Sio tigo mkuu,zilikuwa adhabu kali sana hadi niliona jehanamu.
Nilikuwa nafurahi sehemu moja tu,nayo ya msosi tu kwa sababu nilirudi home nimenenepa licha ya majanga yote.
Unaenda jeshini kwa kuwa umemiss kashkash zake??Nna mpango baada ya kumaliza chuo niingie jeshini kujitolea,nimemiss sana kashkashi zile.
Tulia wewe huna ubavu Wa kuingia jeshiniNna mpango baada ya kumaliza chuo niingie jeshini kujitolea,nimemiss sana kashkashi zile.
ishikilie sana elimu mdogo wangu.....Sio hivyo mkuu mimi sio mjeda,ila nilipitia hayo last year baada ya kumaliza form 6