Uchaguzi 2020 Majaliwa: Mchagueni Dkt. Magufuli kwasababu ana uwezo wa kusimamia kazi ipasavyo, si mlalamishi

Nyie mmefanya nini kwenye chama chenu na majimbo yenu mjomba hahah alivyoenda Ubelgiji alipanda mtumbwi ndio nakubali hata alivyokuja alipanda mashua nakubali.
Hata sasa anatumia helkopta anashuka kwenye bahari sio kwenye uwanja wa ndege.
Endeleeni kujitekenya mjomba.
Na aliyekwambia anaogopwa nani labda wewe unamuogopa na wasiwasi nawe un tatizo kichwani au kiutendaji yaani huwezi muogopa polisi wakati huna kosa mjomba tulia dawa ikuingie
 
Sina chama mimi, naangalia mtu kama individual siangalii chama, mi si kilaza kama wewe, nina maisha mazuri, nimesoma, nina nyumba kali tu, sina shida. Hazijaletwa na ccm, nimekomaa kwa jasho langu mwenyewe.
Kama unabisha kua jiwe haogopwi we una matatizo ya akili, endelea kua delusional, jiwe limekushika balls linakutekenya unatetemeka akili zimeruka, ngoja nikuweke kwenye block list tu usiendelee kunipotezea muda, sina muda na vilaza mimi.

Huu ndiyo use***ge mliojazwa na jiwe, angalia hapa kilichomtokea. Mnashughulikia sehemu zenye wabunge wa ccm tu nyingine zinapewa low priority, shenzi wewe, shenzi jiwe, shenzi wote wanaoungana naye. Bunch of monkeys tu nyie hamna hadhi ya kuitwa binadamu

 
Vile ambavyo dawa imekuingia bata wangu sawa ukiniweka kwenye blacklist itapendeza zaidi maana utakuwa umeniogopa mjomba na itaonyesha akili yako ilivyo finyu kimawazo mjomba hahahah pole sana
 
Uwezo wa kusimamia nini, kusimamia ukucha labda!
 
Alishakuja kuiua familia yako au kukuteka wewe au unaongea tu??
Una ushahidi kuku wewe acha uzuz wako mjomba we kama serikali yake ingekuwa ya kuuwa leo ungekuwepo hapa nchini unakenua tu hapa jamii forum
Tudia kusoma ulichoandika, huenda utaweza kuyatambua mapungufu yako.

Hivi marehemu anaweza kushuhudia kifo chake? Kukemea uovu ni mpaka ukutokee wewe au ndugu yako wa damu?

Ben Saanane, Azory na yule aliyekuwa mwenyekiti wa Halmashauri ya Kigoma wako wapi?

Wale madiwani kupitia CHADEMA, yule aliyeuawa Dar na kule Morogoro, na wale ambao miili yao ilishuhudiwa na watu beach za Dar, hawatoshi kututhibitishia kuwa kuna mauaji?

Wale waliotekwa - Roma na wengineo wengi hawatoshi kuiamsha akili yako ukajua kuna tatizo kwenye Taifa letu?

Haishangazi, hata katika kila uovu huwa kuna wahusika na waungaji mkono wa uovu. Endelea kuunga mkono uovu lakini kuna siku utatambua umuhimu wa kusimama na watu wa haki kuliko wadhulumaji wa haki. Uhai na utu wa kila mtu una thamani sawa na thamani ya uhai na utu wako. Mungu akusaidie, siku moja ujawe na hekima, upate kuuchukia uovu kuzidi ninavyouchukia mimi, bila ya kujali uovu huo unatendwa na nani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vile ambavyo dawa imekuingia bata wangu sawa ukiniweka kwenye blacklist itapendeza zaidi maana utakuwa umeniogopa mjomba na itaonyesha akili yako ilivyo finyu kimawazo mjomba hahahah pole sana View attachment 1605108

Id zote mpya za ccm za septemba hazina jipya humu jukwaani zaidi ya utoto. Tulitegemea id mpya za ccm za mwezi septemba ziwe na jipya, kumbe ni upuuzi mtupu.
 
Hili gara bali vipi amchague yeye n mke wake
 
Ulitaka tumuite jina lako au laaah maana chama chenu hakina mbele wala nyuma hata mfumo wa uongozi haupo vyema kwahiyo unashangaa kusikia mjumbe kamati kuu inawezekana hata huelewi maana yake.
Baki na chama chako tuachie chama chetu mjomba
Hukunielewa mkuu, mwanzo alikuwa anafanya kampeni kwa kutumia cheo cha waziri mkuu wakati katiba hairuhusu, ndio ccm walivyojistukia sasa hawasemi tena waziri mkuu ingawa anaenda kwa sifa zilezile kuanzia ulinzi nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…