Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kuna haja ya kufanya reforms kwenye elimu yetu. Mleta uzi inaonesha msomi sasa anacho andika hata hakilengi kumshawishi mtu kusoma na kutafakari. Sijui alikuwa anawahi foleni ya maji. Hembu rudi ufunguke chuo kiko wapi, cha umma au binafsi? Tatizo nini na limeanza lini? Mmelishughulikiaje? Mmepewa majawabu gani?
Kweli kuna haja ya kufanya reforms kwenye elimu yetu. Mleta uzi inaonesha msomi sasa anacho andika hata hakilengi kumshawishi mtu kusoma na kutafakari. Sijui alikuwa anawahi foleni ya maji. Hembu rudi ufunguke chuo kiko wapi, cha umma au binafsi? Tatizo nini na limeanza lini? Mmelishughulikiaje? Mmepewa majawabu gani?