Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Proverbs 23:7For as he thinketh in his heart, so is he: Eat and drink, saith he to thee; but his heart is not with thee.


Ndio maana wewe umeshindwa kutoka kwenye box la Muhammad.
Hahaha nasitoki kabisa sababu ndio njia ya haki; [FONT=times new roman, times, serif]"O mankind! Verily, there has come to you the Messenger (Muhammad) with the truth from your Rabb (Sustainer, Lord). So believe in him, it is better for you. But if you disbelieve, then certainly to Allah belongs all that is in the heavens and the earth. And Allah is Ever All-Knowing, All-Wise." (Qur'an: 4:170)[/FONT]
 
Kwahiyo watoto wa Muhammad nao ni Mitume!!! Hivi hii logic umeipata wapi wewe?
Hawawezi kuwa Mitume sababu Mtume Muhammad ndio kiboko wa Mitume wote, yani hawezi kutokea Mtume mwingine, na Mungu kasha sema; Huyo ndio Mtume wa mwisho amemtuma, na ukingojea mwingine aje labda si dunia hii tunayo ishi.
 
Hahahahahah, huu ni msiba kweli mkuu... halafu eti hao mitume wote walipewa kila mmoja kitabu chake, sijui Ismail alipewa kitabu gani!?
Wakristo mnashangaza sana sa mbona Bibilia zenu zina list ya mitume, mbona sijaona kila mmoja kaja na kitabu chake, au wewe si mkristo? Husomi bibilia ukafahamu mna mitume wangapi? Na ile ya Adam ulipo ona bibilia imemkubali kama mtume, mbona ulikimbia hukurudi tena na swali lako la ujinga.
 
Mengi nimesikia kuhusiana na nyota binafsi bado niko njia panda juu ya hili kutokana na maelezo yake kua watu hutofautiana nyota kulingana na mwezi na tarehe ya mtu kuzaliwa pia tabia ya mtu inatokana na nyota yake ilivyo hata kazi pia hutegemeana na nyota.

Swali langu linakuja kwanin iwe ivo inamaana ikitokea mtu nyota yake inamtaka afanye kazi ya aina fulan inabidi afanye hata kama haipend ilimrad tu nyota yake inasema ivo au hata kwenye masuala mazima ya mapenzi mtu itabidi achague yule anaye endana kwa kuangalia nyota ili aweze kudumu nae.

Mbona kuna mambo unaweza ukafanya na ukaenza kudumu katika mapenzi.naomben mchango wenu juu ya hili.

Hayo ni mambo ya kishirikina
 
Naona kijana na Mjukuu wa Muhammad unaanza kukimbia mada. Si ulitaka kutest kama Sumu inafanya kazi, VIPI ALLAH ASHINDWE VIBAYA SANA KUMPONYA MUHAMMAD baada ya KULISHWA sumu na Dada Jasiri wa Kiyahudi?

Hakika Allah WENU HANA UWEZO WA KUPONYA.

Hivi, kwanini Jibril alimuombea Muhammad? Hivi hajua kuwa Allah hakuwa na mpango wowote ule wa kumponya Muhammad, AU JIBRIL huwa anajituma mwenye na kusema ETI Allah kamtuma. HUU NI MSIBA.

How can we then trust this Jibril?
Sa nani aliye muambia mama yake Yesu kama atazaa kama si Jabreal? Sa vipi we usimuamini na wakristo mnamuita Holy Spirit na mungu wenu beside Jesus, eti Holy Spirit mnajua mana ya Holy Spirit nyie, kama mnajua msinge jidai vipi tumuamini Jabreal.

Hiyo ya sumu mbona nilisha kujibu kitambo huko nyuma we rudia tu page za nyuma utaona majibu yangu ya uhakika, nadhani huwa mpaa yanakuchanganya huyasomi unayaruka sababu ni ya ukweli mtupu, kama unayasoma na uhakika utaukimbia ukristo, sababu ni dini fake wala sio ya Yesu na WALA PIA HAIKUTOKA kwa Mungu.
 
Mbona unaogopa kutuletea aya.

