Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Yani nikiwaeleza wakristo hata Mitume hamuwajui mnabisha, mnampiga Adam kama si Mtume, wakati bibilia yenu inamkubali kama nimtume, sijui hapo mtaificha wapi aibu hio.Logically speaking, A prophet is simply someone who speaks to God Directly or Indirectly, and then tells others what they have heard. So Adam would be the first. We kaisome bibilia yako utaona Adam ni Mtume, kasome; Genesis 20:7 Now therefore restore the man his wife; for he is a prophet, and he shall pray for thee, and thou shalt live: and if thou restore her not, know thou that thou shalt surely die, thou, and all that are thine.
Tazama Bibilia Yenu inasema nini kuhusu; This list is of Bible prophets from Old Testament times from Adam to Malachi.


Jifunze kusoma halafu ujifunze kuelewa nini umesoma. Zaidi ya hapo, bado haujaleta ushahidi wapi aya kutoka Quran ambayo Muhammad anasema mimi Muhammad ni mtume wa Mungu.
 
We wacha kukimbia swali langu, kama wewe mkristo kwanini hunywi sumu, au umemshika nani akapona, au umeshika joka gani toka umezaliwa? Firimbi nyingi tu. Swali la Mtume kunyeshwa sumu nimeisha kujibu kalisome, sina time kurudia kila wakati kujibu ujinga wako ule ule. Yani umefikia mpaa unajiquote hapo ni dalili kama umeishiwa.
Si ulitaka kutest kama Sumu inafanya kazi, VIPI ALLAH ASHINDWE VIBAYA SANA KUMPONYA MUHAMMAD baada ya KULISHWA sumu na Dada Jasiri wa Kiyahudi?

Hakika Allah WENU HANA UWEZO WA KUPONYA.

Hivi, kwanini Jibril alimuombea Muhammad? Hivi hajua kuwa Allah hakuwa na mpango wowote ule wa kumponya Muhammad, AU JIBRIL huwa anajituma mwenye na kusema ETI Allah kamtuma. HUU NI MSIBA.

How can we then trust this Jibril?
 
Kwahiyo watoto wa Muhammad nao ni Mitume!!! Hivi hii logic umeipata wapi wewe?

Ishmael

Japo ufahamu wako ndo ukuongozao na si kufahamu vile ipasavyo kufahamika, ila nashukuru kwa challenges zako maana yaonesha dhaahir shaahir, Darsa na mapito akupitishayo Maalim@ Adiosamigo wangi wanasilimu kupitia upingaji wako.

Ahsanta na endelea kujifunza, nipo kipembeni hapa.
 
Ishmael

Japo ufahamu wako ndo ukuongozao na si kufahamu vile ipasavyo kufahamika, ila nashukuru kwa challenges zako maana yaonesha dhaahir shaahir, Darsa na mapito akupitishayo Maalim@ Adiosamigo wangi wanasilimu kupitia upingaji wako.

Ahsanta na endelea kujifunza, nipo kipembeni hapa.
The logic is from your colleague and not me. Kama huyo Bwana Mdogo Adiosamigo kwenu nyie ni Maalim, hakika mnao msiba mkubwa sana mbele yenu.

Msaidie nduguyo.
 
The logic is from your colleague and not me. Kama huyo Bwana Mdogo Adiosamigo kwenu nyie ni Maalim, hakika mnao msiba mkubwa sana mbele yenu.

Msaidie nduguyo.

What's your main point...!?

Ulivyosomeshwa pale Magomeni kunako kile chuo chenu cha kubadili maana, siamini kama itakuwia urakhisi kuifahamu QUR AAN L KAREEM HAKI ya KUFAHAMU.

Ila twende pole pole huenda ukabakhtika kuifahamu.

Ahsanta na endelea kujifunza.
 
What's your main point...!?

Ulivyosomeshwa pale Magomeni kunako kile chuo chenu cha kubadili maana, siamini kama itakuwia urakhisi kuifahamu QUR AAN L KAREEM HAKI ya KUFAHAMU.

Ila twende pole pole huenda ukabakhtika kuifahamu.

Ahsanta na endelea kujifunza.

Lete ushahidi wapi Muhammad Mtume wenu kasema MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU katika Quran.

WAISLAM. LETENI AYA KUTOKA QUR'AN ambayo ALLAH anasema NA KUKIRI KWA MDOMO WAKE KUWA:::: MIMI ALLAH NI MUNGU.
Sitaki aya ya mtu mwengine anazungumza bali awe ALLAH ndie msemaji katika hiyo aya.
 
