Majambazi Wakenya Walivyotikisa na Kuweka Historia Kanda ya Kaskazini Nchini Tanzania

Mkuu hizi kaz ni ngumu sana yan mtu ajitolee maisha yake kwa ajili ya wengnr.

Tanzania tumewah pitia vipind vigumu sanaaa.

Ila Mungu kajalia yote yalipita
 
Na serikali yetu ipo tu, sie walalahoi tukiiba mihogo tunakamatwa ila majambazi wanaachiliwa tu wakipeta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…