Hahahaa za micasa uswazi mwingi
Swali...hizo zinazoitwa pisi ..huko maisoni nao huwa wanafanya booking au?? ..maana naonaa hapo wamesimama simama tu kimaonyesho!
Asa ata kwa anonymous I'd bado unawaogopaHuwa naenda mara moja moja nikiwa $500 ya kuchezea. Ila kuna vijana pale aisee hatari, kila Jumamosi wapo na wanaorder bottle service za milioni 2 kwenda juu. Siwataji majina ila mtu yoyote mzoefu wa pale anawajua maana ni balaa. Sijui wanatoa wapi pesa wale.
hizi sasa ndio nyuzi za kuleta,nashukuru mleta mada.kwa mimi mnyonge siku nikipata laki 5 tu naenda kujilipua hapo😋Bila shaka maison club ndo club ghali nchini Tz na yenye hadhi ya five star yani nyota5. Hii night club ipo masaki mtaa wa sea cliff. Maison huwez ingia kizembe lazma ufanye booking kama guest list before hapo ndo utaruhusiwa ingia ndani.
Kwa upande wa reservation bei zao zinaanza na 220,000- 12,000,000 sio poa. Kwa wale wa kupenda pisi kali hapa kuna kila aina ya pisi mfuko wako tu.
Ukitaka ujue Tanzania watu wanatumia pesa ingia hata siku1 tu uone watu wanavotumia pesa. Sisi wengine tuendelee kuvimba kitambaa cheupe. View attachment 1992297
View attachment 1992299
View attachment 1992300
View attachment 1992301
View attachment 1992302
View attachment 1992303
View attachment 1992304
View attachment 1992305
View attachment 1992306
mkuu😅,usijione mnyonge kiasi hiko,unaanza Geto kwako unapiga kama ni black and white,grands au hata vant mpk unachangamka then unaingia hapo na laki 5 tu,utarudi na change kesho yakeHuku Mpaka Nipate Jimama lakunipeleka ila kwa hela zangu siwez kupoteza Mda huo
kubali lile ombi langu nitakupeleka,uvae na ile crazy jeans yakoKwa hiyo natoa 220,000-12,000,000 halafu baadae nanunua kinywaji?
Mi nshazoea kiingilio 10,000 napewa beer 2
kubali lile ombi langu nitakupeleka,uvae na ile crazy jeans yako
mkuu tu arrange bana december tukiwashe hapoFact mzee tukakiwashe nn
au nyie wenzangu sio wasukuma ? mimi napenda sana pisi nyeupe nimeona mzungu hapo.Kwa upande wa pisi hakuna kitu
😅mrembo kama wewe hutakiwi kulipa bills,ni dhambi kubwa mno.mi sijawahi hata kufika ila kwa jinsi uzi ulivoandikwa ni pa kwenda hata usipopata kitu ila umeenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui hata nipoje huko natak niende mwenyewe niambie vizuri. Natoa 220,000 ndo nipate nini?
Show za kujichanga kinyonge sana! Ishu ni uwe njema ujiwashe tu hata kama uko na wana sio kesi😂Mkuu unajichanga na wana mnaenda kuvimba
kumbe ukiingia kuanzia saa nane usiku kiingilio ni elfu kumi tu!!!Show za kujichanga kinyonge sana! Ishu ni uwe njema ujiwashe tu hata kama uko na wana sio kesi😂