Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda rate ya watu kukata moto bongo ni kubwa sana ndo maana wanahisi wakiacha hadi hio miezi sita, miundombinu itazidiwaSiku 14 wanazika? Kenya huwa naona maiti zina hadi miezi 6 ndio zinazikwa, siku 14 ni chache sana
Miez sita unahifadhi maiti lengo ni nini?Siku 14 wanazika? Kenya huwa naona maiti zina hadi miezi 6 ndio zinazikwa, siku 14 ni chache sana
Kiswahili kigumu.Huwa nakereka sana na SERIKALI YATOA TAMKO! Serikali inatoa tamko kwa nani? Serikali inatoa taarifa, maelekezo, maagizo, nk. na sio tamko.
Utasikia taarifa kutoka Idara ya Habari Maelezo titled; TAMKO LA SERIKALI! Dah.Kiswahili kigumu.
Kwa hio itoe maagizo ya mazishi iliyofanya ama?Huwa nakereka sana na SERIKALI YATOA TAMKO! Serikali inatoa tamko kwa nani? Serikali inatoa taarifa, maelekezo, maagizo, nk. na sio tamko.
Kwenye post uliyo-quote umeona neno MAAGIZO tu sio? Neno TAARIFA hujaliona? Kwa hiyo Serikali imetoa TAMKO la mazishi! Crazy?Kwa hio itoe maagizo ya mazishi iliyofanya ama?
Elewa muktadha
Siku 14 wanazika? Kenya huwa naona maiti zina hadi miezi 6 ndio zinazikwa, siku 14 ni chache sana
Hakuna hospital Afrika inakaa na mwili wa mtu ambaye hajatambuliwa kwa muda mrefu hivyoSiku 14 wanazika? Kenya huwa naona maiti zina hadi miezi 6 ndio zinazikwa, siku 14 ni chache sana
Ikifika hapo ndo hospital huweka ngumu kupokea wagonjwa bila kulipa bill...Kuzuia maiti kisa gharama za matibabu sio uungwana
Acha uoga, watu 59 kwa mwaka waona wengi?Aisee watu wanakata moto sana watu 59 siyo mchezo kama ni ajali inatokea halafu vifo viwe 59 utaona ni kiasi gani ni wengi
Sasa hapo tumeambiwa ni ajali na wengine wameokotwa wamekufa tayari hiyo halmashauri ilitakiwa iende mbele zaidi kusema hao wengine walikufa kwa sababu gani na wanachukua hatua gani kupunguza hivyo vifo siyo kuishia kusoma vifungu vya kuwawezesha kuzika tu
Hilo jiji linatakiwa kuonyesha linafuatilia vitu in details na linachukua hatua stahiki kupambana nazo ili wageni wajue ni mahali sahihi na salama
DNA inahitaji Database au Ndugu waje kuchukuliwa Sampo ili zilinganishweOhoooo tunashindwa kutambuana, kwani DNA TESTS tumekwama wapi?dental formula nayo tumefeli, ndio maana hawafii au kuuguzwa Temeke Referral Hospital, kwao ni India, UK au Milpark!!!
Je, wana kawaida ama Utamaduni wa kutoa tangazo kuwatangazia waliopotelewa na ndugu kuhusu maiti, ili watu wakaone, au basi kuwapiga picha usoni kisha wakatangaza magazetini na mitandao ya kijamii? Hii taarifa ni ya kipuuzi sana.