Majanga chuo cha ualimu vikindu!!!

HMJ

Senior Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
157
Reaction score
21
chuo cha chakatiwa umeme wanachuo wahaha ovyo kutafuta maji na haijulikani adha hiyo hadi lini,,,,.Loading.....
 
Kweli kuna haja ya kufanya reforms kwenye elimu yetu. Mleta uzi inaonesha msomi sasa anacho andika hata hakilengi kumshawishi mtu kusoma na kutafakari. Sijui alikuwa anawahi foleni ya maji. Hembu rudi ufunguke chuo kiko wapi, cha umma au binafsi? Tatizo nini na limeanza lini? Mmelishughulikiaje? Mmepewa majawabu gani?
 
Hicho chuo nacho kipo porini mno aagh!!
 

Nmekoment kwa heshima yako mkuu, ajibu maswali ulio muuliza maana taarifa yake haijitoshelezi, pia nnadhani anachanganya kati ya facebook na JF.
Uandishi wa aina hii upo kwa facebook.
 

chuo kpo pwani wilaya ya Mkuranga na chuo ni cha serikali tatizo ni serkali kushindwa kulipa deni na TANESCO kuchukua uamuzi wa kukata umeme na kufanya shughuli za kiutendaji kuwa mbovu wanachuo hulazmika kutoka nje ya chuo kwenye mifereji ya maji ambayo si salama licha ya chuo hicho wanachuo kupata chakula kwa kugombania pia tatizo hilo la umeme linaathiri sana wanachuo kwa sasa kwani hawaendi kujisomea usiku na kulazimika kulala saa1:30 je kwa style hii BRN tutafika???
 
Hicho chuo nacho kipo porini mno aagh!!

Hapana mkuu kutoka chuo kilipo hadi Mbagala nauli ni shilingi 500 je kweli hapo utasema chuo kipo porini???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…