Nafikiri kwa mara ya kwanza kama taifa tutapata taa ya kijani kuwa hii kitu mahakama ya kadhi haitekelezeki kivitendo na niunyonyaji wa jasho la walalahoi, na masikini wasio abudu kwenye dini hiyo, yaani kweli maswala yao ya ibada ya hudumiwe na pesa za kodi yetu sote, kweli sielewi.Bora wamefunguka macho'...
Hongereni sana Wakenya, haya mambo ya Kadhi yafanyikie misikitini, yalipiwe na yanayowahusu, maana ni sehemu ya Ibada kwa mungu wao aitwaye allah!
Mbona torah ya kiarabu inatumia neno Allah katika sehemu ya MwenyeziMungu katika Torah ya Kiswahili?:Hongereni sana Wakenya, haya mambo ya Kadhi yafanyikie misikitini, yalipiwe na yanayowahusu, maana ni sehemu ya Ibada kwa mungu wao aitwaye allah!
Mbona torah ya kiarabu inatumia neno Allah katika sehemu ya MwenyeziMungu katika Torah ya Kiswahili?:
"Jehovah Himself studies the Talmud standing, he has such respect for that book."-Tract Mechilla.
Waislamu watu wa ajabu sana, Wakenya wangerogwa kuweka mambo ya Kadhi kwenye Katiba moto ungewaka zaidi ya ule wa Nigeria ambayo ilikuwa nchi ya amani na utulivu uliokuja kuharibiwa na Jinamizi liitwalo "Sharia!" Jinamizi hilo limeendelea kuitafuna Nigeria, imekuwa "Iraq ya Afrika!" JK wetu ameanza kupenyeza Sharia kwa mlango wa nyuma kupitia Benki ili ionekane ni kitu cha kawaida. He is fooling unsuspecting majority! Let's wake up, apingwe kama Mwinyi aliyepingwa kuhusu kuisilimisha nchi kupitia OIC!
Mbona torah ya kiarabu inatumia neno Allah katika sehemu ya MwenyeziMungu katika Torah ya Kiswahili?:
"Jehovah Himself studies the Talmud standing, he has such respect for that book."-Tract Mechilla.