Majaji wapendekeza Mahakama ya kadhi kufutwa Kenya

Majaji wapendekeza Mahakama ya kadhi kufutwa Kenya

nguvumali

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2009
Posts
4,924
Reaction score
1,334
HABARI zilizopatikana hivi punde kutoka Kenya, zinasema kuwa Mahakama Kuu imeamuru kuondolewa kwa sheria iliyoanzisha Mahakama ya Kadhi Nchini Kenya kwa sababu inakiuka misingi ya kuishi kwa utengamano ndani ya nchi hiyo na haki ya kuabudu ya wengine, kama wanataka mambo hayo ya kadhi ni vyema wakajianzishia wenyewe vimahakama vyao badala ya kutaka katiba ama sheria ya nchi itambuE uwepo wake.
Habari hiyo iliyosomwa na Dina Gahamanyi wa BBC haijafafanua zaidi...ila mambo ya Kadhi nchini Kenya ni marufuku.
 
absolute!, sijui kwanini ukweli huu unakuwa mgumu kwa baadhi ya watu.
 
mmh what a pity and ppl here were using Kenya as succession of reference to call for mandatory on this KADHI thing...haya sasa...now wat




++++++++++++++++++++++++++
KIUMBE CHENYE UHAI NA MAUTI HUONGOZWA NA TAMAAA
 
KUNDI LA MAJAJI WA TATU LIMESEMA KUWA PESA ZA UMMA,(ZA WALIPA KODI) HAZIPASWI KUHUDUMIA MASWALA YA DINI.
Tunapoelekea kwenye mahakama ya kadhi kuna jambo la kujifunza kutoka kwa hawa wenzetu walio jaribu hii kitu ?
 
Bora wamefunguka macho'...
Nafikiri kwa mara ya kwanza kama taifa tutapata taa ya kijani kuwa hii kitu mahakama ya kadhi haitekelezeki kivitendo na niunyonyaji wa jasho la walalahoi, na masikini wasio abudu kwenye dini hiyo, yaani kweli maswala yao ya ibada ya hudumiwe na pesa za kodi yetu sote, kweli sielewi.
 
VE--RY INT--EREST---ING!Taunze kudai mambo ya msingi sasa...kama "shule" badala ya "vyumba vya madarasa"...
 
xpaster and maxshimba the ground is open for you.....! MAKE SURE THE PUNCHES ARE REAL AND LAND TO YOUR OPPONENT ...FAILURE TO DO THAT YOU WILL BE KnOCKED OUT......! HERE WE GO ROUND NUMBER ONE.......3 SECONDS XPASTER DOWN.....THE REFEREE IS COUNTING......THE BELL HAS RUNG......AND THE NEW CHAMPION ISSSSSSSS.............MAX........SHIMBAA......!
LADIES AND GENTLEMEN......IT IS AN ABSOLUTELY K.O WITHOUT A DOT OF COMPLAINING......! e.t.c....e.t.c....e.t.c...
 
Tusubiri reaction ya akina Mrema wa TLP and others ambao siku zote references zao huwa Kenya and South Africa. Logic zao huwa zimekaa kitenge-tenge; what if every sect of religion would ask for their court to be recognized in the constition? Watu hupenda kutanguliza personal interest hata katika masuala ambayo akili ya kawaida inawasuta kuwa ni za hatari kwa mustaksbali wa Taifa.
 
Hongereni sana Wakenya, haya mambo ya Kadhi yafanyikie misikitini, yalipiwe na yanayowahusu, maana ni sehemu ya Ibada kwa mungu wao aitwaye allah!
 
hili ni jambo jema sana walilolifanya hawa wakenya, maana ni ngumu sana
taasisi ya kidini kuendeshwa kwa fedha za serikali ambayo chanzo chake kikuu
ni kodi za wananchi mbali mbali, wapagani, waabudu moto, waabudu ng'ombe
n.k sasa kila taasisi ijitegemee, mahama ya kadhi ni haki ya wahusika ambao
ni waislamu, lakini waianzishe wao misikitini kwa faida yao wenyewe,
 
Hongereni sana Wakenya, haya mambo ya Kadhi yafanyikie misikitini, yalipiwe na yanayowahusu, maana ni sehemu ya Ibada kwa mungu wao aitwaye allah!

hilo mimi ndio naona la msingi, maana wazee wa misikitini daima wamekua wakidai Kitimoto ni dhambi sasa leo kwanini wang'ang'anie pesa za kodi zitokanazo na bar, kodi za kitimoto na kila aina wa yale wanayoyapinga....kadhi haitekelezeki kwenye nnchi zenye dini mchanganyiko kama kwetu.
 
mi nilikuwa sielewi vizuri KUMBE WANATAKA KADHI ALIPWE NA SERIKAL........? Lakin wakiandamana watapatiwa.......!
 
Waislamu watu wa ajabu sana, Wakenya wangerogwa kuweka mambo ya Kadhi kwenye Katiba moto ungewaka zaidi ya ule wa Nigeria ambayo ilikuwa nchi ya amani na utulivu uliokuja kuharibiwa na Jinamizi liitwalo "Sharia!" Jinamizi hilo limeendelea kuitafuna Nigeria, imekuwa "Iraq ya Afrika!" JK wetu ameanza kupenyeza Sharia kwa mlango wa nyuma kupitia Benki ili ionekane ni kitu cha kawaida. He is fooling unsuspecting majority! Let's wake up, apingwe kama Mwinyi aliyepingwa kuhusu kuisilimisha nchi kupitia OIC!
 
Hongereni sana Wakenya, haya mambo ya Kadhi yafanyikie misikitini, yalipiwe na yanayowahusu, maana ni sehemu ya Ibada kwa mungu wao aitwaye allah!
Mbona torah ya kiarabu inatumia neno Allah katika sehemu ya MwenyeziMungu katika Torah ya Kiswahili?:
"Jehovah Himself studies the Talmud standing, he has such respect for that book."-Tract Mechilla.
 
Mbona torah ya kiarabu inatumia neno Allah katika sehemu ya MwenyeziMungu katika Torah ya Kiswahili?:
"Jehovah Himself studies the Talmud standing, he has such respect for that book."-Tract Mechilla.

ndio naanza kusikia leo, torah ya kiarabu? tora ya kikristo? ndio nini?hahaha, hakuna torah zingine zozote zile, torah ipo ya kiyahudi peke yake, ndo wanaoitumia katika judaism yao. kwani waarabu wanasali dini ya kiyahudi?...torah ni kitabu cha wayahudi, hivyo translation zingine zote hizo si halisi na usiziamini sana hasa izo za kiarabu kwasababu ziko biased against JEWS. nimefurahi kusikia ivyo, na hapa tz pia, nafikiri icho kitu ndo kitafutika moja kwa moja.
 
Waislamu watu wa ajabu sana, Wakenya wangerogwa kuweka mambo ya Kadhi kwenye Katiba moto ungewaka zaidi ya ule wa Nigeria ambayo ilikuwa nchi ya amani na utulivu uliokuja kuharibiwa na Jinamizi liitwalo "Sharia!" Jinamizi hilo limeendelea kuitafuna Nigeria, imekuwa "Iraq ya Afrika!" JK wetu ameanza kupenyeza Sharia kwa mlango wa nyuma kupitia Benki ili ionekane ni kitu cha kawaida. He is fooling unsuspecting majority! Let's wake up, apingwe kama Mwinyi aliyepingwa kuhusu kuisilimisha nchi kupitia OIC!

kama Jk anafanya hivyo, itabidi basi awe makini kwasababu historia itamhukumu. islamic banking haina lolote zaidi ya kuendelea kugawanya watz waliokuwa wanakaa kwa amani na upendo, tunakoelekea hakueleweki kama huku kukaa kwa kushirikiana na kupendana watu wa dini zote kutaendelea au vipi, kwasababu kama kweli viongozi wetu hawachukulii maanani mambo tete wanataka kutupeleka wapi sasa?
 
Japo binafsi sikubaliani na KADHI lakini wanasiasa wetu ni waajabu sana, hasa hao wa kenya. Wanafanya sheria kwa masilahi yao na si kwa masilahi ya Taifa.

Hiyo kadhi waliipitisha ktk katiba mpya wanayotaka kuipitisha, sasa ili kupata majority wakaendeleza hiyo kitu ya kadhi ili kupata katiba yao na si ya taifa ipate kupita. Sasa wakristu wakaanzisha kampeni ya REFA na KIPYENGA pamoja na KADI NYEKUNDU kwa katiba. Sasa wameona kadi nyekundu ya wakristu ni noma na ukichanganya na wakalenjing wa RUTO, sasa wameamua bora wakose kura za mombasa.Teh tehteh teh wanasiasa wetu tabu sana.
 
Mbona torah ya kiarabu inatumia neno Allah katika sehemu ya MwenyeziMungu katika Torah ya Kiswahili?:
"Jehovah Himself studies the Talmud standing, he has such respect for that book."-Tract Mechilla.

Sideeq acha kuwa kipofu kwa makusudi! Kumekuwa na juhudi kubwa mno toka kwa Waislamu ya kuisilimisha Biblia bila mafanikio!
 
Back
Top Bottom