Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,472
JAMANI, MAJAJI watajwe kwenye katiba mpya kwamba wachaguliwe, ili kuwa na independence of judicially nzuri na pia kuwe na discouragement ya rushwa kuliko ilivyo sasa. pia tutapata majaji wenye uelewa mzuri na sifa za kutosha, sio hakimu fulani tu anateuliwa, chukua mfano yule mama Lema pale kisutu ateuliwe kuwa Jaji na anavyokula rushwa, what do you expect?
tunataka majaji wachaguliwe kama ilivyo Kenya na marekani. hapo ndio wataacha nyodo zote za rushwa, na pia hawatakuwa na deni lolote kwa serikali, yaani hawatafanya kazi kwa kuiogopa serikali au hawatakuwa biased. kwasababu kwenye kuteuliwa na rais, kuna majaji wengine wamepandikizwa tu na serikali.
Tundu Lisu alichosema ni cha kweli, ukiangalia judgement za majaji wengine, utachefuka kwa kingereza, poor English kuliko hata form six leaver wa Katelero. ukienda kwa mahakimu, wana kimombo kibovu ajabu, sasa hao hao mahakimu ndio wakifanya kazi muda mrefu wanateuliwa kuwa majaji, what do you expect? tunataka wachaguliwe na bunge, waitwe pale mbele ya bunge wajieleze na kuulizwa maswali, wapimwe uelewa wao na wapigiwe kura. kama kuna mwanasheria yeyote ambaye amekutana na kuwafahamu majaji atakubaliana na mimi jambo hili. ndugu zangu ili kuwa na upatikanaji wa haki hapa tz, lazima tupiganie hilo lipite kwenye katiba mpya.
tunataka majaji wachaguliwe kama ilivyo Kenya na marekani. hapo ndio wataacha nyodo zote za rushwa, na pia hawatakuwa na deni lolote kwa serikali, yaani hawatafanya kazi kwa kuiogopa serikali au hawatakuwa biased. kwasababu kwenye kuteuliwa na rais, kuna majaji wengine wamepandikizwa tu na serikali.
Tundu Lisu alichosema ni cha kweli, ukiangalia judgement za majaji wengine, utachefuka kwa kingereza, poor English kuliko hata form six leaver wa Katelero. ukienda kwa mahakimu, wana kimombo kibovu ajabu, sasa hao hao mahakimu ndio wakifanya kazi muda mrefu wanateuliwa kuwa majaji, what do you expect? tunataka wachaguliwe na bunge, waitwe pale mbele ya bunge wajieleze na kuulizwa maswali, wapimwe uelewa wao na wapigiwe kura. kama kuna mwanasheria yeyote ambaye amekutana na kuwafahamu majaji atakubaliana na mimi jambo hili. ndugu zangu ili kuwa na upatikanaji wa haki hapa tz, lazima tupiganie hilo lipite kwenye katiba mpya.