Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Majaliwa Naomba mtekeleze Hilo faster Muache alama ya kudumu,
Hii waliyoianza wamefika hata robo ya makusudi? Mwambie aache hadaa za kizamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majaliwa Naomba mtekeleze Hilo faster Muache alama ya kudumu,
Sawa, uwezo wa kukopa bila idhini yetu wananchi wanao, na vilio vya wananchi ni vilio vya samaki. CCM inayasema hayo ikijua fika ni uongo kwani hiyo ya kati kufika Morogoro inasuasua.Akizungumza Jana mjini Mtwara bwana majaliwa amedai kuwa "uchambuzi wa kimazingira umekamilika na punde tukiingia madarakani tutaanza ujenzi wa reli mpya toka bandari ya Mtwara hadi liganga na mchuchuma zaidi ya umbali wa 1000km"
Chanzo
China Radio international kiswahili (CRI kiswahili)
Mytake
Hii ndio serikali ya awam ya tano ni reli ,flyover, ndege tuu kama hutak kajitusu 28/10_2020
No terrorists in Tanzania and no part of it is under terrorismHakuzngumzia kuhusu ulinzi wa wana Mtwara dhidi ya magaidi kutoka msumbiji? Maana sijasikia statement yoyote kutoka kiongozi wa taifa ya hata pole au nimepitwa?
Na kama kuna mwananchi alinyanyua kidole kuulizia korosho na mpaka sasa bado anapumua, atakuwa na roho ya paka.Amezungumzia korosho?
Kuna thread hapa JF jukwaa la habari mchanganyiko ya Jana inadai sirro kathibitisha magaidi 300 walivamia kitisyaNo terrorists in Tanzania and no part of it is under terrorism
Mwisho wa Uongo ni 28/10/2020 kwenye Kisanduku
Serikali laini ndiyo hupambana magaidi kwa kauli na matamko. Serikali thabiti hufanya kwa vitendo kama ilivyokuwa MKIRU.Hakuzngumzia kuhusu ulinzi wa wana Mtwara dhidi ya magaidi kutoka msumbiji? Maana sijasikia statement yoyote kutoka kiongozi wa taifa ya hata pole au nimepitwa?
Makalasha ya Nyakagwe yatakuwa yamekukoroga28 October ndio utaelewa kwamba hupendwi Mzee wa MIGA
Walipeni pesa zao za korosho.Akizungumza Jana mjini Mtwara bwana majaliwa amedai kuwa "uchambuzi wa kimazingira umekamilika na punde tukiingia madarakani tutaanza ujenzi wa reli mpya toka bandari ya Mtwara hadi liganga na mchuchuma zaidi ya umbali wa 1000km"
Chanzo
China Radio international kiswahili (CRI kiswahili)
Mytake
Hii ndio serikali ya awam ya tano ni reli ,flyover, ndege tuu kama hutak kajitusu 28/10_2020
Mkuu Mimi sihusiki nimeleta tu hiki kituko cha habariWalipeni pesa zao za korosho.
Wao hawana haja na treni, buti la Zungu linawatosha, treni pelekeni chato
Waziri Mkuu wa viti maalumMajaliwa , ndiye Waziri Mkuu wa kwanza duniani kukataliwa kwao
Nimeipenda hiuWaziri Mkuu wa viti maalum
kama nimeona sijui anasema wamekamatwa baadhi yao?kuna uzi hapo habari mchanganyiko ,siro kaoengelea lakini ni utata mtupu
Ile ya Mtwara haikuwa Tanzania? au tushawauzia Mtwara wana msumbiji?No terrorists in Tanzania and no part of it is under terrorism
Kuna tetesi huwa anampiga Chabo Husna akiwa ChatoLabda maono ya kupiga chabo
tamko ni kuwafariji na kuwa assure watu ambao wapo kwenye risk ya mashumbilizi.Serikali laini ndiyo hupambana magaidi kwa kauli na matamko. Serikali thabiti hufanya kwa vitendo kama ilivyokuwa MKIRU.