BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Askari waliwasoma kuwa 'Wanataka Kuiba'??.....Taarifa kutoka Jeshi la Polisi ni kuwa Majambazi watatu wameuawa baada ya kupambana na askari wa jeshi hilo wakiwa katika harakati za kutaka kupora katika duka eneo la Goba Jijini Dar es Salaam, leo Juni 24, 2022.