"majaj"i wa tundu lisu

"majaj"i wa tundu lisu

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Wapendawa wanasheria wa JF naomba muipitie hukumu hii ya Mheshimiwa muone aliyokuwa akiyasema Tundu Lisu. Tuainishe mapungufu/nguvu (weakness/strength) ya hukumu hii, bila kutukana bali kupata ukweli na kujifunza. Sijui kama iliombwa rufani maana inawezekana tukaingilia uhuru wa mahakama.
 

Attachments

Kwanza JF ni kwa wanasheria na wasiokuwa wanasheria. Pili ingekuwa vizuri ukaichambua hukumu hiyo na ukatuletea hoja wewe mwenyewe kama mtoa hoja kwa sababu wadau wengi wameishaisoma. Kwa hiyo lete 'issues' ulizoziona kwenye hukumu hii ili wadau wachangie.
 
Kwanza JF ni kwa wanasheria na wasiokuwa wanasheria. Pili ingekuwa vizuri ukaichambua hukumu hiyo na ukatuletea hoja wewe mwenyewe kama mtoa hoja kwa sababu wadau wengi wameishaisoma. Kwa hiyo lete 'issues' ulizoziona kwenye hukumu hii ili wadau wachangie.

Katalina wewe kama ni mwanasheria just read. Ndio maana nimewaomba wanasheria ambao wanajua sheria, layman hawezi ona strength/weakness za hiyo hukumu.
 
Back
Top Bottom