Majaji wa BSS wako biased kwa baadhi ya washiriki?

Majaji wa BSS wako biased kwa baadhi ya washiriki?

BSS imechoka kwisha kbs, hoi bin hui, uh! mh! majaji wenyewe ni WANAHASIRA SANA waige mfano wa NAIJA SINGS na TUSKER PROJECT FAME wanagombana hovyo, kuna kijana 1 kama sikosei ni Kelvin walimtosa kwenye audition namwona tusker project fame anajitahidi japokuwa hana confidence mpaka wamemweka kwenye probation.
Hawa jamaa bwana., Mimi sikuzote nawaona wababaishaji tu! kwanza, tujiulize zile products zao za mwaka juzi na jana i.e. jumanne iddy na Misongi wako wapiiii? wametoka kwenye GAME?? wanaendeleza GAME?? Hao ndio waliochaguliwa kuwa best lakini they prove failure! badala yake tunawaona wakina Fesal ismail na yule binti wakitoka kibingwa katika Game.
Katika BSS ya mwaka huu mambo ni yaleyale hakuna cha ajabu, zaidi ni ujinga mtupu na kukosa mwelekeo kwa majaji mpaka wanafikia hatua ya kugombana na kutoelewana hadi wanafikia hatua ya kutupiana maneno makali na hii yote inatokana na Ma-jurge kuwa na ile kitu inaitwa " They tune to personal interest!, kuliko uhalisia wa kazi yao as jurges. For surely.,kama unafuatilia kwa makini utaona hawa Ma-jurge wamegawanyika kutokana na kuwa na ushawishi au ushabiki mkubwa kwa baadhi ya washiriki, hii inachangia kwa kiasi fulani kutotenda haki kwa baadhi ya washiriki wengine., Mfano. kuna mshiriki mmoja yeye anapewa`positive credit` na ma-jurge kila anapofanya onyesho lake hata kama anakuwa `OUT OF THE GAME` siku hiyo, lakini mshiriki mwingine akifanya vizuri siku hiyo utasikia baadhi ya jaji akisema...," MIMI SIKU ZOTE SIKO KWENYE NDEGE YAKO" Wat kind of jurgement is that??. This is a shiiiit..,the whole idea is a shit!! better dust it off and try again.Kipindi kina tu-bore ki-ukweli.Nawakilisha wakuu.
 
Mimi hua mara chache naangaliaga BSS, ni kweli kwamba Kelvin anachemkaga sana lakini jamaa inaonekana kingereza kinawazingua sana na wanaishia kusema we Mkali sana. Kwa jana Msechu na Yule dada ni kwamba Msechu alichangamka sana kumshinda yule dada. Na katika kushirikiana haina maana kwamba wote mtaperform sawa ni lazima kuna mmoja atakua juu ya mwingine.

Licha ya kwamba BSS inachemka, lakini katika uchemshaji pia kuna mshindi atapatikana. Huyu Peter Msechu kwa kusema kweli anajitahidi ukilinganisha na wengine na pia kama mliona kura za watazamaji zinaonesha anaongoza kwa kura nyingi.

Maisha baada ya BSS ni ubongo u-TZ ndio unaotuathiri, baadhi ya watu hawapendi kujishughulisha wanataka wafanyiwe kazi
 
BSS hakuna jipya na ndiyo maana hata mshindi wa mwaka jana alipewa kwa upendeleo na mpaka sasa uwezo wake unawasuta. Tusker wapo juu, wanapewa training ya kutosha, majaji wanaujua music vizuri.
 
Kusema la haki jana majaji walichemka sana tu... binafsi huwa naangalia mara mojamoja ila jana vijana walijitahidi sana na baadhi yao kweli walichemka kidogo sio kiiiivyoo...
 
Katika majaji wa BSS yupi ngeli inapanda kushindwa wote!! Tukianzia kwa Master J sijawahi kumsikia akimwaga ngeli kabisa, P-funky naye hivyo hivyo Salama hata kama katoka juzi USA or UK sina uhakika labda cha kuombea maji Madam Rita ngeli yake namashaka nayo labda kifaransa kwasagbabu ndio lugha yao kubwa kwa wabanyamulenge
 
Kama wanasoma ama wapo humu jamvini kipindi kijacho wapige ngeli kipindi kizioma tuwasikie na wao!!!
 
Wewe..

Wewe ndiye unayedandia treni kwa mbele..Hivi unaweza kusummarize ulichoelewa so far?


Yeah, hapa unajieleza vizuri jinsi ulivyo.

'' If u argue with the fool people might not notice the difference'' let me kp my mandible shut...... to show the difference.
 
Katika majaji wa BSS yupi ngeli inapanda kushindwa wote!! Tukianzia kwa Master J sijawahi kumsikia akimwaga ngeli kabisa, P-funky naye hivyo hivyo Salama hata kama katoka juzi USA or UK sina uhakika labda cha kuombea maji Madam Rita ngeli yake namashaka nayo labda kifaransa kwasagbabu ndio lugha yao kubwa kwa wabanyamulenge

Mimi nafikiri issue ni ni uelewa wa shughuli ya ujaji yenyewe. Bado BSS ingeweza kuwa na Jaji ambaye hafahamu lugha nyingine zaidi ya kiswahili na bado akawa bora mara mia kuliko hata hao tunaowaona sasa hivi.

Hivi kwa kuwa mdhamini wa BSS ni lazima Ritha awa jaji? Si ingekuwa vizuri kama yeye angekaa pembeni na kuwaachia wenye utaalamu huo? Ukiangalia assessment yake kwa wasanii haiko based kwenye utalaamu bali hisia zaidi. Na hili naliona kwa Salama pia, yeye ni mtangazaji mzuri, sina ubishi na hilo lakini kazi ya ujaji haiwezi. Si bora wamrudishe mzee Kitime.
 
'' If u argue with the fool people might not notice the difference'' let me kp my mandible shut...... to show the difference.

A fool ni wewe unayedandia treni kwa mbele. Na ndio maana unashindwa hata kueleza ulichoelewa kuonesha ulivyo mtupu!

Stiff naked-fool..
 
Back
Top Bottom