Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
Habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuna majambazi 6 wameuwawa katika mapambano na askari huko buharamuro , majambazi hao walikutwa na silaha kadhaa za kivita inasemekana walikuwa wanajiandaa kuvamia mgodi mmoja wa madini katika eneo hilo .
Bado haijajulikana kama majambazi hao ni wan chi jirani au ni raia wa Tanzania , mpambano huo ulichukuwa dakika chini ya 40 kwa sababu askari hao walikataa amri ya kuwataka kujisalimisha kwa askari
Tutawafahamisha zaidi jinsi tutakavyokuwa tunapata habari zaidi
http://groups.google.com/group/wanabidii/t/2c9d8cd361d55f57?hl=sw
Bado haijajulikana kama majambazi hao ni wan chi jirani au ni raia wa Tanzania , mpambano huo ulichukuwa dakika chini ya 40 kwa sababu askari hao walikataa amri ya kuwataka kujisalimisha kwa askari
Tutawafahamisha zaidi jinsi tutakavyokuwa tunapata habari zaidi
http://groups.google.com/group/wanabidii/t/2c9d8cd361d55f57?hl=sw