wakina faiza Foxy na wengine walikuwa wanashiriki sana hii Mijadala alipogundua mnavyo wanyanyapaa wanawake amejitoa..Sasa wewe kuniita Dada ndio unaamini umenishusha saaaaaana?!!! Kwakuwa dada yoyote hana thamani machoni pake.
KWakuwa Dini yenu inahulka ya kuwadharau wanawake, mpaka kukataza wasiwe huru katika uvaaji, maamuzi, mirathi, wakibakwa wakijitetea mnawaua, wakibakwa mnataka walete ushahidi wa watu wa nne, yaani swala la nyinyi kwenda kuchunguza kama kuna manii ya mwanaume sio la msingi lamsingi ni watu wa4. wasisome, wasifanye kazi, kazi yao ni kuzaa tu kama kuku wa mayai na nguruwe. KAuli zako zinaonyesha wewe ni tineja wa form two ama sivyo unaonekana umeachana na mkeo, demu wako, ama mchumba wako karibuni na una hasira za kuachwa. Ama ulimfumania basi unaona uchanganye chuki yako kwa kila mwanamke. You are pathetic
Kumbuka mwanamke ndiye aliyekuleta hapa Duniani. Huna haki ya kumdharahu hata mmoja...

Kwani we ni kaka?
Mi sijui jinsia yako kwa nadharia.
Nilichofanya ni kutazama maneno yako tu.
Yaani km sio dada basi una dalili zote za Ushoga!
Manake maneno yako yamejaa nyodo na mipasho tu!
Km unabisha Muulize yyt unaemuamini km atakwambia ukweli basi atakwambia haya haya ninayokwambia mimi.
 
Mkuu, hii dini ni msiba mtupu. Na baba yake Doudi kwao ni Mtume. Astaghfirullah.

Hahahahahah, huu ni msiba kweli mkuu... halafu eti hao mitume wote walipewa kila mmoja kitabu chake, sijui Ismail alipewa kitabu gani!?
 
Usiseme yesu ni Mkristo sema Yesu ndiye Kristo mwana wa Mungu.MAthayo 16: 6 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.

Wanaoitwa wakristo ina maana kuwa ni wafuasi ama wanaomfuata YEsu kristo . Ndiyo maana kristo ni kichwa cha kanisa.(
Waefeso 5:25-29).
Yesu ni Mkuu kuliko. Wewe mimi na Muhammad, pia Yesu ni Mkuu kuliko Musa, Abraham, ISaka, Yakobo(ISrael), Mfalme Daudi, Mfalme Suleiman, Isaya, Yohana, Daniel mbatizaji n.k.

sikia maneno ya Yesu MAsiha(Mtiwa mafuta) ikiwa wewe ni Mnyenye kevu:
.....Isaya 61:
1 Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.2 Kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa, na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji wote waliao;3 kuwaagizia hao waliao katika Sayuni, wapewe taji ya maua badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate kuitwa miti ya haki, iliyopandwa na Bwana, ili atukuzwe.



NB: Kama wewe sio pando la Mungu. Utakatwa na Kutupwa motoni. watch the hell out there........

Dogo hizo kusema Yesu kajiita kristo mbona ni nyimbo tu za uwongo, kuna sehemu Yesu aliwambia wasimuite yeye ni Mkristo sababu hataki watu wasikie hayo, kwanini alikataa watu wasimuite kristo kama yeye ni kristo.Yesu alikataza kuitwa Kristo: Aliwakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20).Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni wale(Ant Christ). Hiyo ya kusema Mungu hata bibilia zenu zinaipinga.


Tazama (Mathayo 27:50). Hivyo mtu ambaye alifariki hawezi kuwa Mungu. Wakristo wanaamini kwamba Yesu alifariki kifo cha laana. Ukisoma (Ezekieli 28:8-9). Mwanadamu anauawa na Yesu anayo sifa hii sawa na Biblia inavyo sema.Yesu, ambaye nyie mlimuuwa mkimtundika katika mti." (Matendo 5:30). Mtu ambaye anatundikwa na anauawa hawezi kuwa Mungu, sababu hana sifa za Mungu, huyo anaitwa mtu dhaifu. BTW huwa mnasema Yesu alikuwepo kabla ya Prophet Abraham, hivi dogo hujui bibilia yenu inasema Prophet Solmon ambaye nyie mnamuita King si Mtume, anasema yeye alikuwepo pamoja na Mungu hata kabla ya kuumbwa ardhi na mbingu, (Mithali 8:22-30). Dogo Mathayo 2:6, 27:29, 27:42, Yohana 1:49 zinasema Yesu alikuwa mfalme si Mtume. SA TUWAMBIE NINI TENA NYIE WAKRISTO bibilia inachanganya sana mara ni Mungu, mara ni Mtume na mara ni Mfalme wa Israel. Mungu gani aliuzwa? Yuda Iskariote alimuuza Yesu kwa shilingi 30 tu.(Mathayo 26:15).

















 
Mkuu Allah hawezi kitu, Allah anafanya biashara na watu ili kuua watu.
Asingeruhusu wapalestina na waarabu wakapigwa vita ya siku 6 na Israel Angali walikuwa wanasaidiwa na Russia. Hilo jina Arshi sijui umelitoa wapi.... My FOOT.
Hata Yesu mbona hajaweza kujisaidia asiuliwe? Yesu kama ana kitu asinge jitoa mhanga wa kubeba dhambi zenu, yanini ajitese kama ana nguvu? Hio ya Israel kuwapiga warabu usishangae kuona shetani ana nguvu kuliko wafuasi wa Mungu, sa ajabu iko wapi, hivi Hitler alipo wamaliza wayahudi mungu wenu alikuwa wapi, au alikuwa ametekwa na shetani time ile:A S wink:

Dogo mana ya Arshi; "Allah created Al-'Arsh as an indication of His Power and did not take it as a place for Himself. Allah existed eternally without a place, and He now is as He ever was" [i.e. without a place]
 
Jifunze kusoma halafu ujifunze kuelewa nini umesoma. Zaidi ya hapo, bado haujaleta ushahidi wapi aya kutoka Quran ambayo Muhammad anasema mimi Muhammad ni mtume wa Mungu.
Dogo mbona unarudia yale yale, hivi wewe mzima kweli? Rudia hii MADA nyuma utayakuta majawabu yote.
 
Ishmael

Japo ufahamu wako ndo ukuongozao na si kufahamu vile ipasavyo kufahamika, ila nashukuru kwa challenges zako maana yaonesha dhaahir shaahir, Darsa na mapito akupitishayo Maalim@ Adiosamigo wangi wanasilimu kupitia upingaji wako.

Ahsanta na endelea kujifunza, nipo kipembeni hapa.
Maalim@wabara , Kuna wakristo wengi wamejifunza hapo na wameisha ona kweli Mungu wa waslam ndio Mungu wa Yesu NA WAKINA Ibrahim, Mussa, na Muhammad huyo ndio Mungu wakuabudiwa. Sia mungu wa Paulo lile sanamu la kizungu.
 
The logic is from your colleague and not me. Kama huyo Bwana Mdogo Adiosamigo kwenu nyie ni Maalim, hakika mnao msiba mkubwa sana mbele yenu.

Msaidie nduguyo.
Dogo mimi huwa sikatai kukosolewa kama nimekosea sijafanyi mbabe, lakini mpaa sasa sijaona sehemu wewe umenishinda kwa point, na nakuhakikishia kama mungu wako ni binadamu huwezi kunishinda hata siku moja. Sababu Mungu wangu ni mkubwa kuliko wako sababu hafi, wewe mgojee mungu wako mpaa ufufuke ndio aje kukusaidia kama anaweza:A S wink:

Kama umechukia mimi kuitwa mwalimu si kosa, we niite unavyo taka kitu muhimu tukubaliane wakristo hamna dini ,na hamna mungu sababu mungu wenu kafa, mtu akifa hajibu maombi. We tafuta mtoto mdogo mwenye umri wa miaka mtano, afu umulize hivi baba wa flani kafa sa mbono, wakilia watoto wake hasikii au hawajibu, afu ona atakujibu vipi.
 

Lete ushahidi wapi Muhammad Mtume wenu kasema MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU katika Quran.

WAISLAM. LETENI AYA KUTOKA QUR'AN ambayo ALLAH anasema NA KUKIRI KWA MDOMO WAKE KUWA:::: MIMI ALLAH NI MUNGU.
Sitaki aya ya mtu mwengine anazungumza bali awe ALLAH ndie msemaji katika hiyo aya.
[FONT=times new roman, times, serif]Prophet Muhammad Allah's Messenger to the Whole Mankind; [/FONT][FONT=times new roman, times, serif]Prophet Muhammad was Allah's great Prophet and Messenger like Jesus, the Son of Mary. The Prophet's mission, however, is universal. Allah meaning: (the Exalted, Most Glorious) tells mankind that Prophet Muhammad is no more than a Messenger (Quran: 3:144), the unlettered Prophet who believes in Him and His Words (Qur'an 7:158). He is the Seal of the Prophets and the true universal Messenger of Allah to the whole mankind (Qur'an: 33:40). Allah makes this very clear: [/FONT]We have not sent you (O Muhammad) but as a universal (Messenger) to men giving them glad tidings and warning them (against sin) but most men understand not (Qur'an 34:28). Nakuongezea ingine hio; Indeed in the Messenger of Allah (Muhammad) you have a good example to follow for him who hopes for (the Meeting with) Allah and the Last Day, and remembers Allah much."(Qur'an 33:1)
 
Bado haujathibisha kuwa Muhammad ni Mtume wa Mungu. Lete aya tuione Bwana Mdogo.
Ishamel, nimechunguza wewe huna kitu zaidi ya kuleta fujo, unarudia hayo hayo.Yani Aya zote huzioni tu, haya na hii hapa hujaiona bado; Say (O Muhammad to mankind): ‘If you (really) love Allah then follow me (i.e. accept Islamic Monotheism, follow Quran and the Sunnah), Allah will love you and forgive you your sins. And Allah is Oft-Forgiving, Most Merciful.' Say (O Muhammad): ‘Obey Allah and the Messenger (Muhammad).' But if they turn away, then Allah does not like the disbelievers." (Qur'an: 3:31)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom