CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Wapendawa wanasheria wa JF naomba muipitie hukumu hii ya Mheshimiwa muone aliyokuwa akiyasema Tundu Lisu. Tuainishe mapungufu/nguvu (weakness/strength) ya hukumu hii, bila kutukana bali kupata ukweli na kujifunza. Sijui kama iliombwa rufani maana inawezekana tukaingilia uhuru wa mahakama.