Hahahahah labda kama ni hivyo mjaze ma henessy πMkuu kama mpo wa4 kila mmoja akatoa 500k daah si mnavimba sanaa meza itajaaa mpaka watoto wazr wanaanza jipitisha, afu nini mnakua hamna habari[emoji28]
Safari hazinywewi mjiniHawajaweka bei ya safari kubwa na bingwa hawa jamaaπ¬π¬
Basi mimi nakuja kuwaharibia utaratibu wenu.Safari hazinywewi mjini
HahahahaahBasi mimi nakuja kuwaharibia utaratibu wenu.
Jibu swali wacha kujifanya much know
Hela yenyewe ya huko ninayo basi hadi nijibu, zangu kiwingu 2000, energy ya mo 500, maji ya uhai 500 chakula ni home sasa nijibu ya huko nisiwe muongo
HahahahaUnaamua tu mshahara mmoja unapeleka huko mwezi mzima unakula kabichi
Nakuja kunywea safari mrija kama wafanyavyo ndugu zetu wa Mwanza katikati ya jiji lenu.Hahahahaah
Wapambanaji hao shauri zako.Ni majambazi au? Yaani hao wanaoweka dawa kwenye matiti wanakuibia?
Hizo kabichi labda uwe umelima kwenye home garden maana mshahara woote si utakuwa umeshaupeleka kwenye kukichafua hapo Maison πππUnaamua tu mshahara mmoja unapeleka huko mwezi mzima unakula kabichi
Hapo ndio fumbo, mfano nina 600K, siwezi kupata mtoto mkali? Na sina hela nyingine yaani nimefika na hela ya mbususu na vinywaji tu? Sasa hapo watapata nini kwangu?Wapambanaji hao shauri zako.
utaleta mrejesho hapa mkuu,sisi hatupo darisalamaMimi next friday nitaapanda kukichafua hapo.
haina noma mkuuUta ni pm tuongeze campani[emoji41]
Hizo kabichi labda uwe umelima kwenye home garden maana mshahara woote si utakuwa umeshaupeleka kwenye kukichafua hapo Maison [emoji3][emoji3][emoji3]
πππππππ kwa huo mwezi wa mateso na kilo zitakupungua mpaka Mange kwako ataonekana kibongeUnabakisha 20,000
Kwa wiki kabichi mbili unazigawanya vipande
Uzuri unaweza iosha na chumvi tu ikalika
π π π π π π π haya matusiNakuja kunywea safari mrija kama wafanyavyo ndugu zetu wa Mwanza katikati ya jiji lenu.