Maison club

Maison club

Ila hii nchi kuna watu Wana pesa jamani.
kule mbezi beach kuna the waves.daah hayo magari yaliyomwagika pale.
masikini NI Mimi tu.
The waves Kwa ndani mnakua wachache kawaida halafu kistaarabu ukitoka hapo nje unaweza shika kichwa kuna hizo Range rover kama kiwandani [emoji2]BMW /BENZ /Ford Rangers yani migari yote mikali unayojua halafu mipya ...
Nimetokeaga kupapenda pa kistaarabu sana ni mbadala wa kidimbwi!
 
Kwa hiyo natoa 220,000-12,000,000 halafu baadae nanunua kinywaji?


Mi nshazoea kiingilio 10,000 napewa beer 2
Bora wewe ten bia 2.. mi hiyo ten natoa na ofa ya bia moja kwa mtoto mzuri ataekuepo
 
The waves Kwa ndani mnakua wachache kawaida halafu kistaarabu ukitoka hapo nje unaweza shika kichwa kuna hizo Range rover kama kiwandani [emoji2]BMW /BENZ /Ford Rangers yani migari yote mikali unayojua halafu mipya ...
Nimetokeaga kupapenda pa kistaarabu sana ni mbadala wa kidimbwi!

Tupe bei za Beer tusijefika tukaanza kuSongesha
 
Kwa hiyo natoa 220,000-12,000,000 halafu baadae nanunua kinywaji?


Mi nshazoea kiingilio 10,000 napewa beer 2
[emoji2][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom