Majaji hawa 7 ndiyo adui wa demokrasia TZ

Waliamua kwa maslaihi ya waliowateua.So wamelinda maslahi yao na si ya Taifa.
 
Their tym is approaching to the moribund bse they ar in vegetative state at this particular juncture!!
 
kuuliza si ujinga hivi mgombea binafsi ataendesha vipi shughuli zake na kupitisha vipi sera zake katika bunge la muundo uliopo? maana at times nadhani kama vile tunalilia mvua wakati visima vya kuhifadhia maji atujajenga.
 
Kama sikosei, ktk jopo la majaji saba waliotoa hukumu,mmoja alikubaliana na hoja ya mgombea binafsi,sita walikataa.
 

Mtikila alishafungua hiyo kesi katika African Court on Human and People's Rights! Click HAPA!
 
Tanzania inaongoza kwa majaji kujikomba kwa watawala!!!
wenzetu kenya wametuzidi............
Uganda wametuzi, hawa walifikia kufuta kezi zote za DR Besigye na kudai kuwa ni njama tu za kisiasa dhidi yake..... Tanzania hakuna anayeweza kuamua hivyo hakuna!! nchi hii imekufa idara zote!! wana waramba makalio watawala!!
Maskini Tanzania!
 
kuuliza si ujinga hivi mgombea binafsi ataendesha vipi shughuli zake na kupitisha vipi sera zake katika bunge la muundo uliopo? maana at times nadhani kama vile tunalilia mvua wakati visima vya kuhifadhia maji atujajenga.

Kazi ya Mbunge ni kutunga sheria;Kulindaji rasilimali zetu kwa kuipa serikali hela zile tu ilizoomba;then kuisimamia serikali kwenye mgawanyo wa keki ya Taifa ili kuwafikishia wana jimbo lake kile walichogawiwa na serikali kutoka kwenye bajeti kuu(Kumbuka kuwa kuthibitisha uteuzi wa Rais sio kazi ya bunge la TZ)!Sidhani kufanya hivyo kunahitaji lzm uwe na chama!
 

Bado kufukuzwa kwa madiwani na wabunge kugekuwepo, kwani huyo diwani na mbunge walikubaliana na masharti ya chama wakakubali kugombea, sasa wakikosea kwenye chama kwanini wasifukuzwe?
 
Jamaa ameweka wazi kuwa hawa ndiyo majaji walioruhusu mgombea binasfi ambao uamuzi wao ulibadilishwa na hao wa mahakama ya rufaa.

Hivi TZ hatuna constitutional court??

Itoke wapi? si ndio sababu twataka katiba mpya sio ya kurekebisha kama alivyosema Kikwete jamani

 
Pamoja na judge MWALUSANYA.
y
Huyu Mwalusanya alifanya nini? Tafadhali mtujuze wengine. Mtikila humtaja sana Mwakasendo, sijajaribu ku google au ku search JF kuziangalia taarifa zake.
 
Nadhani tunakosea sana kuwahukumu watu waliutumia taaluma yao ya kisheria na kutimiza wajibu wao kikatiba leo kuwaona kuwa ni watu waliofinya demokrasi.
Process ya kesi ya Mtikila ilikuwa ndefu na iliyochukuwa muda mrefu katika mahakama kadhaa.Katika kesi ya msingi MTIKILA alishinda kesi ili katika hukumu iliyosomwa na jaji Mwalukasa katika mahakama kuu ya Dodoma. Baada ya uwamuzi ule serikali haikuridhika ikakata rufaa kupinga uamuzi ule.
Hapo mbaya wako ni serikali na sio mahakama.
 
siyo kila kitu lazima kiwe na uhusiano na magamba. Issue zingine ni za kitaaluma tu. Katika maamuzi mbalimbali ya kimahakama utakuta baadhi ya majaji wanakubaliana ("concur") na wengine wanapingana ("dissent") juu ya suala la kuamua linalokuwa mbele yao ...
 
Article 107A "Mahakama ndiyo chombo cha mwisho ktk utoaji haki" Majaji wakasema "...suala hili lipelekwe bungeni..." Kazi ipo!!!!!!!!!!!
 
Article 107A "Mahakama ndiyo chombo cha mwisho ktk utoaji haki" Majaji wakasema "...suala hili lipelekwe bungeni..." Kazi ipo!!!!!!!!!!!



Hawa Majaji waliotoa uamuzi huu wa Suala hili ambalo ni moja katika haki za msingi za Binadamu, kurudishwa Bungeni ,
Hawaitakii mema kabisa Nchi hii.
Wapo hapo kwa masilshi yao binafsi , si kwa kupigania haki za Raia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…