I do know that, na nchi haina data base ya raia wake!,sitochangaa sana maana ndio nchi pekee hapa EA ambayo haina central system kwa raia wake, nchi tuna aina zaidi ya 5 ya IDs, eti ya kupigia kura kinatofautiana na NIDADNA inahitaji Database au Ndugu waje kuchukuliwa Sampo ili zilinganishwe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app