Majaliwa amewaacha wafanyabiashara Kariakoo na matatizo yao bora angeenda Rais Samia Suluhu

Majaliwa amewaacha wafanyabiashara Kariakoo na matatizo yao bora angeenda Rais Samia Suluhu

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
Nimefuatilia kikao cha waziri mkuu leo na wafanyabishara kuhusu mgogoro wa kariakoo nimesikitika sana.

Licha ya kwenda na Mawaziri na Timu ya wataalamu wa Wizara mbalimbali ameshindwa kutatua matatizo ya wafanyabiashara wa Kariakoo.

Amepata fursa ya kuwasikiliza wafanyabiashara siku nzima ya leo halafu anaishia kuunda tume ambayo hata haifahamiki inaenda kufanya kazi gani kama matatizo yote ya wafanyabiashara yameelezwa hiyo tume inaenda kufanya kazi gani.

Tume imeundwa bila hadidu za rejea bila ukomo wa kuhitimisha kazi yake na mbaya zaidi hata mambo ambayo yalihitaji kufanyiwa maamuzi hata wale wafanyabishara waliokamatiwa mizigo yao inaachiwa tume hiyo ambayo haina mamlaka kisheria.

Matatizo mengi yaliyosemwa na wafanyabiashara yamesababishwa na mawaziri wa fedha na viwanda na biasharana TRA lakini waziri mkuu ameshindwa kutoa tamko lolote dhidi ya viongozi hao na kukimbilia kuunda tume kama njia ya kupoteza hoja za wafanyabiashara hao.

Unawaingiza wafanyabiashara kwenye tume ambao wanayo majukumu yao ya kibiasharana kifamilia bila hata ridhaa yao kwa muda usiojulika na hizo shughuli zao zinabaki kusimamiwa na nani?

Wafanyabiashara wamekueleza waziri mkuu kuwa matatizo yao wamekuwa wakiyaeleza kwenye vikao mbalimbali vya Task Force ya kikodi na vya wizara ya fedha bila mafanikio leo hayo mapendekezo ya tume uliyounda yanapelekwa wapi ya katekelezwe na nani.

Hii inathibitisha kwamba nchi yetu haina Waziri Mkuu Mama Samia yuko peke yake ni aheri angeenda yeye mwenyewe kutatua matatizo ya wananchi wake badala ya waziri mkuu ambaye ameenda kupiga porojo na kuyaacha matatizo kama alivyoyakuta.

Bado tunakumbuka matume mbalimbali ambayo waziri mkuu amekuwa akiyaunda na hayana matokeo na hayana mrejesho wowote hadi leo na amesahau kwamba alishawahi kuunda tume ya kuungua soko la kariakoo ambayo hadi leo hajapeleka majibu ya tume kwa wafanyabiashara wa kariakoo.
 
Punguza uzushi..
Waligoma Kwa sababu ya Kodi ya stoo..
Kodi imesimamishwa na tume imeundwa yenye wafanyabiashara wenyewe kujadili matatizo yote..
Punguza uzushi haukusaidii
Uko sahihi ni uhuru wako Boss kuamini unachoamini.. hii ni nchi yetu
 
Bora hata huyo Majaliwa, Sa100 angeishia kusema tu stupid, watupishe...imeisha hiyo!.
 
Nimefuatilia kikao cha waziri mkuu leo na wafanyabishara kuhusu mgogoro wa kariakoo nimesikitika sana.

Licha ya kwenda na Mawaziri na Timu ya wataalamu wa Wizara mbalimbali ameshindwa kutatua matatizo ya wafanyabiashara wa Kariakoo.

Amepata fursa ya kuwasikiliza wafanyabiashara siku nzima ya leo halafu anaishia kuunda tume ambayo hata haifahamiki inaenda kufanya kazi gani kama matatizo yote ya wafanyabiashara yameelezwa hiyo tume inaenda kufanya kazi gani.

Tume imeundwa bila hadidu za rejea bila ukomo wa kuhitimisha kazi yake na mbaya zaidi hata mambo ambayo yalihitaji kufanyiwa maamuzi hata wale wafanyabishara waliokamatiwa mizigo yao inaachiwa tume hiyo ambayo haina mamlaka kisheria.

Matatizo mengi yaliyosemwa na wafanyabiashara yamesababishwa na mawaziri wa fedha na viwanda na biasharana TRA lakini waziri mkuu ameshindwa kutoa tamko lolote dhidi ya viongozi hao na kukimbilia kuunda tume kama njia ya kupoteza hoja za wafanyabiashara hao.

Unawaingiza wafanyabiashara kwenye tume ambao wanayo majukumu yao ya kibiasharana kifamilia bila hata ridhaa yao kwa muda usiojulika na hizo shughuli zao zinabaki kusimamiwa na nani?

Wafanyabiashara wamekueleza waziri mkuu kuwa matatizo yao wamekuwa wakiyaeleza kwenye vikao mbalimbali vya Task Force ya kikodi na vya wizara ya fedha bila mafanikio leo hayo mapendekezo ya tume uliyounda yanapelekwa wapi ya katekelezwe na nani.

Hii inathibitisha kwamba nchi yetu haina Waziri Mkuu Mama Samia yuko peke yake ni aheri angeenda yeye mwenyewe kutatua matatizo ya wananchi wake badala ya waziri mkuu ambaye ameenda kupiga porojo na kuyaacha matatizo kama alivyoyakuta.

Bado tunakumbuka matume mbalimbali ambayo waziri mkuu amekuwa akiyaunda na hayana matokeo na hayana mrejesho wowote hadi leo na amesahau kwamba alishawahi kuunda tume ya kuungua soko la kariakoo ambayo hadi leo hajapeleka majibu ya tume kwa wafanyabiashara wa kariakoo.
Tusiwe na haraka ya kupitisha hukumu dhidi ya yeyote yule, tusubiri hadi Tume imalize kazi zake. Subira yavuta kheri
 
Nimefuatilia kikao cha waziri mkuu leo na wafanyabishara kuhusu mgogoro wa kariakoo nimesikitika sana.

Licha ya kwenda na Mawaziri na Timu ya wataalamu wa Wizara mbalimbali ameshindwa kutatua matatizo ya wafanyabiashara wa Kariakoo.

Amepata fursa ya kuwasikiliza wafanyabiashara siku nzima ya leo halafu anaishia kuunda tume ambayo hata haifahamiki inaenda kufanya kazi gani kama matatizo yote ya wafanyabiashara yameelezwa hiyo tume inaenda kufanya kazi gani.

Tume imeundwa bila hadidu za rejea bila ukomo wa kuhitimisha kazi yake na mbaya zaidi hata mambo ambayo yalihitaji kufanyiwa maamuzi hata wale wafanyabishara waliokamatiwa mizigo yao inaachiwa tume hiyo ambayo haina mamlaka kisheria.

Matatizo mengi yaliyosemwa na wafanyabiashara yamesababishwa na mawaziri wa fedha na viwanda na biasharana TRA lakini waziri mkuu ameshindwa kutoa tamko lolote dhidi ya viongozi hao na kukimbilia kuunda tume kama njia ya kupoteza hoja za wafanyabiashara hao.

Unawaingiza wafanyabiashara kwenye tume ambao wanayo majukumu yao ya kibiasharana kifamilia bila hata ridhaa yao kwa muda usiojulika na hizo shughuli zao zinabaki kusimamiwa na nani?

Wafanyabiashara wamekueleza waziri mkuu kuwa matatizo yao wamekuwa wakiyaeleza kwenye vikao mbalimbali vya Task Force ya kikodi na vya wizara ya fedha bila mafanikio leo hayo mapendekezo ya tume uliyounda yanapelekwa wapi ya katekelezwe na nani.

Hii inathibitisha kwamba nchi yetu haina Waziri Mkuu Mama Samia yuko peke yake ni aheri angeenda yeye mwenyewe kutatua matatizo ya wananchi wake badala ya waziri mkuu ambaye ameenda kupiga porojo na kuyaacha matatizo kama alivyoyakuta.

Bado tunakumbuka matume mbalimbali ambayo waziri mkuu amekuwa akiyaunda na hayana matokeo na hayana mrejesho wowote hadi leo na amesahau kwamba alishawahi kuunda tume ya kuungua soko la kariakoo ambayo hadi leo hajapeleka majibu ya tume kwa wafanyabiashara wa kariakoo.
Unadhani katelephone Hana akili? Aliyeyatengeneza matatizo anajulikana, unataka katelephone ayatatue alafu 2025 jina lake likatwe.
 
Nimefuatilia kikao cha waziri mkuu leo na wafanyabishara kuhusu mgogoro wa kariakoo nimesikitika sana.

Licha ya kwenda na Mawaziri na Timu ya wataalamu wa Wizara mbalimbali ameshindwa kutatua matatizo ya wafanyabiashara wa Kariakoo.

Amepata fursa ya kuwasikiliza wafanyabiashara siku nzima ya leo halafu anaishia kuunda tume ambayo hata haifahamiki inaenda kufanya kazi gani kama matatizo yote ya wafanyabiashara yameelezwa hiyo tume inaenda kufanya kazi gani.

Tume imeundwa bila hadidu za rejea bila ukomo wa kuhitimisha kazi yake na mbaya zaidi hata mambo ambayo yalihitaji kufanyiwa maamuzi hata wale wafanyabishara waliokamatiwa mizigo yao inaachiwa tume hiyo ambayo haina mamlaka kisheria.

Matatizo mengi yaliyosemwa na wafanyabiashara yamesababishwa na mawaziri wa fedha na viwanda na biasharana TRA lakini waziri mkuu ameshindwa kutoa tamko lolote dhidi ya viongozi hao na kukimbilia kuunda tume kama njia ya kupoteza hoja za wafanyabiashara hao.

Unawaingiza wafanyabiashara kwenye tume ambao wanayo majukumu yao ya kibiasharana kifamilia bila hata ridhaa yao kwa muda usiojulika na hizo shughuli zao zinabaki kusimamiwa na nani?

Wafanyabiashara wamekueleza waziri mkuu kuwa matatizo yao wamekuwa wakiyaeleza kwenye vikao mbalimbali vya Task Force ya kikodi na vya wizara ya fedha bila mafanikio leo hayo mapendekezo ya tume uliyounda yanapelekwa wapi ya katekelezwe na nani.

Hii inathibitisha kwamba nchi yetu haina Waziri Mkuu Mama Samia yuko peke yake ni aheri angeenda yeye mwenyewe kutatua matatizo ya wananchi wake badala ya waziri mkuu ambaye ameenda kupiga porojo na kuyaacha matatizo kama alivyoyakuta.

Bado tunakumbuka matume mbalimbali ambayo waziri mkuu amekuwa akiyaunda na hayana matokeo na hayana mrejesho wowote hadi leo na amesahau kwamba alishawahi kuunda tume ya kuungua soko la kariakoo ambayo hadi leo hajapeleka majibu ya tume kwa wafanyabiashara wa kariakoo.
Kunaweza kukawa na kitu kingine kimejificha nyuma ya hili jambo; hata hivyo nampongeza sana Waziri Mkuu kwa jitihada zake za kujaribu kuutatua mgogoro huu
 
Punguza uzushi..
Waligoma Kwa sababu ya Kodi ya stoo..
Kodi imesimamishwa na tume imeundwa yenye wafanyabiashara wenyewe kujadili matatizo yote..
Punguza uzushi haukusaidii
Sheria hiyo inatakiwa ifutwe.

