, nikakuuliza tena je alitundikwa akiwa amekufa... ikaonekana ametundikwa hai

Hebu sasa tuliangalie hilo fungu la Wagalatia

Wagalatia 3:13 Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;

Hapo kwenye hilo andiko hapo juu zingatia hizo bold, kwa hiyo kumbe torati ndiyo iliyosema hivyo, Mtume Paulo anasema maana imeandikwa, imeandikwa wapi sasa!? mimi nilichokifanya nimekupeleka sehemu ilipoandikwa na mtume Paulo aliponukuu ambapo ndio kwenye torati...

Hapo nilikuwa nakuonyesha msingi wa kulielewa neno, na mtume Paulo alichokuwa anakisema hapo ni kweli, kwamba alifanywa laana pasipo kuwa na laana, kutokana na vile vigezo nilivyokupa, tena Paulo anasema kwa ajili yetu...

Sasa unapopinga, tena kwenye hilo andiko ulilolichukua, Mtume Paulo anaeleza kabisa maana imeandikwa, na ni kweli imeandikwa na nimekupeleka sehemu iliyo andikwa ambapo ni kwenye Torati

Sasa hapo nilipoweka red unachokataa ni kipi!? wakati Wagalatia imenukuu Torati, kwa hiyo tatizo jingine nililoliona kwako ni ile hali ya kushindwa kulielewa neno, ndio maana unakuja na hitimisho Biblia imechakachuliwa... kumbe ni mtu kutolielewa neno

Jibu la maswali yako:

Mimi naamini Yesu hakulaniwa. Na naamini wagalatia imesema uongo.

Mimi naamini bible pale inaposema kweli na pia ikisema uongo, naamini hapa bible inatudanganya.
Msimamo wangu huo ni tofauti na wewe unaeiamini yote wakati bible imechakachuliwa sana.
...

Naomba uondoe shaka yoyote ktk hayo maelezo yangu na naomba ucomfirm whether unaiamini yote or baadhi. Ili, nichukue nafasi ya kukuthibitishia bible imechakachukuliwa. Nitatumia aya chache kutoka Qur-an na aya nyingi nitatoa ktk Bible.
...
Naomba mwongozo.
Hapo nilipoweka red pia maelezo niliyoyatoa hapo juu nadhani yanaeleweka, nimekwisha lijibu hapo juu, Naiamini Biblia yote

Hapo nilipoweka Blue unaweza ukaendelea, kwasababu nimekwisha ielewa shida yako na Tatizo kwanini unasema hivyo, okay sawa leta hayo maelezo...
 
Kitu kimoja nilichokioana hapa ndani, Kunabaadhi ya watu wanasoma biblia kwa lengo au wapete cha kukosoa!! Hawasomi kwa lengo la kujifunza na kutafakari na wala hawanwaliki roho mtakatifu ktk tafakari yao.

Wanasoma bublia as if wanasoma Gazeti au majarida ya ngono au hadithi za alfu lelaulelela wanatoka weupe peee!! hawaambulii chochote maana ni kama lile andiko lisemalo "Wanamacho hawaoni na wanamasikio hawasikii" mioyo yao umekuwa mizito kwa kutafuta ushindi wakisahau duniani hapa hakuna kushinda bali ushindi wetu uko mbele ya mwenyezi Mungu pale tutakapo vikwa mataji ya ushindi kwa kutimiza mapito na majaribu yote hapa duniani.

Wakuu, Eiyer Ishmael Mkuu wa chuo na wengineo Asanteni sana kwa ufafanuzi wenu makini wenye kuelewa tumewaelewa na Tunamwomba Mungu awazidishie hekma ktk Mafunzo yenu kwa wale wasiokubaliana nasi ktk Imani

Mbarikiwe sana

BACK TANGANYIKA
Okay sawa mkuu tupo pamoja sana...
 
Kitu kimoja nilichokioana hapa ndani, Kunabaadhi ya watu wanasoma biblia kwa lengo au wapete cha kukosoa!! Hawasomi kwa lengo la kujifunza na kutafakari na wala hawanwaliki roho mtakatifu ktk tafakari yao.

Wanasoma bublia as if wanasoma Gazeti au majarida ya ngono au hadithi za alfu lelaulelela wanatoka weupe peee!! hawaambulii chochote maana ni kama lile andiko lisemalo "Wanamacho hawaoni na wanamasikio hawasikii" mioyo yao umekuwa mizito kwa kutafuta ushindi wakisahau duniani hapa hakuna kushinda bali ushindi wetu uko mbele ya mwenyezi Mungu pale tutakapo vikwa mataji ya ushindi kwa kutimiza mapito na majaribu yote hapa duniani.

Wakuu, Eiyer Ishmael Mkuu wa chuo na wengineo Asanteni sana kwa ufafanuzi wenu makini wenye kuelewa tumewaelewa na Tunamwomba Mungu awazidishie hekma ktk Mafunzo yenu kwa wale wasiokubaliana nasi ktk Imani

Mbarikiwe sana

BACK TANGANYIKA
Pamoja sanaaaaa Mkuu
 
Hapo kwenye nilipoweka red, nafikiri umeshindwa kulielewa neno, Paulo alikuwa ananukuu maneno ya Torati, kwamba amelaaniwa na Mungu aliyetundikwa mimi nilichokifanya nimekupeleka kwenye Torati aliyoinukuu, kwasababu agano jipya limekuja baada ya Yesu, ila vitabu vya agano la kale vilikuwepo kabla ya Yesu, Torati ni ya Musa, na ndio iliyoandikwa hivyo, sasa mimi nilichokifanya nikakupeleka kwenye hilo fungu la Torati ambalo limeandikwa hivyo nikakupa na vigezo ili kwamba mtu alaaniwe ni lazima awe na dhambi, na pili anatundikwa akiwa amekwisha kufa, ndio maana nikakuuliza yale maswali, je Yesu alitenda dhambi, ambapo umekataa, nikakuuliza tena je alitundikwa akiwa amekufa... ikaonekana ametundikwa hai

Hebu sasa tuliangalie hilo fungu la Wagalatia

Wagalatia 3:13 Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;

Hapo kwenye hilo andiko hapo juu zingatia hizo bold, kwa hiyo kumbe torati ndiyo iliyosema hivyo, Mtume Paulo anasema maana imeandikwa, imeandikwa wapi sasa!? mimi nilichokifanya nimekupeleka sehemu ilipoandikwa na mtume Paulo aliponukuu ambapo ndio kwenye torati...

Hapo nilikuwa nakuonyesha msingi wa kulielewa neno, na mtume Paulo alichokuwa anakisema hapo ni kweli, kwamba alifanywa laana pasipo kuwa na laana, kutokana na vile vigezo nilivyokupa, tena Paulo anasema kwa ajili yetu...

Sasa unapopinga, tena kwenye hilo andiko ulilolichukua, Mtume Paulo anaeleza kabisa maana imeandikwa, na ni kweli imeandikwa na nimekupeleka sehemu iliyo andikwa ambapo ni kwenye Torati

Sasa hapo nilipoweka red unachokataa ni kipi!? wakati Wagalatia imenukuu Torati, kwa hiyo tatizo jingine nililoliona kwako ni ile hali ya kushindwa kulielewa neno, ndio maana unakuja na hitimisho Biblia imechakachuliwa... kumbe ni mtu kutolielewa neno


Hapo nilipoweka red pia maelezo niliyoyatoa hapo juu nadhani yanaeleweka, nimekwisha lijibu hapo juu, Naiamini Biblia yote

Hapo nilipoweka Blue unaweza ukaendelea, kwasababu nimekwisha ielewa shida yako na Tatizo kwanini unasema hivyo, okay sawa leta hayo maelezo...

Mkuu wa chuo unaelezea sana, lakini bado. Unajikanyaga kanyaga.

Umesema paulo alinukuu kumbukumbu la taurati. Hapa nimekubali kweli kanukuu.

Lakini, licha ya kunukuu huko. Kasema 'kwakua alifanywa laana kwa ajili yetu...'

Hapo unachokipinga ni nini?

Vile vile ulipotumia 1 wakorinto 1: 18. Umepinga wagalatia 3: 13.

Ukiweka porojo jingi nashindwa kuelewa.
...
Punguza porojo, jibu nilichukuuliza.
Bado kunadoubt siwezi anza kuthibitisha.

Au yoyete alieelewa mimi nimeuliza nini. Anaweza kunifafanunilia.
 
Mkuu wa chuo unaelezea sana, lakini bado. Unajikanyaga kanyaga.

Umesema paulo alinukuu kumbukumbu la taurati. Hapa nimekubali kweli kanukuu.

Lakini, licha ya kunukuu huko. Kasema 'kwakua alifanywa laana kwa ajili yetu...'

Hapo unachokipinga ni nini?

Vile vile ulipotumia 1 wakorinto 1: 18. Umepinga wagalatia 3: 13.

Ukiweka porojo jingi nashindwa kuelewa.
...
Punguza porojo, jibu nilichukuuliza.
Bado kunadoubt siwezi anza kuthibitisha.

Au yoyete alieelewa mimi nimeuliza nini. Anaweza kunifafanunilia.

kwani Yesu alitundikwa msalabani au hakutundikwa!?

twende pole pole kwa namna hiyo, nawewe nijibu jibu moja, halafu tuendelee kwasababu una tatizo la kuelewa maandiko...
 
kwani Yesu alitundikwa msalabani au hakutundikwa!?

twende pole pole kwa namna hiyo, nawewe nijibu jibu moja, halafu tuendelee kwasababu una tatizo la kuelewa maandiko...

Safi kabisa. Tukienda hivo. Itakua poa sana.

Ndio yesu alitundikwa kwa mujibu wa aya za biblia. Wagalatia 3: 13.

Swali.
Yesu kalaaniwa au hakulaaniwa?
 
Je kuna aya ktk biblia inasema Mungu wapo watatu kama unasema kweli hamna kosa mkuu
Hana kosa lolote lile. Mwenye kosa ni yule anayesema kuwa eti Allah hana msaidizi wakati huohuo anamtuma Jibril. Kwanini mumzulie Allah uongo huku wote tunafahamu kuwa Allah anaye msaidizi.

The Prophet (salAllahu `alaihi wa sallam) said:
"When Allah (subhanu wa ta'ala) created Paradise and Hell, He sent Jibreel to Paradise, saying "Go and look at it and at what I have prepared therein for its inhabitants". So he went and looked at it and at what Allah had prepared therein for its inhabitants.... then He sent him to Hellfire saying, "Go and look at it and what I have prepared therein for its inhabitants", so he looked at it and saw that it was in layers, one above the other...." [Muslim, Abu Dawood]
 
Safi kabisa. Tukienda hivo. Itakua poa sana.

Ndio yesu alitundikwa kwa mujibu wa aya za biblia. Wagalatia 3: 13.

Swali.
Yesu kalaaniwa au hakulaaniwa?

nataka twende pole pole hivi hivi ili uelewe concept unayoiuliza ya alifanywa laana kwa ajili yetu

kuhusiana na swali lako Yesu hakulaaniwa kwa sababu hakutenda dhambi...

We unadhani ni kosa lipi ambalo Yesu alifanya mpaka kutundikwa!? mimi nalifahamu kosa lililomfnya mpaka akatundikwa...

Wewe unadhani Wayahudi walimuhukumu kwa kosa lipi!?

Jibu hilo halafu tuendelee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom