Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
KUNDI LA MAJAMBAZI MUDA MFUPI ULIOPITA YAMEVAMIA SHELI YA TOTAL ILIYOKO MAKUTANO YA BARABARA YA MOROGORO RODI NA KAWAWA RODI NA KUPORA KIASI KIKUBWA CHA PESA.
MMILIKI WA KITUO HICHO, GEORGE KRITSOS, AMBAYE PIA NI MWENYEKITI WA ZAMANI WA KLABU YA GYMKHANA, AMEJERUHIWA VIBAYA BAADA YA KUPIGWA RISASI UBAVUNI, NA AMEKIMBIZWA HOSPITALI KWA MATIBABU.
HABARI ZAIDI ZITALETWA PINDI ZIKIPATIKANA. POLISI WANAFANYA UPEPELEZI WA NGUVU KUYASAKA MAJAMBAZI HAYO AMBAYO KWA MUDA MREFU KIASI MATUKIO KAMA HAYA YALIPUNGUA.
I actual saw this Tangazo kwenye michuzi and i thought i shoudl share with yall and it really touched me since i do know George Kritsos (Sharubu) personally...I am a close friend of the kritsos really close and it touched me to a point nilivyoona nikashtuka sana.Yaani it take me back in memor lane kumbuka marehemu Derek Kritsos..ooh god please i pray he gets well soon hope to hear some good nrews...Hapo kituoa cha magomeni cha mafuta kilikuwa kijiwe changu back in days when marehemu Derek used to work there...RIP dEREK AND Uncle George get well soon plese...
And actual this is second this hicho kituo kuvamia first was a while back...
MMILIKI WA KITUO HICHO, GEORGE KRITSOS, AMBAYE PIA NI MWENYEKITI WA ZAMANI WA KLABU YA GYMKHANA, AMEJERUHIWA VIBAYA BAADA YA KUPIGWA RISASI UBAVUNI, NA AMEKIMBIZWA HOSPITALI KWA MATIBABU.
HABARI ZAIDI ZITALETWA PINDI ZIKIPATIKANA. POLISI WANAFANYA UPEPELEZI WA NGUVU KUYASAKA MAJAMBAZI HAYO AMBAYO KWA MUDA MREFU KIASI MATUKIO KAMA HAYA YALIPUNGUA.
I actual saw this Tangazo kwenye michuzi and i thought i shoudl share with yall and it really touched me since i do know George Kritsos (Sharubu) personally...I am a close friend of the kritsos really close and it touched me to a point nilivyoona nikashtuka sana.Yaani it take me back in memor lane kumbuka marehemu Derek Kritsos..ooh god please i pray he gets well soon hope to hear some good nrews...Hapo kituoa cha magomeni cha mafuta kilikuwa kijiwe changu back in days when marehemu Derek used to work there...RIP dEREK AND Uncle George get well soon plese...
And actual this is second this hicho kituo kuvamia first was a while back...