MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Samora stadium ni hatari sanaKatika viwanja vya mikoani vyenye nyasi asili ule wa iringa ni namba moja
Nani mmilliki wa uwanja huu, sio CCM?Ukiacha viwanja vikubwa vinavyojulikana kama Mkapa Stadium na Azam Complex, Kwakweli huu uwanja wa Majaliwa licha ya kuwa mkoani lakini una muonekano mzuri sana na standard hususan kwa vilabu vidogo vya mikoani zinazoshiriki ligi kuu.Ni aibu kwa baadhi ya timu tena kongwe kama JKT kutumia uwanja ambao unasikitisha na kudhoofisha sana ubora wa ligi yetu. Nadiriki kusema uwanja wa Majaliwa una pitch nzuri sana kuliko hata CCM Kirumba.
Hongera sana Namungo fc
View attachment 2978478View attachment 2978479View attachment 2978480