Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Kula asali kulingana na mzinga wako.I never knew kwamba wewe pia ni mhujumu uchumi
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula asali kulingana na mzinga wako.I never knew kwamba wewe pia ni mhujumu uchumi
Kwa hili la watu kutoa risiti nakuunga mkono. Biashara inayopaswa kutoa risiti ni lazima risiti itoleweWahusika bila shaka watakusoma na kuchukua hatua..
TRA Hawa vijana wenu wapya Wapya kazini Wana njaa kwa hiyo wadhibitoni.
Risiti zinatoka ila madereva wanatoka bila kudai. Wahudumu wengine wanakuwa bize kufuata risiti zinakofyatuliwa. Sasa Tra wanapangaje njama labda afafanue zaidi.Nmemuomba atutajie hivyo vituo basi?
Maana labda yeye ndy hapewagi risit
Kuna vituo vya mafuta ndani huko njia ya kwenda makabe,msakuz na wanatoa risit bila kuuombwa
Sasa yeye angevitaja hivyo vituo ambavyo havitoi risit
Ova
Wewe hufai kuwa shabiki wa Liverpool; Liverpool hatushabikii mambo ya kipuuzi na wizi kama huo. Unaliaibisha jina lako na hiyo #.Unataka wale wapi Mzee baba?
Unajua kuwa MSHAHARA HAUJAWAHI TOSHA?
Punguza wivu mtu akila kwa urefu wa kamba yake.
#YNWA
Kuna petro station nilikuta wana mashine ya mkono ya kutolea receipt yaani sio tena zile zilizo connectiwa na pump, tena ni Petro Station kubwa na Beand kubwa sana, nilishangaa, na wale wauzaji ni hadi ukomae ndo wakutoleeVituo vingi vya mafuta havitoi tena risti za mfumo wa kielektroniki kwa kisingizio mashine ni mbovu.
Huenda huo ni ulaji mpya baina ya maafisa wa TRA kwa kushirikiana na wamiliki wa vituo vya mafuta.
Ajabu haupo ufuatiliaji mahsusi kuhusu hilo jambo.
Hahahmnahangaika kudai risiti utafikiri pesa zinaenda kwenu kusaidia familia mafuta yenyenyewe yapo juu weww weka mafuta na uende atoe risiti au asitoe
Hakuna haja ya kuvitaja. Hata mimi nimeambiwa hivyo kwenye vituo katikati ya Jiji. Watu wengi ambao hawataki jambo lirekebishwe au wakitaka kujitetea au kuwatetea wenzao hudai ushahidi. Kesi mbona haijaanza!?
Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app