Muhammad hakutumwa bali alipewa utume kwa mara ya kwanza na Mkewe. We know that.
Hahaha mmeishiwa nyie, mara kapewa na Jabreal, mara shetani sa mke wake. Kesho utasema kapewa na mjomba wako. Any way we amini unavyo taka, lakini dogo kumbuka kila siku ukiamka Kaburi ndio linakuita. Tena linakutaja jina lako, flani wee nakungojea kwa hamu huku, uje ujibu maswali kama utafauli au uta fail. Na wewe Ishmael, na uhakika kama bado una mfananisha Mungu na binadamu, au unasema Yesu ni Mungu, basi dogo we ni wa motoni tu. Utanikumbuka ukifika huko utasema kumbe Adiosamigo, alikuwa ana nipenda sana. Utasema ujinga wangu ndio umenifanya nifike hapa, si Mkuu wa chuo , wala 2013 , watakusaidia kule. Hapo ndio wakristo watasema Bora tungekuwa udongo kuliko kuwa binadamu.
 
Huu mjadala kila leo najitahid kuupitia na nadhan utakuwa Popular siku za krbn humu Jf... WAKRISTO wameshindwa kutetea hoja wameanzisha vimaswali vya CHUKI ili waharibu maana nzima ya mdaharo huu Astaghafirllah! Wanajua UKWELI lakini wanaupinga...
 
Hahaha mmeishiwa nyie, mara kapewa na Jabreal, mara shetani sa mke wake. Kesho utasema kapewa na mjomba wako. Any way we amini unavyo taka, lakini dogo kumbuka kila siku ukiamka Kaburi ndio linakuita. Tena linakutaja jina lako, flani wee nakungojea kwa hamu huku, uje ujibu maswali kama utafauli au uta fail. Na wewe Ishmael, na uhakika kama bado una mfananisha Mungu na binadamu, au unasema Yesu ni Mungu, basi dogo we ni wa motoni tu. Utanikumbuka ukifika huko utasema kumbe Adiosamigo, alikuwa ana nipenda sana. Utasema ujinga wangu ndio umenifanya nifike hapa, si Mkuu wa chuo , wala 2013 , watakusaidia kule. Hapo ndio wakristo watasema Bora tungekuwa udongo kuliko kuwa binadamu.
adiosamigo maneno haya usemayo unaambiwa wewe.. mwenye macho hutaki kutazama, masikio hutaki kuona...

ningeomba kukuuliza swali hili. Muhammad amekuwa mtume akiwa mzee wa miaka 51(Karibia Umri wa kUstaafu).Bila mafunuo yoyote kuthibitisha ujio wake ama elementi zozote za unabii kaika maisha yake. Mfano hakulelewa kwenye familia, baba yake alidedi yeye akiwa bado charlii. n.k.
Mke aliyempata alikuwa mzee sana kuliko yeye, hakuwa na elimu yoyote, hakutahiriwa kwani jamii yao ilikuwa haitahiri,

ameonekana ni mtu wa kubadilika. aliyoyaongea akiwa mecca yalibadilika alipoenda medina.

analalama kulogwa mara kadhaa, hoja kuwa mashetani yanamwabudu mungu inamtia hatihati, hoja kuwa mashetani yapo mazuri na mabaya nayo inaelementi za uchawi ndani yake, yeye mwenyewe alliwahi kuogopa kuwa mwisho wa duniaumefika alipoona kupatwa kwa jua, alikuwa mwenda kwa waganga. he didi not die natural death.. ameeneza dini kwa kulazimisha watu na sio watu wameridhia, ...nk.
. yaani hakuna link kati ya manabii wa bibilia na Muhammad katika level yoyote ile. hayo mambo sijui ka'aba nikama mapokeo yake na baba na babu zake. Swali langu ni je, Kitu gani hasa kina kuaminisha uone kuwa mwamedi ni Mtume wa kweli na korani ni mamneno ya mungu na imeshushwa kwake ? Mbona matendo yake yamejaa shaka kuliko viwango vya kawaida vya shaka, binafsi sioni kama amezidi nyerere wetu. with no offence, hivi we Huoni???????????????

Kumbukumbu la Torati 18: 10 - 12 ... inasema.....

10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,
11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.
12
Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa Bwana; kisha ni kwa sababu ya hayo Bwana, Mungu wako, anawafukuza mbele yako.
 
Hahaha mmeishiwa nyie, mara kapewa na Jabreal, mara shetani sa mke wake. Kesho utasema kapewa na mjomba wako. Any way we amini unavyo taka, lakini dogo kumbuka kila siku ukiamka Kaburi ndio linakuita. Tena linakutaja jina lako, flani wee nakungojea kwa hamu huku, uje ujibu maswali kama utafauli au uta fail. Na wewe Ishmael, na uhakika kama bado una mfananisha Mungu na binadamu, au unasema Yesu ni Mungu, basi dogo we ni wa motoni tu. Utanikumbuka ukifika huko utasema kumbe Adiosamigo, alikuwa ana nipenda sana. Utasema ujinga wangu ndio umenifanya nifike hapa, si Mkuu wa chuo , wala 2013 , watakusaidia kule. Hapo ndio wakristo watasema Bora tungekuwa udongo kuliko kuwa binadamu.
Bado unahsindwa kuthibitisha maneno yako kwa kutumia aya. Nilikuonya mapemaa kuwa, huto weza msaidia Allah au Muhammad ambao wameshindwa kusema na kutetea madai yenu.

YOU HAVE FAILED
 
Sa nani aliye muambia mama yake Yesu kama atazaa kama si Jabreal? Sa vipi we usimuamini na wakristo mnamuita Holy Spirit na mungu wenu beside Jesus, eti Holy Spirit mnajua mana ya Holy Spirit nyie, kama mnajua msinge jidai vipi tumuamini Jabreal.

Hiyo ya sumu mbona nilisha kujibu kitambo huko nyuma we rudia tu page za nyuma utaona majibu yangu ya uhakika, nadhani huwa mpaa yanakuchanganya huyasomi unayaruka sababu ni ya ukweli mtupu, kama unayasoma na uhakika utaukimbia ukristo, sababu ni dini fake wala sio ya Yesu na WALA PIA HAIKUTOKA kwa Mungu.
KIJANA UNANZA KUKIMBIA MAPEMA HII:

MASWALI YANGU YAKO PALE PALE:
VIPI ALLAH ASHINDWE VIBAYA SANA KUMPONYA MUHAMMAD baada ya KULISHWA sumu na Dada Jasiri wa Kiyahudi?

Hakika Allah WENU HANA UWEZO WA KUPONYA.

Hivi, kwanini Jibril alimuombea Muhammad? Hivi hajua kuwa Allah hakuwa na mpango wowote ule wa kumponya Muhammad, AU JIBRIL huwa anajituma mwenye na kusema ETI Allah kamtuma. HUU NI MSIBA.

How can we then trust this Jibril?
 
Hawawezi kuwa Mitume sababu Mtume Muhammad ndio kiboko wa Mitume wote, yani hawezi kutokea Mtume mwingine, na Mungu kasha sema; Huyo ndio Mtume wa mwisho amemtuma, na ukingojea mwingine aje labda si dunia hii tunayo ishi.
I don't think so. Kiboko ya mitume afe kwa kulishwa sumu na mwanamke? Astaghfirullah.

Huyo mtume wako ambaye hakuwai ongea na Mungu ni bure kabisa na wala hafai kabisa.

Mtume wako ameanza kutwanga Mke wake vibaya sana.
Muslim (4:2127) - Muhammad struck his favorite wife, Aisha, in the chest one evening when she left the house without his permission. Aisha narrates, "He struck me on the chest which caused me pain."

Haya hata Baba mkwe yale yale
Muslim (9:3506) - Muhammad's father-in-laws (Abu Bakr and Umar) amused him by slapping his wives (Aisha and Hafsa) for annoying him. According to the Hadith, the prophet of Islam laughed upon hearing this.

Muhammad anawaruhusu waume kutwanga wake zao. Mambo ya Sharia na Kadhi
Abu Dawud (2142) - "The Prophet (peace be upon him) said: A man will not be asked as to why he beat his wife."

Mke anageukwa kahaba kwa amri ya Muhammad
Abu Dawud (2126) - "A man from the Ansar called Basrah said: 'I married a virgin woman in her veil. When I entered upon her, I found her pregnant. (I mentioned this to the Prophet).' The Prophet (peace_be_upon_him) said: 'She will get the dower, for you made her vagina lawful for you. The child will be your slave. When she has begotten (a child), flog her'" A Muslim man thinks his is getting a virgin, then finds out she is pregnant. Muhammad tells him to treat the woman as a sex slave and then flog her after she has delivered the child.
 
Dogo hizo kusema Yesu kajiita kristo mbona ni nyimbo tu za uwongo, kuna sehemu Yesu aliwambia wasimuite yeye ni Mkristo sababu hataki watu wasikie hayo, kwanini alikataa watu wasimuite kristo kama yeye ni kristo.Yesu alikataza kuitwa Kristo: Aliwakataza wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. (Mathayo 16:20).Hivyo Wakristo ambao wanatangaza kwamba Yesu ndiye Kristo ni wale(Ant Christ). Hiyo ya kusema Mungu hata bibilia zenu zinaipinga.


Tazama (Mathayo 27:50). Hivyo mtu ambaye alifariki hawezi kuwa Mungu. Wakristo wanaamini kwamba Yesu alifariki kifo cha laana. Ukisoma (Ezekieli 28:8-9). Mwanadamu anauawa na Yesu anayo sifa hii sawa na Biblia inavyo sema.Yesu, ambaye nyie mlimuuwa mkimtundika katika mti." (Matendo 5:30). Mtu ambaye anatundikwa na anauawa hawezi kuwa Mungu, sababu hana sifa za Mungu, huyo anaitwa mtu dhaifu. BTW huwa mnasema Yesu alikuwepo kabla ya Prophet Abraham, hivi dogo hujui bibilia yenu inasema Prophet Solmon ambaye nyie mnamuita King si Mtume, anasema yeye alikuwepo pamoja na Mungu hata kabla ya kuumbwa ardhi na mbingu, (Mithali 8:22-30). Dogo Mathayo 2:6, 27:29, 27:42, Yohana 1:49 zinasema Yesu alikuwa mfalme si Mtume. SA TUWAMBIE NINI TENA NYIE WAKRISTO bibilia inachanganya sana mara ni Mungu, mara ni Mtume na mara ni Mfalme wa Israel. Mungu gani aliuzwa? Yuda Iskariote alimuuza Yesu kwa shilingi 30 tu.(Mathayo 26:15).













Yohana 11:24 Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;25 naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?26 Akamwambia(martha), Naam, Bwana, mimi nimesadiki ya kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajaye ulimwenguni.

angalia hapo juu watu wanakiri kuwa yesu ndiye kristo..


MAtthayo 16:20 Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote ya kwamba yeye ndiye Kristo.21 Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.22 Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, Hasha, Bwana, hayo hayatakupata.23 Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.

@adiosamigo huyawazi yaliyoyamungu bali ya shetani.... ifahamu kazi ya kristo ilikuwa ukombazi wa wanadamu, anayezuia hilo anafanya kazi ya shetani. Ilimpasa yesu kristo kufa.Kama asingekufa wokovu wetu ni bure. Surat maria,19:33 bless the day i was born, the day die and the day i raised up into life again.

.......24 Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu ye yote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate.25 Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona.26 Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Muhammad alipenda K za wanawake mabikira na dogodogo alivutia na nipples, makalio makubwa makubwa, virginity,youth women, aliwanyonya denda hadi watoto wa kiume, japo baadhi ya wanazuoni wanasema eti alikuwa anakata kiu za watoto wa kiume kwa kuwapiga kupitia denda.. lakini konklusheni yake ilimalizia pale chini kuwa hakuna ulimi (Sio Shavu wala Mdomo) mudi alioubusu yaani "romance" ambao utateseka jehanum-My foot!! Kuna wakati mudi alidiriki kumshangaa best yake kwa kuoa mwanamke mzee asiye bikra... hata pepo aliyojaribu kuiimagine ilikuwa na vielement vya ngono kwa kiwango kikubwa.KWakuwa moyo wake ulikuwa huko.

inshort Muhammadi alitamani kuupata ulimwengu wote.. in the end he got killed by woman and never come back...... how absurd?!!!
 
