Maison club

Maison club

Bila shaka maison club ndo club ghali nchini Tz na yenye hadhi ya five star yani nyota5. Hii night club ipo masaki mtaa wa sea cliff. Maison huwez ingia kizembe lazma ufanye booking kama guest list before hapo ndo utaruhusiwa ingia ndani.

Kwa upande wa reservation bei zao zinaanza na 220,000- 12,000,000 sio poa. Kwa wale wa kupenda pisi kali hapa kuna kila aina ya pisi mfuko wako tu.

Ukitaka ujue Tanzania watu wanatumia pesa ingia hata siku1 tu uone watu wanavotumia pesa. Sisi wengine tuendelee kuvimba kitambaa cheupe. View attachment 1992297
View attachment 1992299
View attachment 1992300
View attachment 1992301
View attachment 1992302
View attachment 1992303
View attachment 1992304
View attachment 1992305
View attachment 1992306
hizi sasa ndio nyuzi za kuleta,nashukuru mleta mada.kwa mimi mnyonge siku nikipata laki 5 tu naenda kujilipua hapo😋
 
Huku Mpaka Nipate Jimama lakunipeleka ila kwa hela zangu siwez kupoteza Mda huo
mkuu😅,usijione mnyonge kiasi hiko,unaanza Geto kwako unapiga kama ni black and white,grands au hata vant mpk unachangamka then unaingia hapo na laki 5 tu,utarudi na change kesho yake
mimi mara ya kwanza kujilipua nilikuwa chuo nika spend laki na kwa usiku mmoja,tokea wakati huo kujilipua naona sawa tu,yani laki kwa mlevi ni kama noti ya elfu kumi tu
 
Back
Top Bottom