Kusimamishwa utekelezaji SHERIA ni hadaa ya muda mfupi.

Tuungane pamoja kuidai Katiba mpya.

Amen
 
Mother ndiyo asingeweza kabisa hata kuwatuliza wafanyabiashara.Maana angeishia kusema tu waziri ukalitazame hili basi.Hata hivyo,wamekubaliana wiki mbili zikipita bila ufumbuzi maduka yanafungwa tena.Mother mwoga sana,kwenye kazi ngumu anatuma wawakilishi lakini kwenye kazi rahis anahudhuria yeye
 
Nimefuatilia kikao cha waziri mkuu leo na wafanyabishara kuhusu mgogoro wa kariakoo nimesikitika sana.

Licha ya kwenda na Mawaziri na Timu ya wataalamu wa Wizara mbalimbali ameshindwa kutatua matatizo ya wafanyabiashara wa Kariakoo.

Amepata fursa ya kuwasikiliza wafanyabiashara siku nzima ya leo halafu anaishia kuunda tume ambayo hata haifahamiki inaenda kufanya kazi gani kama matatizo yote ya wafanyabiashara yameelezwa hiyo tume inaenda kufanya kazi gani.

Tume imeundwa bila hadidu za rejea bila ukomo wa kuhitimisha kazi yake na mbaya zaidi hata mambo ambayo yalihitaji kufanyiwa maamuzi hata wale wafanyabishara waliokamatiwa mizigo yao inaachiwa tume hiyo ambayo haina mamlaka kisheria.

Matatizo mengi yaliyosemwa na wafanyabiashara yamesababishwa na mawaziri wa fedha na viwanda na biasharana TRA lakini waziri mkuu ameshindwa kutoa tamko lolote dhidi ya viongozi hao na kukimbilia kuunda tume kama njia ya kupoteza hoja za wafanyabiashara hao.

Unawaingiza wafanyabiashara kwenye tume ambao wanayo majukumu yao ya kibiasharana kifamilia bila hata ridhaa yao kwa muda usiojulika na hizo shughuli zao zinabaki kusimamiwa na nani?

Wafanyabiashara wamekueleza waziri mkuu kuwa matatizo yao wamekuwa wakiyaeleza kwenye vikao mbalimbali vya Task Force ya kikodi na vya wizara ya fedha bila mafanikio leo hayo mapendekezo ya tume uliyounda yanapelekwa wapi ya katekelezwe na nani.

Hii inathibitisha kwamba nchi yetu haina Waziri Mkuu Mama Samia yuko peke yake ni aheri angeenda yeye mwenyewe kutatua matatizo ya wananchi wake badala ya waziri mkuu ambaye ameenda kupiga porojo na kuyaacha matatizo kama alivyoyakuta.

Bado tunakumbuka matume mbalimbali ambayo waziri mkuu amekuwa akiyaunda na hayana matokeo na hayana mrejesho wowote hadi leo na amesahau kwamba alishawahi kuunda tume ya kuungua soko la kariakoo ambayo hadi leo hajapeleka majibu ya tume kwa wafanyabiashara wa kariakoo.
Delaying tactics used. Justice delayed is justice denied. Correct?
 
Nimefuatilia kikao cha waziri mkuu leo na wafanyabishara kuhusu mgogoro wa kariakoo nimesikitika sana.

Licha ya kwenda na Mawaziri na Timu ya wataalamu wa Wizara mbalimbali ameshindwa kutatua matatizo ya wafanyabiashara wa Kariakoo.

Amepata fursa ya kuwasikiliza wafanyabiashara siku nzima ya leo halafu anaishia kuunda tume ambayo hata haifahamiki inaenda kufanya kazi gani kama matatizo yote ya wafanyabiashara yameelezwa hiyo tume inaenda kufanya kazi gani.

Tume imeundwa bila hadidu za rejea bila ukomo wa kuhitimisha kazi yake na mbaya zaidi hata mambo ambayo yalihitaji kufanyiwa maamuzi hata wale wafanyabishara waliokamatiwa mizigo yao inaachiwa tume hiyo ambayo haina mamlaka kisheria.

Matatizo mengi yaliyosemwa na wafanyabiashara yamesababishwa na mawaziri wa fedha na viwanda na biasharana TRA lakini waziri mkuu ameshindwa kutoa tamko lolote dhidi ya viongozi hao na kukimbilia kuunda tume kama njia ya kupoteza hoja za wafanyabiashara hao.

Unawaingiza wafanyabiashara kwenye tume ambao wanayo majukumu yao ya kibiasharana kifamilia bila hata ridhaa yao kwa muda usiojulika na hizo shughuli zao zinabaki kusimamiwa na nani?

Wafanyabiashara wamekueleza waziri mkuu kuwa matatizo yao wamekuwa wakiyaeleza kwenye vikao mbalimbali vya Task Force ya kikodi na vya wizara ya fedha bila mafanikio leo hayo mapendekezo ya tume uliyounda yanapelekwa wapi ya katekelezwe na nani.

Hii inathibitisha kwamba nchi yetu haina Waziri Mkuu Mama Samia yuko peke yake ni aheri angeenda yeye mwenyewe kutatua matatizo ya wananchi wake badala ya waziri mkuu ambaye ameenda kupiga porojo na kuyaacha matatizo kama alivyoyakuta.

Bado tunakumbuka matume mbalimbali ambayo waziri mkuu amekuwa akiyaunda na hayana matokeo na hayana mrejesho wowote hadi leo na amesahau kwamba alishawahi kuunda tume ya kuungua soko la kariakoo ambayo hadi leo hajapeleka majibu ya tume kwa wafanyabiashara wa kariakoo.
Umelalamika kama ilivyo desturi ya watanzania wengi hujaongea la maana lolote.

Waziri Mkuu alipewa majina ya wale wajumbe saba kutoka kwa wafanyabiashara wenyewe, kila kitu kilionekana live kwenye TBC.

Kama walikuwa hawataki kuwa sehemu ya tume kwanini hawakukataa pale pale jukwaani?. Tuachane na haya majungu hayatusaidii.
 
Mother ndiyo asingeweza kabisa hata kuwatuliza wafanyabiashara.Maana angeishia kusema tu waziri ukalitazame hili basi.Hata hivyo,wamekubaliana wiki mbili zikipita bila ufumbuzi maduka yanafungwa tena.Mother mwoga sana,kwenye kazi ngumu anatuma wawakilishi lakini kwenye kazi rahis anahudhuria yeye
Sio suala la uoga ni diplomasia na madaraka ya kikazi namna yanavyotakiwa yaendeshwe. JPM alipenda kuchukua kila jukumu na kulitimiza kwa vitendo lakini haikuwa na maana ndio utaratibu wa kisheria unavyotakiwa uwe.

SSH anayo haki ya kuwaamini wasaidizi wake, labda kama huelewi ukubwa wa madaraka ya rais ipo vipi.
 
Mother ndiyo asingeweza kabisa hata kuwatuliza wafanyabiashara.Maana angeishia kusema tu waziri ukalitazame hili basi.Hata hivyo,wamekubaliana wiki mbili zikipita bila ufumbuzi maduka yanafungwa tena.Mother mwoga sana,kwenye kazi ngumu anatuma wawakilishi lakini kwenye kazi rahis anahudhuria yeye
Nimeshaasema kamwe samia hawezi kuumiza kichwa kutatua changamoto zetu .Raisi anaywweza kila penye matatizo suluhisho ni kubinafsisha tu .rais wa namna hii umeshaawahi kumuona wapi
 
Kiki on air. Hapa Kkoo mambo mazuri na task force imesimamishwa. Sema jingine
 
Back
Top Bottom