raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Lakn hii club ni ya mtz nafikiriIyo club na nyingine za hao foreigners ni chaka la top dogs kwa maana wapigaji specifically wapopo,ni sehemu ambayo wakishabutua ndio wanakuja kusplash wengine ni moja wapo ya njia nzuri ya kufanya money laundering with experience husifikiri hao vijana wanakuja hapo kutumia na cash kulipa wengi wanakunywa kiasi wanachoona kinatosha kwa siku iyo nyingine inakuja kwenye risit wanapewa cash,ogopa sana muhindi,muiran au mpakistan kwenye biashara ya club kuna vingi vinatokea back door.