Ishamel, nimechunguza wewe huna kitu zaidi ya kuleta fujo, unarudia hayo hayo.Yani Aya zote huzioni tu, haya na hii hapa hujaiona bado; Say (O Muhammad to mankind): ‘If you (really) love Allah then follow me (i.e. accept Islamic Monotheism, follow Quran and the Sunnah), Allah will love you and forgive you your sins. And Allah is Oft-Forgiving, Most Merciful.' Say (O Muhammad): ‘Obey Allah and the Messenger (Muhammad).' But if they turn away, then Allah does not like the disbelievers." (Qur'an: 3:31)
Uthibitisho ninao ukubali ni aya tu. Mameno meengi sina muda nao.

Lete aya ambayo Muhammad anasema: MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.
 
Kwani we ni kaka?
Mi sijui jinsia yako kwa nadharia.
Nilichofanya ni kutazama maneno yako tu.
Yaani km sio dada basi una dalili zote za Ushoga!
Manake maneno yako yamejaa nyodo na mipasho tu!
Km unabisha Muulize yyt unaemuamini km atakwambia ukweli basi atakwambia haya haya ninayokwambia mimi.

kwani nyodo na mipasho si ndio mambo yenu ya huko pwani je nyinyi huko wote ni mashoga kwa kupenda mipasho??? Mbona kama vile unawatusi watu wa mwambao kirejareja, hivyo we umewahi sikia watu wa kaskazini wanaimba mipasho na kujichubua??? em rekebisha kauli manake sijaona kama umejibu kisawasawa unajikoroga mno...
 
Prophet Muhammad Allah’s Messenger to the Whole Mankind; Prophet Muhammad was Allah's great Prophet and Messenger like Jesus, the Son of Mary. The Prophet's mission, however, is universal. Allah meaning: (the Exalted, Most Glorious) tells mankind that Prophet Muhammad is no more than a Messenger (Quran: 3:144), the unlettered Prophet who believes in Him and His Words (Qur'an 7:158). He is the Seal of the Prophets and the true universal Messenger of Allah to the whole mankind (Qur'an: 33:40). Allah makes this very clear: We have not sent you (O Muhammad) but as a universal (Messenger) to men giving them glad tidings and warning them (against sin) but most men understand not (Qur'an 34:28). Nakuongezea ingine hio; Indeed in the Messenger of Allah (Muhammad) you have a good example to follow for him who hopes for (the Meeting with) Allah and the Last Day, and remembers Allah much."(Qur'an 33:1)
KORAN INAKIRI KUWA UISLAMU NI DINI YA WAARABU PEKEE
Katika hii mada ninawaletea ushaidi kuwa Uislam ni dini ya Waarabu peke yao.
Waislamu bila kuchoka wamekuwa wakidai kuwa Uislamu utatawala dunia nzima. Katika kufanya hivyo, wao watakuwa wamekwenda kinyume na maneno ya Allaha kama yarivyo teremshwa kwenye Qur'an. Kwa hiyo, ni haki kwa kusema wao ni Makafiri.


Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.


Angalia hii aya pia
Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.


Kama aya hizi ni kweli, basi Uislamu si kwa mashirika/mataifa/ummah yasiyo ya Waarabu. Quran inasema kwamba kila watu wamepokea ujumbe wao kutoka kwa Mungu katika lugha yao wenyewe ili waweze kuelewa na Qur'ani akaishuka kwa Waarabu ili Waarabu waweze kulewa nini Allah anasema.


Dhana hii ya Allah kushusha Kitabu kwa kila lugha ni muhimu sana kwasababu imejirudia mara nyingi na ndio msingi wa hili somo.


Quran 16: 36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa MwenyeziMungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.


Quran 5: 48. Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.


Quran 36: 5. Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu. 6. Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa , basi wao wamekuwa wenye kughafilika.


Hizi aya zimekamilka na kueleza kiuwazi kuhusu kuja kwake kwa Waarabu pekee. Allah katika Koran anasema kwamba kila watu wamekuwa na Mtume wao wenyewe ambao aliwaonya katika lugha zao wenyewe, na kwamba amemtuma Muhammad kwa wale ambao bado hawajaanza mwongozo wowote, na ambao baba zao hawakuonywa, yaani Waarabu. Kwa njia hii watakuwa hawana udhuru wowote na hawezi kusema, lakini hatukuwai kupokea ujumbe wowote.


Endelea kusoma Koran hapa chini:
Quran 6: 156. Msije mkasema: Hakika mataifa mawili kabla yetu yameteremshiwa Kitabu; na sisi tulikuwa hatuna khabari ya waliyo kuwa wakiyasoma.


157. Au mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa waongofu zaidi kuliko wao. Basi imekufikieni bayana kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na uwongofu, na rehema. Basi nani aliye dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, na akajitenga nazo? Tutawalipa wanao jitenga na Ishara zetu adhabu kali kabisa kwa sababu ya kujitenga kwao.


Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu.


Uthibitisho mwingine kuwa Qur'ani ilitumwa tu kwa ajili ya Waarabu ni katika mistari ifuatayo hapo chini:
Quran 26: 198. Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu, 199. Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.


Kama ambavyo Waarabu wana haki ya kuto amini kitabu chechote kile kilichotumwa kwa lugha ambayo si yakwao, ikimaanisha Kiarabu, vivyo hivyo, mashirika yasiyo ya Waarabu nao wana haki ya kuto iamini Koran, kitabu kilichoandikwa kwa lugha ya Kiarabu. Ndio kwasababu Koran inasema Allah atatuma mjumbe kwa kila lugha ili wao wenyewe kwa wenyewe waweze kuelewa.


Kuhakikisha hakuta kuwa na kutokuelewana, Allah anashusha hii aya 05:19 Quran: Enyi Watu wa Kitabu! Bila ya shaka amekujilieni Mtume wetu akikubainishieni katika wakati usio kuwa na Mitume, msije mkasema: Hakufika kwetu mbashiri wala mwonyaji. Basi amekujieni mbashiri na mwonyaji. Na Mwenyezi Mungu anao uweza wa kila kitu.


Kwa mujibu wa Qur'an watu wote wamepokea ufunuo. Aya ya hapo juu inasema Qur'ani ni kwa wale ambao kamwe hawakupokea ufunuo, iliwasije kusema, `kuwa sisi hatuja wai kutumiwa mbashiri na hakuna mjuonyaji aliye tumwa kwetu'.


Jambo hili ni wazi, lakini Allah anataka liwe wazi hata na kwa asiye na ufahamu wowote ule aelewe kuwa Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee kwa kuzitaja sehemu halisi za kijiografia ambazo Muhammad alitumwa kama Mtume wa Allah.


Quran 6:92. Na hiki ni Kitabu tulicho kiteremsha, kilicho barikiwa, chenye kuhakikisha yaliyo tangulia, na ili uuwonye Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na wenye kuamini Akhera wanakiamini hichi, nao wanazihifadhi Sala zao.


Leo, tumejifunza kuwa, Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee na si kwa Mataifa yote. Sasa, nina uhakika baadhi ya Waislamu wanaweza kuleta aya nyingine zinazosema kwamba Uislamu ni kwa wanadamu wote. Kama Waislam watafanya hivyo, basi waelekuwa kwa kufanya hivyo ni kuthibitisha kwamba aya hapo juu ni za uongo.


Ama Quran ni pakiti ya uongo na utata au ni tu kwa Waarabu wa Makkah na jirani yake kama alivyo sema Allah ambaye ni mungu wa Waislamu.
Katika huduma yake,
 
Huu mjadala kila leo najitahid kuupitia na nadhan utakuwa Popular siku za krbn humu Jf... WAKRISTO wameshindwa kutetea hoja wameanzisha vimaswali vya CHUKI ili waharibu maana nzima ya mdaharo huu Astaghafirllah! Wanajua UKWELI lakini wanaupinga...
Nyie bado mmeshindwa kutuletea ushahidi kuwa Muhammad ni mtume wa Mungu.

Lete aya bana.
 
Adiosamigo nahisi mkuu wa chuo ni mchungaji lakini anaogopa kusema coz anajua huenda akapoteza kondoo wake, maana hata humu anao, anavyokula sadaka za wenzie anajua kinaweza kisieleweke.

Naamini wameshaambizana wakimbie!!!!!!!

Haya tena. Muhammad anasema uongo bila ya aibu. Hebu tumsome.

Kasema Mtume (S.a.w)
"Hakika maiti anajua nani anaembeba, na nani anaemuosha, na nani anaemtia kaburini mwake" (Mweli Mwaminifu, Juzuu ya 1-2, Hadithi Na. 422, Uk. 188)


MWAMDISHI SHEIKH SAID MOOSA MOHAMED AL-KINDY
Hivi jamani unaposema maiti kuna kujua tena? kuna uhai tena? yaani muislamu akifa, yule anaemosha, yaani anaemkamua mavi, anaemtia kidole matakoni kuhakiki kama mavi yote yameisha, anamjua, maana kuna siri hapo kwenye kukamua, wanaambiwa wasitoe siri hiyo nje, kwa ushahidi huu


Kasema Mtume (S.a.w) "Anaeosha Maiti basi aanze kwa kumkamua" (Mkweli Mwaminifu, Juzuu ya 1-2 Hadithi Na. 423, Uk. 188)


423 Na muradi wa kukamua, si kama inavyokamuliwa nguo, la: bali analazwa chali, kisha anakalishwa nkitako na huku anakandamizwa kidogo kidogo tumboni kisha unamrejesha tena chali kisha unamuinua kumkalisha na mkono wako uwe tumbono mwake, unafanya hivyo mara tatu, kisha unamosha tena. Na ikiwa umemtoka uchafu wote tumboni kwa njia ya haja utupu wa nyuma, Bai useme kitu wala msimwambie mtu, ukitoa siri yake maiti basi hupati thawabu, na badili yake unapata madhambi.


Hapo kwenye usitoe siri ndipo penye kutiana vidole makalioni kwa maiti maana huwezi jua kama uchafu umeisha mpaka umtie kidole kwa pamba au kitambaa cheupe,uone umetoka uchafu wa rangi gani, maana miti yule kwa mujibu wa Muhammad, anajua kabisa fulani kanitia kidole matakoni, kwa hivyo muislamu akitoa siri hiyo basi anapata dhambi, badala ya thawabau. SASA TUJIULIZE, JE Maiti anakuwa na ufahamu wowote? anaejua yote hayo ni marehemu aliye hai? Msikilize Mfalme Sulemani anavyosema.


Muhubiri 9:5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa


Kwa ushauri wangu, waislamu msitishike na hao maiti wenu, hawajui lolote, kwa hivyo hizo siri tupeni manzowafanyia hao marehemu wenu.





cc: Eiyer Mkuu wa chuo 2013 Lisa Valentine Adiosamigo faizza Foxy Ally Kombo Nonda Gavana
 
Hawawezi kuwa Mitume sababu Mtume Muhammad ndio kiboko wa Mitume wote, yani hawezi kutokea Mtume mwingine, na Mungu kasha sema; Huyo ndio Mtume wa mwisho amemtuma, na ukingojea mwingine aje labda si dunia hii tunayo ishi.
the-moment-you-realize-that-the-origin-of-the-word-palestinian-comes-from-the-hebrew-word-plishtim-which-means-invaders.jpg
 
Nyie bado mmeshindwa kutuletea ushahidi kuwa Muhammad ni mtume wa Mungu.

Lete aya bana.

Yesu akasema kuwa yeye ni muuwaji na ni MNAFIKI!

Mathayo 10: 34.

34-Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.-

35-Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu.


NAULIZA hivi nyie wakristo hii tabia ya kuua waislamu na Kuleta fitina duniani kumbe mliitoa kwa kiongozi wenu sio?

Yule jamaa alikuwa SHETANI MBAYA SANA.

Ndio maana wayahudi wakamuwahi na kumuua kabisa! Angekuwa hai muda mrefu angeleta balaa kubwa sana duniani.
Nyambaff zake kabisa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom