Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Bado sijaliona jibu lako kwa Mkuu wa chuo, SWALI LAKE NI HILI HAPA:



Kwa lugha nyingine: ADAM ALITUMWA KWA UMMA UPI, wakati yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza?

Ukafiri mzigo!
Kabla ya Kuuliza hilo swali ulitakiwa kujua FAMILIA YA ADAM.

Nakuhakikishia Kitabu pekee chenye kuelezea haya utakipata kwa Wasomi wanamuabudu MUNGU MMOJA TU.

Hakuna KAFIRI Duniani anaetambua hili!
Na km wewe au babako ana historia YYT kuhusu FAMILIA YA ADAM ilete hapa Tuisome.

Ndio tukasema Ni raisi Kufundisha MBUZI kuimba taarabu kuliko kuwafundisha watu km nyie.

Nyie subirini Adhabu ya Mungu tu.
Mmeshazikwa kabla hamjafa!

"....Summun bukmun umyun fahum laa yarjeuun...."
 
Last edited by a moderator:
Sa kabla ya yote hapo inaonyesha bibilia yenu si kutoka kwa Mungu, sababu inasema kiti cha Mungu kipo kwenye mbingu, wakati si kweli. Lazima ujuwe akilini mwako na wakristo wote mbingu iliundwa na Mungu sa Mungu hayuko mbinguni dogo. Kasome utajua mbingu na ardhi aliziunda hivyo Mungu anasehemu yake spesho sio mbinguni.
Mkuu nadhani unawaza kupitia mfumo wa kibinadamu yaani wa kifiziko(Immortal) zaidi badala ya ule wa kiroho(immortal). ..........still unakanusha, basi ningependa useme wewe. Unadhani Mungu yuko wapi ama panaitwaje pale anapokaa??? manake kuna misemo mingi kama vile Mungu yupo mahali pote n.k.
 
Nini mana ya Umma? MANA YAKE NI GROUP, unanza kuhesabu group kuanzia mbili kwenda juu hata wawe mabillion?

Captain Adiosamigo naona unavyowapiga misasa makafiri.
Hii inatwa moto mara moja!

Mtu anaeamini SANAMU la Mzungu linaweza kumtatulia matatizo yake ya Uzazi unategemea Atafahamu maana ya Ummah?

Hawa watu hata BIBILIA Imeshawataja mara chungu mzima!
Ni majitu yenye maskio ka side mirror ya Treni lkn hayasikii!

Kkkkkkkkk!

Piga msasa Captain.
Wako makafiri wengine wanakusoma kwa sana tu!.
Ahsanta!
 
Last edited by a moderator:
Wacha kukimbia swali langu, bibilia zenu zinasema hata mkinywa sumu na kushika majoka hamdhuriki we huoni unavyo ipiga chenga hapo. Wacha nikuwekee uone tena. Marko 16:18[SUP]18 [/SUP]wataweza hata kuwakamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.” Nakuwekea na kizungu kama hufahamu Kiswahili vizuri Mark 16:18 King James Version (KJV)[SUP]18 [/SUP]They shall take up serpents; and if they drink any deadly thing, it shall not hurt them; they shall lay hands on the sick, and they shall recover.

Marko 16: 15 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa. 17 Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; 18 watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
------------------------------------
Mkuu umesahau kuzingatia neno moja lililoandikwa kabla ya kwamba na "IShara hizi zitafuatana na hao
WAAMINIO".
Binafsi sioni tatizo la andiko hili, so long ni ishara kwa wale waaminio. Kumbuka

yakobo 2: 4 Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani yaweza kumwokoa?


Yakobo 2: 19 Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka. 20 Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai? 21 Je! Baba yetu Ibrahimu hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo, hapo alipomtoa Isaka mwanawe juu ya madhabahu? 22 Waona kwamba imani ilitenda kazi pamoja na matendo yake, na ya kwamba imani ile ilikamilishwa kwa njia ya matendo yale. 23 Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Ibrahimu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa ni haki; naye aliitwa rafiki wa Mungu. 24 Mwaona kwamba mwanadamu huhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa imani peke yake.


Yakobo2: 26 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.

Yohana 3: 16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.



Yakobo; 2: 17 Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.
 
Kumbe mchungaji kukamata Papuchi na kumuita yesu ni tiba ya kiroho?
Dahh mi nilikiwa sijui..Ta ha ha ha ha.Ahsanta kwa kunishtua.Tazama mwanakondoo jasho linavyomtoka kwenye nanihii.Halafu tazama huo mkono wa Mchungaji unapima joto la wapi!Hatari sana.
Sasa cha ajabu ni kipi Mkuu?
Nyinyi mmefundishwa kuwa hata mavi yalioko tumboni mwenu ni najisi, hata mkijamba mkabadilishe hadi chupi, mkikojoa msugua na mawe tupu zenu. mwanamke akiwa kwenye hedhi asiende msikitini kwakuwa ni najisi. ukilala na mkeo unakuwa haramu na janaba mpaka ukanawe.(Ofcoz hapa naweza kuamini ni haram kwakuwa mnakuwa na mke zaidi ya mmoja na huo ni uzinzi) yaani Allah wenu kaona maji ndio kitu kisafi kuliko miili yenu.

Sasa huoni Allah wenu asivyothamini miili yenu angali ni yeye aliyoiumba lakini anaionea kinyaa na najisi!!!. Hivi pata picha unamfanyia hivyo mtoto uliyemzaa mwenyewe. akijisaidia unamkwepa kwakuwa ni najisi itakuaje?

Unaniambia tazama- wakati picha naiona.
Na Umejuaje anamwita yesu wakati hii ni picha tu na aina sauti ?
To be straight..... siamini kama Mchungaji anapima joto. kupima joto ili iwe nini?. So what?

NAchoona ni mwanamke anamugusa mwanamke mwenzake kwa mbele that's it.!! NA picha ina-reflect kuwa kama kuna maombi anafanyia aliyelala chini.
 
Sasa cha ajabu ni kipi Mkuu?
Nyinyi mmefundishwa kuwa hata mavi yalioko tumboni mwenu ni najisi, hata mkijamba mkabadilishe hadi chupi, mkikojoa msugua na mawe tupu zenu. mwanamke akiwa kwenye hedhi asiende msikitini kwakuwa ni najisi. ukilala na mkeo unakuwa haramu na janaba mpaka ukanawe.(Ofcoz hapa naweza kuamini ni haram kwakuwa mnakuwa na mke zaidi ya mmoja na huo ni uzinzi) yaani Allah wenu kaona maji ndio kitu kisafi kuliko miili yenu.

Sasa huoni Allah wenu
NAchoona ni mwanamke anamugusa mwanamke mwenzake kwa mbele that's it.!! NA picha ina-reflect kuwa kama kuna maombi anafanyia aliyelala chini.

Kila mara nasema kuwa WEWE ktk ma mbumbumbu unashikilia Bendera.

Nakuwekea hapa mistari ya BIBILIA Uone je na hapa Wamesema WAISLAMU?

Mwanamke yeyote,kama-anatokwa na kitu, na kitu chake alichokuwa nacho mwilini mwake ni damu, ataketi katika kutengwa kwake muda wa siku saba na mtu yeyote atakayemgusa atakuwa najisi hata jioni. (Mambo ya Walawi 15:19)".

NYIE MNATENGA WANAWAKE WENU SIKU SABA.
Sisi wa kweli Akioga tu Anakuwa msafi saa hio hio.

Tazama MKIRISTO akifanya NGONO Bibilia inasema nini.

Huyo mwanamke naye ambaye mtu mume amelala naye kwa shahawa, wote wawili wataoga majini, nao watakuwa najisi hata jioni.(Mambo ya Walawi 15:16-18)".

Hapa Nyie kila mkitafunana mnakuwa NAJISI MPAKA JIONI.

Sisi tukioga tu tunaendelea na kazi km kawaida!

Na mwisho kabisa BIBILIA Inalia Na kusema.

Wanawake na wanyamaze katika kanisa maana hawana ruhusa kunena bali watiikama-vile inenavyo Torati nayo. Nao wakitaka kujifunza neno lolote, nawawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao, maana ni aibu wanawake-kunena katika kanisa.(1 Wakorintho 14:34-35).-

Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. (1 Timotheo 2:12)

We nani kakuruhusu KUSEMA?

Mwambie MUMEO aje hapa. We funga choo chako!
 
Kila mara nasema kuwa WEWE ktk ma mbumbumbu unashikilia Bendera.Nakuwekea hapa mistari ya BIBILIA Uone je na hapa Wamesema WAISLAMU? Mwanamke yeyote,kama-anatokwa na kitu, na kitu chake alichokuwa nacho mwilini mwake ni damu, ataketi katika kutengwa kwake muda wa siku saba na mtu yeyote atakayemgusa atakuwa najisi hata jioni. (Mambo ya Walawi 15:19)".NYIE MNATENGA WANAWAKE WENU SIKU SABA.Sisi wa kweli Akioga tu Anakuwa msafi saa hio hio.Tazama MKIRISTO akifanya NGONO Bibilia inasema nini.Huyo mwanamke naye ambaye mtu mume amelala naye kwa shahawa, wote wawili wataoga majini, nao watakuwa najisi hata jioni.(Mambo ya Walawi 15:16-18)".Hapa Nyie kila mkitafunana mnakuwa NAJISI MPAKA JIONI.Sisi tukioga tu tunaendelea na kazi km kawaida!Na mwisho kabisa BIBILIA Inalia Na kusemaWanawake na wanyamaze katika kanisa maana hawana ruhusa kunena bali watiikama-vile inenavyo Torati nayo. Nao wakitaka kujifunza neno lolote, nawawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao, maana ni aibu wanawake-kunena katika kanisa.(1 Wakorintho 14:34-35).-Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. (1 Timotheo 2:12)We nani kakuruhusu KUSEMA?Mwambie MUMEO aje hapa. We funga choo chako!
Shetani alipomjaribu Yesu alimwambia Imeandikwa.. blah blah blah..(Luka 4:10, Mathayo 4:6...) ni Kweli imeandikwa lakini Yesu naye akamjibu Imeandikwa like never before.....

maarifa ni kitu cha msingi baada ya kufahamu neno la mungu.

Yoel 2: 28 28 Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;

29 tena juu ya watumishi wenu, wanaume kwa wanawake, katika siku zile, nitamimina roho yangu.

------------------
matendo1:13


Wakati nasoma chuo mwaka fulani shekh mmoja alikuja chuoni kwenye graduation ya dini, akawa anatoa hotuba kwa waislamu akitetea kuwa uislamu unawathamini wanawake, akamtolea mfano wa mwanamke mmoja(jina silikumbuki) wa kiislamu enzi za muhammad ambaye aliongoza jeshi la wanaume vitani akashinda kwa uwezo wa Allah. nahop unaijua hii hadithi.
Ikiwa hadi leo hii wanawake kwenye Uislamu wanakuwa wanajeshi na wanapigana vitani. Je tusemeje..?Wanahitaji wasisome kama Uislamu na U-bokoharamu na U-ISiS wanavyotaka? . Nmekujibu kwa ufupi hope utanielewa...
 
Shetani alipomjaribu Yesu alimwambia Imeandikwa.. blah blah blah..(Luka 4:10, Mathayo 4:6...) ni Kweli imeandikwa lakini Yesu naye akamjibu Imeandikwa like never before.....

maarifa ni kitu cha msingi baada ya kufahamu neno la mungu.

Yoel 2: 28 28 Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;

29 tena juu ya watumishi wenu, wanaume kwa wanawake, katika siku zile, nitamimina roho yangu.

------------------
matendo1:13


Wakati nasoma chuo mwaka fulani shekh mmoja alikuja chuoni kwenye graduation ya dini, akawa anatoa hotuba kwa waislamu akitetea kuwa uislamu unawathamini wanawake, akamtolea mfano wa mwanamke mmoja(jina silikumbuki) wa kiislamu enzi za muhammad ambaye aliongoza jeshi la wanaume vitani akashinda kwa uwezo wa Allah. nahop unaijua hii hadithi.
Ikiwa hadi leo hii wanawake kwenye Uislamu wanakuwa wanajeshi na wanapigana vitani. Je tusemeje..?Wanahitaji wasisome kama Uislamu na U-bokoharamu na U-ISiS wanavyotaka? . Nmekujibu kwa ufupi hope utanielewa...

Haya ndio always matatizo ya WAKRISTO walalahoi.
We kwanza ELIMU ya CHUO 100% HUNA! Labda kiwe chuo cha Upishi manake hata dalili za chuo cha BIBILIA HUNA!.

Linapokuja suala la kuutizama UISLAMU sharti dogo kabisa mtu anatakiwa kulifuata ni KUTIMA NINI QURAAN inasema! Na sio SHEHE Fulani KASEMA bla..bla..blaa.

Wenye kusema Maneno ya namna hii ni watu wenye elimu Ndogo km wewe! Abadan mtu anaejitambua hawezi kuandika upuuzi wa namna hii.

Wewe umeshawahi Kuniona mimi nikaandika PADRI fulani KASEMA HIVI? Au Mchungaji Fulani Kasema vile?
MIMI nakutolea VITU NDANI YA BIBILIA moja kwa moja.

Huna elimu, wala Huna maarifa ya kujadili.
Kakojoe ulale. Unanipotezea muda.
 
Haya ndio always matatizo ya WAKRISTO walalahoi.
We kwanza ELIMU ya CHUO 100% HUNA! Labda kiwe chuo cha Upishi manake hata dalili za chuo cha BIBILIA HUNA!.

Linapokuja suala la kuutizama UISLAMU sharti dogo kabisa mtu anatakiwa kulifuata ni KUTIMA NINI QURAAN inasema! Na sio SHEHE Fulani KASEMA bla..bla..blaa.

Wenye kusema Maneno ya namna hii ni watu wenye elimu Ndogo km wewe! Abadan mtu anaejitambua hawezi kuandika upuuzi wa namna hii.

Wewe umeshawahi Kuniona mimi nikaandika PADRI fulani KASEMA HIVI? Au Mchungaji Fulani Kasema vile?
MIMI nakutolea VITU NDANI YA BIBILIA moja kwa moja.

Huna elimu, wala Huna maarifa ya kujadili.
Kakojoe ulale. Unanipotezea muda.
We kweli elimu ndo huna ukisikia neno "chuo", basi unatetemeka, na kuona ni jambo la kujadili na kulalamika hapa.... haya basi ... nilienda kwa ajili ya graduation yenu????umefurahi eehhhhhhhhhhhhh?????????
ISIS, bokoharam, Taliban wanatumia Koran kama wewe.. ndo imewafikisha pale walipo.. usisahau hadithi ndio kila kitu kuliko hiyo koran yenu na mitume wenu wawili:mwarabu na akiwemo yule mhindi.
 
Mkuu nadhani unawaza kupitia mfumo wa kibinadamu yaani wa kifiziko(Immortal) zaidi badala ya ule wa kiroho(immortal). ..........still unakanusha, basi ningependa useme wewe. Unadhani Mungu yuko wapi ama panaitwaje pale anapokaa??? manake kuna misemo mingi kama vile Mungu yupo mahali pote n.k.
Hapo sasa nimefurahi mana umekubali kwenye Bibilia zenu hamuwezi pate elimu hio, sababu si kitabu tena cha Mungu, bada yakuvurugwa na Paulo. Lazima ufahamu ukisoma Qur'an unamini kabisa hicho kitabu cha Mungu, sababu kinaongea yote ya kweli. Qur'an inasema hivi;"Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema amjiimarisha juu ya ‘Arshi'….." (Qur'an Twaha; 20: 5) Na inaendelea tena kusema, katika sura ingine; "Kishaa kajiimarisha Mwenyewe juu ya Arshi…"(Qur'an Furqan;25:59)" Akaendelea tena kusema kwenye Qur'an;"Ni Yeye ambaye ameziumba mbingu na ardhi katika siku sita na Arshi Yake ilikuwa juu ya maji....." (Qur'an Huud; 11: 7)Akasema tena kwenye Qur'an; "…Na kiti chake kimeenea mbingu na nchi ….." (Qur'an Al-Baqarah; 2: 255) Akamalizia hapo kwenye Qur'an sura ingine kwa kusema; "Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao – wala wao hawajui kitu katika elimu yake ila kile apendacho yeye. Elimu (Kursiy) yake imeenea mbingu na nchi…" (Al-Baqarah; 2: 255) Hapo lazima uwogope dogo haswa nyie mnao sema Mungu alijileta kwa umbile la ki binadamu, Mungu anasema yeye anapo kaa basi kiti chake hakuna anaye weza kukizuia au kukishika sababu kiti chake kimeenea kwenye mbingu zote na duniani. Yani dogo hapo ulipo ujuwe yupo na anajua kila unacho kifanya, angekuwa anaishi mbinguni kama Bibilia zenu zinavyo sema basi mbingu zingekuwa zinauwezo wa kumzuia Mungu, na hicho kitu kinaonyesha wazi si Mbingu au Ardhi inaweza kuzuia uzito wake Mungu. Mkifata Bibilia zenu za uwongo za kusema Mungu yuko mbinguni, nadhani ingekuwa tabu sana kuona kila kitu sababu mnasema yuko sehemu flani tu. Tumeni Logic kabla ya mbingu na ardhi kumbwa na Mungu alikuwa wapi? na FYI; Hayo MAJI NDIO ALIYAUMBA KWANZA KABLA YA KILA KITU, YANI HAYO MAJI KAYAFANYA YAWE BORA KULIKO KILA KITU, NDIO SABABU MUNGU AKASEMA; "We made from water every living thing, will they not then believe?"(Surat Al-Anbiyaa (The Prophets): 30)Na kumalizia na Qur'an hapo ujuwe hichi kitabu cha Mungu wa kweli sio cha kina Paulo wenu, YULE shetani aliye vuruga dini ya Mungu, Qur'an inasema;"Hakika Mola Wenu ni Mwenyezi Mungu mmoja tu, ambaye hakuna aabudiwaye ila Yeye tu, anakijua kila kitu kwa elimu (Yake)." (Qur'an Twaaha; 20: 98) Yani hapo Mungu anasema ni yeye tu mwenye elimu ya kila kitu kilichopo dunaini na mbinguni, nadhani dogo umejifunza hapo mara ya pili usiwe unakifata kitabu cha Paulo kitakupoteza, kimeisha kupoteza, na kitaendelea kukupoteza. Yani kiujumla kitu chochote alicho kiumba Mungu basi UJUWE WAZI kasha kifikia, na ana ki control kunzia maji, mbingu, na ardhi NA WEWE ANAWEZAA KUKUZIMISHA MOYO WAKO HAPO SASA HIVI, CHEZEA MUNGU WEWE DOGO.
 

Marko 16: 15 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa. 17 Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; 18 watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
------------------------------------
Mkuu umesahau kuzingatia neno moja lililoandikwa kabla ya kwamba na "IShara hizi zitafuatana na hao
WAAMINIO".
Binafsi sioni tatizo la andiko hili, so long ni ishara kwa wale waaminio. Kumbuka

yakobo 2: 4 Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani yaweza kumwokoa?


Yakobo 2: 19 Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka. 20 Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai? 21 Je! Baba yetu Ibrahimu hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo, hapo alipomtoa Isaka mwanawe juu ya madhabahu? 22 Waona kwamba imani ilitenda kazi pamoja na matendo yake, na ya kwamba imani ile ilikamilishwa kwa njia ya matendo yale. 23 Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Ibrahimu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa ni haki; naye aliitwa rafiki wa Mungu. 24 Mwaona kwamba mwanadamu huhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa imani peke yake.


Yakobo2: 26 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.

Yohana 3: 16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.



Yakobo; 2: 17 Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.
Dogo mimi sitaki hadith nyingi wewe unakikubali kitabu chako au hukikubali, wacha firibi nataka action. Tazam bibilia inaongea kishwahili hapo kinafahamika kabisa, hatutaki maneno mengi, kitabu chako kinasema wewe kama mkristo haswa unaweza kufanya hayo, haiongelei yalio pita yanaongelea yanao kuja au unaweza kuyafanya sio ulio yafanya, inasema kama una amini ukristo basi unaweza kunywa Sumu na Kushika Mijoko na usidhurike, hebu jaribu dogo wacha kukimbia. Tazama dogo bibili yako inasema nini, Kiswahili clear kabisa; Marko 16:18[SUP]18 [/SUP]wataweza hata kuwa kamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona."
 
Nini mana ya Mtume? Wewe unaelewa nini mtu akiitwa Mtume?

Mtume ni neno linalotoikana na neno tuma
Tuma lina maana sawa na kuagiza

Unaposema "nimekutuma" hiyo inakuwa inamaana umeagizwa

Mtume ni yule aliyeagizwa na aliyemuagiza

Nikikutuma wewe uende Ruvuma kupeleka ujumbe fulani wewe unakuwa ni mtume wangu,yaani nimekuagiza

Nimekueleza kwa lugha rahisi sana na nadhani utakuwa umeelewa!
 
Mtume ni neno linalotoikana na neno tuma
Tuma lina maana sawa na kuagiza

Unaposema "nimekutuma" hiyo inakuwa inamaana umeagizwa

Mtume ni yule aliyeagizwa na aliyemuagiza

Nikikutuma wewe uende Ruvuma kupeleka ujumbe fulani wewe unakuwa ni mtume wangu,yaani nimekuagiza

Nimekueleza kwa lugha rahisi sana na nadhani utakuwa umeelewa!
Sa tukabliana Adam alitumwa na Mungu afahamishe watoto wake namna Mungu anavyo taka wayafanye sio. Kwa hio Adam kuwa ni mtume kuna kosa hapo? Sa mbona wakristo mnashangaa tukisema Adam ni mtume.
 
Captain Adiosamigo naona unavyowapiga misasa makafiri.
Hii inatwa moto mara moja!

Mtu anaeamini SANAMU la Mzungu linaweza kumtatulia matatizo yake ya Uzazi unategemea Atafahamu maana ya Ummah?

Hawa watu hata BIBILIA Imeshawataja mara chungu mzima!
Ni majitu yenye maskio ka side mirror ya Treni lkn hayasikii!

Kkkkkkkkk!

Piga msasa Captain.
Wako makafiri wengine wanakusoma kwa sana tu!.
Ahsanta!
General Bill Cosby , asante sana kupewa certificate ya ushujaa kwa kupambana na makafiri, na General wetu ambaye tuna mheshimu.
 
Last edited by a moderator:
Nini mana ya Umma? MANA YAKE NI GROUP, unanza kuhesabu group kuanzia mbili kwenda juu hata wawe mabillion?

Kwa hiyo Adamu alitumwa kwa watoto wake!? ngojea niwaitie na Spike Lee mtoe bonge la kitu we na Bill Cosby nadhani mtauza kinyama itakuwa bonge la comedy...
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri mkuu umesadifu jina hilo la Bill Cosby kwa mambo yako unayofanya hapa...

Jina langu linakupa tabu sana Mkuu wa chuo cha tiba mbadala.
Au mzee wa kikombe!

Hivi huyu dada 2013 alisoma ktk chuo chako? Manake naona fikra zenu zinakaribiana sana.

Na hicho chuo chako kinaitwaje vile?
Au ndio kile kilifungwa Vitambaa vyeusi kwenye miti na kina Chumba kimoja tu lilichopakwa rangi nyeusiii!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom