Uchaguzi 2020 Majaliwa Kasimu: Tutaanza ujenzi wa SGR nyingine Mtwara

Sawa, uwezo wa kukopa bila idhini yetu wananchi wanao, na vilio vya wananchi ni vilio vya samaki. CCM inayasema hayo ikijua fika ni uongo kwani hiyo ya kati kufika Morogoro inasuasua.
 
No terrorists in Tanzania and no part of it is under terrorism
Kuna thread hapa JF jukwaa la habari mchanganyiko ya Jana inadai sirro kathibitisha magaidi 300 walivamia kitisya
 
Km Mia nne dar to Moro miaka 5 imekatka ziiiii, ghafla tunaahidiwa km zingine buku du!
 
Hakuzngumzia kuhusu ulinzi wa wana Mtwara dhidi ya magaidi kutoka msumbiji? Maana sijasikia statement yoyote kutoka kiongozi wa taifa ya hata pole au nimepitwa?
Serikali laini ndiyo hupambana magaidi kwa kauli na matamko. Serikali thabiti hufanya kwa vitendo kama ilivyokuwa MKIRU.
 
Walipeni pesa zao za korosho.

Wao hawana haja na treni, buti la Zungu linawatosha, treni pelekeni chato
 
Wewe khanithi umerudi tena?

Utakuwa mchawi wewe mwanaharamu
 
Serikali laini ndiyo hupambana magaidi kwa kauli na matamko. Serikali thabiti hufanya kwa vitendo kama ilivyokuwa MKIRU.
tamko ni kuwafariji na kuwa assure watu ambao wapo kwenye risk ya mashumbilizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…