Uchaguzi 2020 Majaliwa: Uongozi wa nchi hauendi kwa upepo na ushabiki

Uchaguzi 2020 Majaliwa: Uongozi wa nchi hauendi kwa upepo na ushabiki

Kweli Hali ni mbaya Kwa upande wa CCM kama matamshi ya namna hii yameanza kutoka basi mwaka huu Maji yamewafika shingoni
 
Hata siku moja. Umaskini ni shida sana. Unaweza kuona mtu anavaa suti, viingereza vingi, kumbe shida yake nafasi ya kupata ubwabwa na kutupelekea bahari Dodoma

Ni kiongozi gani hataki ubwabwa? Nitajie mmoja tu.
 
Huyu kaengua Wapinzani jimboni kwake ili apite bila kupingwa! Ndo uongozi huo? Huo uongo akawaambie wajinga kwao kule.
 
He's my president
IMG_20200915_201610.jpeg
 
Homebody anatia haibu. Tulikosea kuwapa nchi vilaza mpaka wanajiona wao ndiyo wana akili na uwezo mkubwa wa kuongozi. Top 3 wote hao tunajua elimu zao ni za kuunga unga tu,hata maofisini huku bosi wenu akiwa elimu ya kuunga unga anakuwa mnoko sana. Inferiority complex.
 
Kwa hiyo yeye hajaribu? ? Sasa kwa nn agombee?
Hivi kweli usaili ungeitishwa kwa kuzingatia wasifu wa mtu, hivi kweli PM angaliweza kuaminika na kupewa nafasi hiyo! Uongozi hujaribiwa ili kuvumbua vipaji vipya, na hii ndiyo maana kubwa ya ubunifu.
 
Washapanic tayari uuuuwiiiiiiii
Tayari wakuuu

Spanner za Tundu Lissu zinawapagawisha. Hii imekuwa surprise kwao maana walitegemea mwendo wa kitonga tu sasa wamekutana na kitonga ya kupandishia Iringa siyo ile ya kusererekea Mikumi.
 
  • Thanks
Reactions: wax
Mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya taifa ya Chama cha mapinduzi (CCM), na waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa Singida kutafakari aina ya kiongozi wanayemtaka aiongoze Tanzania....
Watanzania tulilifanya hilo KOSA la kuchagua Viongozi kwa MAJARIBIO mwaka 2015,

2020 tusirudie makosa.

CHAGUA MZALENDO WA KWELI ILI TUPATE KATIBA MPYA, UHURU, HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
 
Majaliwa tangu apewe ubunge wa mwezani kule ruangwa nimemdharau sana.mwanaume mzima unaogopa kushindana kwenye sanduku LA kura
 
Mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya taifa ya Chama cha mapinduzi (CCM), na waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa Singida kutafakari aina ya kiongozi wanayemtaka aiongoze Tanzania...
Huyu tangu apewe ubunge wa viti maalumu nimemshusha thamani
 
Back
Top Bottom