TheGreatAssethi
Member
- Sep 22, 2020
- 85
- 28
Nyie mmefanya nini kwenye chama chenu na majimbo yenu mjomba hahah alivyoenda Ubelgiji alipanda mtumbwi ndio nakubali hata alivyokuja alipanda mashua nakubali.Niambie Tanzania imefika wapi miaka 59 baada ya uhuru?
Huoni kutokuongoza nchi vyama vingine labda ndiyo tatizo? unataka mfano wa nchi ambazo zimeongozwa na vyama tofauti zilipofikia sasa hivi? nikutajie?
Na kama unataka tum-quote baba wa taifa kuna quote nyingi sana zinazoonyesha ujinga anaoufanya jiwe, baba huyohuyo wa taifa alisema utii ukizidi unageuka uoga, nadhani unajua fika sasa hivi watu wanavyomuogopa jiwe. Baba huyohuyo wa taifa aliongelea sana maendeleo ya watu kuliko vitu, sasa hata maendeleo ya vitu hakuna mi nashangaa mnakaa kusema ndege ndiyo maendeleo, kiflyover kimoja na daraja moja hahaha, em acheni ujinga. Hakuna kitu CCM imefanya zaidi ya kuua watu tu na kuiba kura kila uchaguzi, shenzi sana
Hata sasa anatumia helkopta anashuka kwenye bahari sio kwenye uwanja wa ndege.
Endeleeni kujitekenya mjomba.
Na aliyekwambia anaogopwa nani labda wewe unamuogopa na wasiwasi nawe un tatizo kichwani au kiutendaji yaani huwezi muogopa polisi wakati huna kosa mjomba tulia dawa ikuingie